Ndg Asprin

Ndg Asprin

peoples-choice-awards.jpg

nitakuwa mchoyo wa fadhira Babu Asprin nenda kaweke hii kwenye kumbukumbu zako
 
nitakipenda ila na mchemsho wa samaki uwepo kando

Mchemsho wa samaki utapata tu haina shida. Shemeji yangu Dena Amsi atanisaidia kufanza mambo, manake yeye amewekeza kwenye sekta ya uvuvi pale musoma, ana boti za kutosha kwahiyo kitoweo sio habari kwake.
 
Mchemsho wa samaki utapata tu haina shida. Shemeji yangu Dena Amsi atanisaidia kufanza mambo, manake yeye amewekeza kwenye sekta ya uvuvi pale musoma, ana boti za kutosha kwahiyo kitoweo sio habari kwake.

Shemeji mdogo mdogo bana unatoa siri sasa
 
Mchemsho wa samaki utapata tu haina shida. Shemeji yangu Dena Amsi atanisaidia kufanza mambo, manake yeye amewekeza kwenye sekta ya uvuvi pale musoma, ana boti za kutosha kwahiyo kitoweo sio habari kwake.
Habari yake binafsi!
 
Shemeji mdogo mdogo bana unatoa siri sasa

Nimekusoma shem, lakini hizo zako sio za maharamia wa kisomali, zimesajiliwa na SUMATRA na unalipa kodi kikamilifu.

isitoshe nilikuwa naweka msisitizo tu ili WL anielewe, sasa usiposaidia hii kitu shemeji yako nachukua za uso mchana kweupe.

Manake nataka kabla kimey hajaamka niwe nimemeliza kazi. Ole wako kimey WL akifika mikononi mwangu sahau.
 
Habari yake binafsi!

Khaa, umetokea wapi wewe? watu tunafanya mipango yetu hapa nawewe unaibuka tena? basi tena WL nimemkosa.

Hatahivyo itabidi tu unishukuru kwa kazi kubwa niiyofanya hapa, nilikuwa nakulindia my wife wako manake kuna mibaba humu jf inajua kutongoza, balaa!!
 
Nimekusoma shem, lakini hizo zako sio za maharamia wa kisomali, zimesajiliwa na SUMATRA na unalipa kodi kikamilifu.

isitoshe nilikuwa naweka msisitizo tu ili WL anielewe, sasa usiposaidia hii kitu shemeji yako nachukua za uso mchana kweupe.

Manake nataka kabla kimey hajaamka niwe nimemeliza kazi. Ole wako kimey WL akifika mikononi mwangu sahau.

Karudi tayari ila najua pa kumshikia nitakwambia
 
Khaa, umetokea wapi wewe? watu tunafanya mipango yetu hapa nawewe unaibuka tena? basi tena WL nimemkosa.

Hatahivyo itabidi tu unishukuru kwa kazi kubwa niiyofanya hapa, nilikuwa nakulindia my wife wako manake kuna mibaba humu jf inajua kutongoza, balaa!!
Hahaha hebu njoo hapa counter ya juu upate BaGpiper au WhiteHorse.
 
Back
Top Bottom