Dena tulikuwa ibadani,,,hebu cheki babu alivyo na mawivu eti anamuliza mwita nani kamruhusu kuongea na.......!!!!!!!!!!huyu babu bana!natamani kumbadilisha
Mi sijambo, ngoja nikucheki PM.
Bikira Maria Mama Wa Yesu.........Babu amefadhaika. Babu amesikitika. Babu anarudi kitandani kwa simanzi.
Kwa herini wajukuu zangu. Wiselady kaniponda moyo wangu. Sijui kama tutaonana tena.
Mkimwona mwambieni babu ametoa machozi kwa huzuni.
Penda unapopendwa, usipopendwa akili kumkichwa.
Unapoanza tu kuomba kibali cha kuachana nae ni dalii ya kwamba mambo hayaendi sawa, ama imekuwa tofauti na matarajio.
Labda nikuulize tu, ulipomkubali uliomba ushauri kwa babu? ama ilikuwa ni one against one?
Hapo kny red sikuomba ushauri bali nilikabidhiwa na nikampenda,,yeye pia ananipenda ila nataka babu anikabidhi upya maana huu ni mwaka mpya
Bikira Maria Mama Wa Yesu.........Babu amefadhaika. Babu amesikitika. Babu anarudi kitandani kwa simanzi.
Kwa herini wajukuu zangu. Wiselady kaniponda moyo wangu. Sijui kama tutaonana tena.
Mkimwona mwambieni babu ametoa machozi kwa huzuni.
Dena tulikuwa ibadani,,,hebu cheki babu alivyo na mawivu eti anamuliza mwita nani kamruhusu kuongea na.......!!!!!!!!!!huyu babu bana!natamani kumbadilisha
Huyu babu dawa yake ndogo sana, ngoja nimuendee pemba, nikirudi hakutakuwa na wivu wala nini.
Sifa za leo zimemharibu kabisa hataki hata usalimiane na mtu???
Wanaokwenda kwa waganga utawajua tu Pemba waenda kutafuta nini??
sasa naona uwe bibi........uwafundishe hawa wajukuu locomotion!Acha kuniangusha bana mara moja inatosha
sio suala la sifa, ni kwamba somo la leo halijaingia mukichwa yake kabisa, alikuwepo ibadani kimwili lakini akili na roho ziko zero pub.
Naenda kutafuta marashi ya Pemba,
sasa naona uwe bibi........uwafundishe hawa wajukuu locomotion!
Ha ha ha ha unapajua wewe hapo??
Wanaokwenda kwa waganga utawajua tu Pemba waenda kutafuta nini??
DA nakusalimu kwa jina langu....
Dena umeonaeee?mwita sijui anamwendea wapi babu wacha nami nipande mlimani kumuombea babu dhidi ya mwita
Amen. Ubarikiwe sana tumepata member mpya wa (CR) umemwona MM???
Nina wasiwasi na wewe kumbe ni mmoja wao??? Siamini