Ndinga mpya ya Mbwana Samatta

Ndinga mpya ya Mbwana Samatta

That is not a property it is a liability,ningeona kitu real estate,mall hivi,ma apartments kisasa ya kutisha,hapo tungesema shikamoo samatta!!,
Hebu google hili jina la Mkenya Jimmy wanjigi,huone utajiri wake IPO wapi,mambo ni ardgi ,real estate,hata Mzee wa "shithole" kule USA,kawekeza hapo Real Estates
Unaijua principle ya maisha ni nini ..can you tell me
 
That is not a property it is a liability,ningeona kitu real estate,mall hivi,ma apartments kisasa ya kutisha,hapo tungesema shikamoo samatta!!,
Hebu google hili jina la Mkenya Jimmy wanjigi,huone utajiri wake IPO wapi,mambo ni ardgi ,real estate,hata Mzee wa "shithole" kule USA,kawekeza hapo Real Estates
Yes ni liability. Lakini unajuaje kama ana asset za kumwaga na hiyo liability ni kama drop ya maji kwenye bahari?
Licha ya yote kila mtu na anachokipenda hatuwez fanana
 
Utapata nini akirudi kuchezea Mbao?

Inshort hana jipya, alidanganya umri ndo linalomtesa maana wanamuona kijana wa miaka 23 kumbe muhenga wa miaka 32, halafu hapo tu hana demu je angekuwa nae angekuwaje? Au ndo kazidisha punyeto hadi nguvu zinaisha magotini? Hasara kwa nani?
 
Aina gani hiyo,kama fortuner vile, anyway bei yake ni 120ml.tz. tho inategemea. Maana mbongo akifanya evaluation achelewi kutoa 75ml.
 
Moja kati ya majina makubwa katika soka kutokea ukanda wa Afrika Mashariki basi huwezi kuacha kutaja jina la nadhoa wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars anayecheza soka la kulipwa katika club ya KRC Genk ya Ubelgiji Mbwana Samatta.

Samatta ni moja kati ya mastaa wa soka ambao hawapendi kuweka mali zao hadharani mara kwa mara lakini siku chache zilizopita amepost picha ya gari nyeupe ambayo inaelezwa ni ndinga yake mpya. Hongera kwake.

1c5c3804214aeaf6df8072f8bf5b16cf.jpg
Hongera to you brother Mungu akuzdishie zaidi.
 
Ila wabongo sijui kwa nini wana roho mbaya sana, yaani hapo samatta kusifiwa watu wanaumia khaa[emoji23][emoji23][emoji23].
 
Unadhalilisha maana ya neno ndinga.... Hako ni kagari
Sisi zamani lijilori la Polisi tuliliita "kalandinga". Yale malori ya kubebea wafungwa na mahabusu yaliyokuwa yamezungushiwa wavu wa chuma chembamba. Hii "ndinga" yenu mbona inawaletea shida?
 
Back
Top Bottom