radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,440
- 32,260
umeumbuka hadi sasa chutama ficha tezi dume lako watu kibaooo ukumbini
mkuu ni aibu kubwa sna mwanaume kupambana na mwanamke yani unapambana na ubavu wako ajabu sna hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeumbuka hadi sasa chutama ficha tezi dume lako watu kibaooo ukumbini
Dingi ilikua bonge la ngoma man!! wale wajamaa nilikua sichoki kusikiliza nyimbo zao., yaan wamepotea na vipaji vyao!!mkuu hivi vichwa hatar tumevipoteza nawakubali sna hawa mi ngoma yao ya dingi ile ngoma haina mfano mzee akimaliza kula sifuria anazitia msumali
Ww acha tu hiki kinywaji kipya kiitwacho kitwanga noma hangover hadi kesho jioni bado tu sijui mzee imemuish au badoKuwa makini usije pata hangover ya lugumi
Ukorofi si unajua ndugu zetu wote wa ile kanda wakoje mkuu. Mezea tu.kumfunika huyu bint ni kaz sna japo watu wanasema mkorof lakin daaa huu moto wa petrol ibaki hivyo tu
Rama dee ni fundi wa rnb bongo sema sijui kwanini hapata heshima anayostahili
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] JF noma sana.Tupieni tupicha mlioko mliman city wengine tupo tunakunywa kitwanga hapa
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] tena hizo ndo usiseme full kuimbishana kama tupo shuleitakua ni zile za "kwa niaba ya wana......17years
mbona simjui huyo jamaa ila kapatiaaa!Namuona rama dee ndani ya nyumba
Tukubakizie niffah ?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] JF noma sana.
Ameimba kipendacho roho na kuwa na subira ni nyimbo kali sanambona simjui huyo jamaa ila kapatiaaa!
We si unaona hapo hakuna hata anayethubutu kupanda hapo na kumpa japo support msanii mwenzake.Ukipanda tu MAWINGU wamekudelete.mkuu rama dee ni fund sio mzaha nahis ile harakat ya vinega ilimtoa mchezon wote vinega hawajaamka tena
Aisee jide kafanya mbaya kwa jamaa.