Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shishi baby kapiga show zaidi ya hii Ubelgiji. Wazungu walisukumana mpaka ilibidi waongeze ulinzi wa ziada. Sio hapo mlimani City, si kitchen paty Tu hiyo
Kama u were in my mind vile...Hivi kibongobongo kuna msanii wa kike ambaye anaweza/angeweza kupiga show classic na yenye staha kama hii ya Jide and watu wakafurahi to that extent. Sipati picha angekuwa V-money au Shishi Baaby, tungeona viungo vyote visivyotakiwa kuonwa kwenye public.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umejua kuvunja mbavu zanguShishi baby kapiga show zaidi ya hii Ubelgiji. Wazungu walisukumana mpaka ilibidi waongeze ulinzi wa ziada. Sio hapo mlimani City, si kitchen paty Tu hiyo
Haaaa watu walimfurahia alivyoingia na kuimba kibwagizo cha aje.. baadae huyo anaanza maneno kibao mara kumgombeza Dj... nikasikia watu wana shout aandae concert yake ndio aanze kuwapa hayo maneno yake lolAli kiba nae anabidi ajifunze kariba ya kuwa ktk hali ya usupastaa! Talk less na endana na mazingira! Show ya mtu mwingine unaanza maneno and the like! Kuimbisha watu wakati hata Jide alikuwa hawaimbishi but waliimba kwa hiari na msukumo wao! Mara makofi! Nimesign dili kubwa aaagh! Anahitaji orientation! Nahisi kwa kiasi fulani amewaboa wahudhuriaji.
Khaa, mkuu kulea ndoa na kulea watoto wachanga mapacha, ipi kazi zaidi? Maana dizain naona kama ndoa inakutesa, yani mpaka ulinde wife aotke ndio mbebane home?
Usisaau na Obama kakoswakoswa kulengoja nilale nikimka kuna mada tatu kesho kuandika kwenye magazet
1.jide mliman city
2.kitwanga
3.wilson kabwe
Swali ni::ZILIKUA NGAPI HZO VIP???Zimeisha... jana nimeenda Shear Illusion Mcity naambiwa ticket zimeisha
Ha ha ha ha ha wazungu walisukumana lolShishi baby kapiga show zaidi ya hii Ubelgiji. Wazungu walisukumana mpaka ilibidi waongeze ulinzi wa ziada. Sio hapo mlimani City, si kitchen paty Tu hiyo
Nilikuwa nakuangalia tuu unavyo yarudi! Kwa kuuchuna tuu hujambo! Jide ni next level jana nilithibitisha hakika na hakuna msanii wa kike ambaye anaweza kupiga show kama hile na muda wote ule na watu wakafurahi na hakuwa na wasindikizaji!Kama u were in my mind vile...
she is really comando hao wakina Shilole bado sana aisee
Nilillala......Mko wapi..... Haya njoooni tumalizie
Yupi?!Show ya kistaarabu kwa mtu asiye mstaarabu??? acha wewe
Hivi IDRIS si ni mtangazaji wa choice Fm ya Clouds media group? Hii kwenda kwenye show ya Jide haiwezi kumpotezea kibarua?Saa 8 hii,watu wamechoka mama.
Hata T.I mwaka juzi hakupata shangwe la kutosha kwenye Fiesta kama Ali Kiba.
Watu wameshangilia sana mwanzo hadi wamechoka.
Hata hivyo nadhani kubwa ni nyomi alilolipata.... katisha!
Hivi IDRIS si ni mtangazaji wa choice Fm ya Clouds media group? Hii kwenda kwenye show ya Jide haiwezi kumpotezea kibarua?
View attachment 349479 Rudia kusoma post yangu vizuri then urudi tena
Swali ni::ZILIKUA NGAPI HZO VIP???
Pamoja na waliotajwa, pia niliwaona Lulu na Rama Dsamahani mkuu naomba kujua mastaa wa bongo waliokuwepo katika show hii , ukiacha Wema na Alikiba maana kuna mda kitwanga zilinizidi
Si alimsimdikiza baby jamani?Hivi IDRIS si ni mtangazaji wa choice Fm ya Clouds media group? Hii kwenda kwenye show ya Jide haiwezi kumpotezea kibarua?
Mfyuuuu shame on uHII SHOW HAITAKUWA NA WATU KABISA COZ GARDNER NDO ALIKUWA ANAMBEBA SANA HUYU MWANAMAMA