Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Mficha uchi hazai/mificha maradhi kifo kitamuumbua na kuuliza siku zote sio ujinga.
Hii nyimbo Ina miaka kadhaa Sasa lakini Kila ninapo zungukia kwenye sherehe hasa kijijini haijarishi iwe Kwa wasukuma ama makabila mengine huku Kanda ya Ziwa nyimbo hii Bado Iko kwenye chati.
Nyimbo hii Ina vibe sana.Lakini binafisi sijawahi ielewa maana yake huyu mwanadada alimaanisha kutoa funzo Gani kwenye jamii ? Ni nyimbo nzuri Kwa upande wangu kati ya nyimbo za kitamaduni.
Naomba kujurishwa Nini maana ya wimbo huu. Wahaya karibuni.
Hii nyimbo Ina miaka kadhaa Sasa lakini Kila ninapo zungukia kwenye sherehe hasa kijijini haijarishi iwe Kwa wasukuma ama makabila mengine huku Kanda ya Ziwa nyimbo hii Bado Iko kwenye chati.
Nyimbo hii Ina vibe sana.Lakini binafisi sijawahi ielewa maana yake huyu mwanadada alimaanisha kutoa funzo Gani kwenye jamii ? Ni nyimbo nzuri Kwa upande wangu kati ya nyimbo za kitamaduni.
Naomba kujurishwa Nini maana ya wimbo huu. Wahaya karibuni.