Mzee wa busara haya bana hongera sana kupata sifa asubuhi subuhi. Mzima lakini
:A S 39:
:A S 39:
hatari sana hii....
very dangerous....!Dogo vipi tena?
Huyo mutu ni dawa ya mioyo ya wanawake...hatibreka aliyejaaliwa.
Pale 106 nilishalipia unakumbuka?
kaniambia ni heart maker babu nataka achukue nafasi ya kimey,,unaridhia?
Wajukuuz for the babu...babu hana madhara kwa wajukuu zake!very dangerous....!
wajukuu watashikiana visu hawa....!
Dont say I didn't warn you! And I hate seeing women crying!kaniambia ni heart maker babu nataka achukue nafasi ya kimey,,unaridhia?
asee asprini hapo juu huoni kama kuna umuhimu wa kurudi tena AFRICANA PUB?
Umeanza wewe??
Halafu wewe sijakuona kule kwenye kunyang'anywa mtoto kwani vipi Kimey hajafanya hivyo
asee asprini hapo juu huoni kama kuna umuhimu wa kurudi tena AFRICANA PUB?
Dont say I didn't warn you! And I hate seeing women crying!
Nakumbuka vizuri ila sasa si unajua AC ilileta shida sana pale
ha haaaaaaaaaaaaaaaaa dah, binamu bwanaSikuwahi kujua haya mapumba nayoyamwaga humu, kwa wengine ni busara...lol
Ahsante my love loveness love.
Naruhusiwa kukuomba urafiki?..... natamani, tatizo kuna watu wana wivu bana!
ha ha ha,,kwanza nijue hali yako kwa sasa,,pili kimey bado kufanya hivyo,,, tatu naangalia move kwa karibu
Hamieni kwangu ni buku 3 tu alafu kuna ICE
ha haaaaaaaaaaaaaaaaa dah, binamu bwana
Aisee umenena vyema. Mpango wa leo unasemaje?
Huyu mkoloni naona ananizengua tu hapa.
Kweli Maty, inabidi tume ya uchunguzi iundwe.