Ndg Asprin

Dena tulikuwa ibadani,,,hebu cheki babu alivyo na mawivu eti anamuliza mwita nani kamruhusu kuongea na.......!!!!!!!!!!huyu babu bana!natamani kumbadilisha

Bikira Maria Mama Wa Yesu.........Babu amefadhaika. Babu amesikitika. Babu anarudi kitandani kwa simanzi.

Kwa herini wajukuu zangu. Wiselady kaniponda moyo wangu. Sijui kama tutaonana tena.

Mkimwona mwambieni babu ametoa machozi kwa huzuni.
 
Bikira Maria Mama Wa Yesu.........Babu amefadhaika. Babu amesikitika. Babu anarudi kitandani kwa simanzi.

Kwa herini wajukuu zangu. Wiselady kaniponda moyo wangu. Sijui kama tutaonana tena.

Mkimwona mwambieni babu ametoa machozi kwa huzuni.

Umwombee huyu mkosefu
 

Hapo kny red sikuomba ushauri bali nilikabidhiwa na nikampenda,,yeye pia ananipenda ila nataka babu anikabidhi upya maana huu ni mwaka mpya
 
Bikira Maria Mama Wa Yesu.........Babu amefadhaika. Babu amesikitika. Babu anarudi kitandani kwa simanzi.

Kwa herini wajukuu zangu. Wiselady kaniponda moyo wangu. Sijui kama tutaonana tena.

Mkimwona mwambieni babu ametoa machozi kwa huzuni.

Uuuuuwi!nakufa kwa kucheka,,babu nisamehe sikukusudia,,nimekosa mimi,tena nimekosa sana!naomba ufute machozi na usirudi kitandani(PM)kaa nasi tafadhali,,nakupenda babu yangu mzuri :smile-big:
 
Dena tulikuwa ibadani,,,hebu cheki babu alivyo na mawivu eti anamuliza mwita nani kamruhusu kuongea na.......!!!!!!!!!!huyu babu bana!natamani kumbadilisha

Huyu babu dawa yake ndogo sana, ngoja nimuendee pemba, nikirudi hakutakuwa na wivu wala nini.
 
Sifa za leo zimemharibu kabisa hataki hata usalimiane na mtu???


sio suala la sifa, ni kwamba somo la leo halijaingia mukichwa yake kabisa, alikuwepo ibadani kimwili lakini akili na roho ziko zero pub.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…