Ndg Asprin

Ndg Asprin

if you cant explain it simply,you dont understand it well enough
 
asee asprini hapo juu huoni kama kuna umuhimu wa kurudi tena AFRICANA PUB?
 
Umeanza wewe??
Halafu wewe sijakuona kule kwenye kunyang'anywa mtoto kwani vipi Kimey hajafanya hivyo

ha ha ha,,kwanza nijue hali yako kwa sasa,,pili kimey bado kufanya hivyo,,, tatu naangalia move kwa karibu
 
asee asprini hapo juu huoni kama kuna umuhimu wa kurudi tena AFRICANA PUB?

Aisee umenena vyema. Mpango wa leo unasemaje?

Huyu mkoloni naona ananizengua tu hapa.
 
Dont say I didn't warn you! And I hate seeing women crying!

I understand how much u care for us babu,,hasa nikikumbuka zile laana ulizotoa jana.Hatibreka akae mbali kwa hisani ya babu ODIEM
 
Sikuwahi kujua haya mapumba nayoyamwaga humu, kwa wengine ni busara...lol

Ahsante my love loveness love.

Naruhusiwa kukuomba urafiki?..... natamani, tatizo kuna watu wana wivu bana!
ha haaaaaaaaaaaaaaaaa dah, binamu bwana
 
ha ha ha,,kwanza nijue hali yako kwa sasa,,pili kimey bado kufanya hivyo,,, tatu naangalia move kwa karibu

Hali yangu ni poa ila dozi ya mwezi mshikaji balaa tupu ile kitu ni mbaya (Heart)
Kimey anasubiri nini kurekebisha hicho kitoto cha kiume?? Acha kubana sana
 
Back
Top Bottom