Ndinga mpya ya Mbwana Samatta

Ndinga mpya ya Mbwana Samatta

Akinunua Kama hii nakunya njia nzima kutoka Huku kwetu mtimbila ifakara hadi sokoni kariakoo daslamu
hahaaa ukiwa na Gari kama hiyo ..huna Baja tena na pepo ..ya kazi gani sasa kwa mfano ...!?? ili ukagundue nini ??
 
Mi namiliki Kama Hiyo ila version ya nyuma yake kidogo, nakuhakikishia Ndinga hilo kwa bei yake kamwe hawezi kuimiliki, kwa mshahara wake atafilisika, hilo Ndinga wanamiliki wenye pesa ndefu kama Kina Dr. Dre na Bakhresa ambaye naye kashaliuza, kamuuzia yule bwasheeee
[emoji2][emoji2][emoji2] aisee
 
The new 2018 Lamborghini Aventador Roadster
2018-Lamborghini-Aventador.jpg

2018-Lamborghini-Aventador-Specs.jpg

2018-Lamborghini-Aventador-Release.jpg


2018-Lamborghini-Aventador-Specs-and-Review.jpg


HIZI NDO NDINGA MKUU
Wabongo bwana mnajua majina ya magari ya kifahari huku daily mnabanana kwenye daladala
 
Hahaha huoni ndinga hio? Si mchezo bwana ..utashindana wapi na samata bwana japo hawez kushindana na akina alexis sanchez lakin milioni 50+ kwa mwezi sio haba bwana kwa miaka 2 hapo ana 1 Bilion na ushee
Toa na makato ya kodi hapo
 
That is not a property it is a liability,ningeona kitu real estate,mall hivi,ma apartments kisasa ya kutisha,hapo tungesema shikamoo samatta!!,
Hebu google hili jina la Mkenya Jimmy wanjigi,huone utajiri wake IPO wapi,mambo ni ardgi ,real estate,hata Mzee wa "shithole" kule USA,kawekeza hapo Real Estates
 
Sifa za magari, nyumba, wanawake, pombe, nk Zina kawaida ya kulevya na kupunguza ufanisi kazini. Tukimsifia kwenye uchezaji, ufungaji magoli, assists, nk tutamsaidia zaidi kuendelea kufanya anachokifanya kwa ufanisi.
 
Back
Top Bottom