Hapa ndo huwa pananifanya nibakie forever 25!!Ule usemi wa 'fainali uzeeni' ujue unatisha sana
Yaani unapiga picha midevu yenye mvi mpaka puani... Bunduki harijojo..kiuno kimekuwa kigumu kama peremende[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
mungu wangu nisaidie mimi hakyanani!