BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
- Thread starter
-
- #81
Unaijua principle ya maisha ni nini ..can you tell meThat is not a property it is a liability,ningeona kitu real estate,mall hivi,ma apartments kisasa ya kutisha,hapo tungesema shikamoo samatta!!,
Hebu google hili jina la Mkenya Jimmy wanjigi,huone utajiri wake IPO wapi,mambo ni ardgi ,real estate,hata Mzee wa "shithole" kule USA,kawekeza hapo Real Estates
Mkuu...nmegundua kumbe kua mchawi sio lazima ubebe matunguli na mafuvu ya watu waliokwisha kufaDaaaah. Wabongo....! La captain ndio ametoka Majeruhi juzi juzi tu!
Na ukitaka kuwajua wachawi halisi... Wasikilize watanzania na maneno zao!Mkuu...nmegundua kumbe kua mchawi sio lazima ubebe matunguli na mafuvu ya watu waliokwisha kufa
Wala mbona watu maarufu wapo wengi tu wanamagar .Sio unapenda gari yake?
unampenda sana samatta eeWala mbona watu maarufu wapo wengi tu wanamagar .
Enhee kila nikiingia insta Lazima niingie kwenye page yake nione alichopost.unampenda sana samatta ee
Yes ni liability. Lakini unajuaje kama ana asset za kumwaga na hiyo liability ni kama drop ya maji kwenye bahari?That is not a property it is a liability,ningeona kitu real estate,mall hivi,ma apartments kisasa ya kutisha,hapo tungesema shikamoo samatta!!,
Hebu google hili jina la Mkenya Jimmy wanjigi,huone utajiri wake IPO wapi,mambo ni ardgi ,real estate,hata Mzee wa "shithole" kule USA,kawekeza hapo Real Estates
Utapata nini akirudi kuchezea Mbao?
[emoji106]Hard work pays
Hongera to you brother Mungu akuzdishie zaidi.Moja kati ya majina makubwa katika soka kutokea ukanda wa Afrika Mashariki basi huwezi kuacha kutaja jina la nadhoa wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars anayecheza soka la kulipwa katika club ya KRC Genk ya Ubelgiji Mbwana Samatta.
Samatta ni moja kati ya mastaa wa soka ambao hawapendi kuweka mali zao hadharani mara kwa mara lakini siku chache zilizopita amepost picha ya gari nyeupe ambayo inaelezwa ni ndinga yake mpya. Hongera kwake.
Utakua una tatizo la tumbo si bureAkinunua Kama hii nakunya njia nzima kutoka Huku kwetu mtimbila ifakara hadi sokoni kariakoo daslamu
Tatizo waga hapost sana na ana demu anaitwa happynessEnhee kila nikiingia insta Lazima niingie kwenye page yake nione alichopost.
Nimeiona ipo kama Vitz New Model.Hahaha huoni ndinga hio? Si mchezo bwana ..utashindana wapi na samata bwana japo hawez kushindana na akina alexis sanchez lakin milioni 50+ kwa mwezi sio haba bwana kwa miaka 2 hapo ana 1 Bilion na ushee
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwasasa naona Msuva yupo juu kiuchezaji kumzidi huyo mzubavu. Siku si nyingi anarejea Mbao Fc
Tukawanunulie tunguriIla wabongo sijui kwa nini wana roho mbaya sana, yaani hapo samatta kusifiwa watu wanaumia khaa[emoji23][emoji23][emoji23].
Sisi zamani lijilori la Polisi tuliliita "kalandinga". Yale malori ya kubebea wafungwa na mahabusu yaliyokuwa yamezungushiwa wavu wa chuma chembamba. Hii "ndinga" yenu mbona inawaletea shida?Unadhalilisha maana ya neno ndinga.... Hako ni kagari