Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebwana mkuu si dada yenu huyu?? Wote si wa kanda ya ziwa ile ya jina la malkia. Mimi nilikua namchukia dizaini nilikua namuona anajisikia sana. Ila, nikaona nitaumwa ulcers bure. Nilisha-give up. Nampa masaluti!Leo nimekiri huyu dada ni jasiri sana aiseee duuu....
Shetani wa mguu mmoja wewe.Kwa kweli jide hana mvuto wa kike asingekua super star huyu angekua beki 3 na kuolewa ingekua ni hadithi..kwa sisi tuliozea kungoa watoto wakali kwa jide net aisomi ingekua ni simu mwezi wa 6 ingezimwa..
msanii mmoja mzur sana kwenye rnb jeshi linalojiamina aliimba wimbo wa kuwa na subirambona simjui huyo jamaa ila kapatiaaa!
We si unaona hapo hakuna hata anayethubutu kupanda hapo na kumpa japo support msanii mwenzake.Ukipanda tu MAWINGU wamekudelete.
Situmii mkuu,asante.Tukubakizie niffah ?
Tunapata break....kuna tatizo la kiufundi #Ndi Ndi Ndi#Ameimba kipendacho roho na kuwa na subira ni nyimbo kali sana
Amepata sehemu ya kujisifia. UsimlaumuShetani wa mguu mmoja wewe.
Wewe umemuumba yupi hadi ukosoe uumbaji wa Mungu?
Jinga kabisa.
Sawa ila ukipata ugonjwa unaoitwa lugumi hii ndio tiba yake kitwanga mbili jioni na asubuhi baada ya hapo we endelea na mishe zako hata bungeni ingia tuSitumii mkuu,asante.
Mimi katika nyimbo zote za Rama Dee napenda "Si waoaji hao"...msanii mmoja mzur sana kwenye rnb jeshi linalojiamina aliimba wimbo wa kuwa na subira
The concert is boring kwangu
Tunapata break....kuna tatizo la kiufundi #Ndi Ndi Ndi#
Nadhani ni kinega ndiyo maana haipati hiyo heshimaRama dee ni fundi wa rnb bongo sema sijui kwanini hapata heshima anayostahili