myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Hana..Weka source ya habari usiripoti kama upo frontline. Hilo shambulio limefanyika lini?
🤣🤣🤣Ukitaka uchukiwe kwenye huu Uzi,omba majina ya Makamanda hata watano waliokufa na picha zao kama wafanyavyo Ukraine uone povu lake.
Hii ni university ambayo wamepega warusi leo acha fix wenzenu ukrane wanapiga kambi zenye silaha nyie mnapiga vyuoView attachment 2291474
Source: SF
Acha kujishtukia Mkurugenzi.Ukitaka uchukiwe kwenye huu Uzi,omba majina ya Makamanda hata watano waliokufa na picha zao kama wafanyavyo Ukraine uone povu lake.
Hahah huu ndio ushaidi mkuuView attachment 2291474
Source: SF
Kwahiyo mrusi sasa hivi hasubiri silaha za Ukraine azilipue bali analipua hata wanaokuwa wamejificha huko vijijini kuomba wapatiwe sirahaMakamanda wa ukraine walikuwa kwenye kikao cha kuzungumzia kuuziwa silaha na wawakilishi wa makampuni ya nchi za magjharibi yanayouza silaha nzito za kijeshi. Wote waliangamizwa!!
Russia ana ma Agent ndani ya Jeshi la Ukraine na Nchi zote hasimuRussia comments on deadly strike on Ukrainian city
Moscow said it targeted a meeting of Kiev's military commanders with foreign arms suppliers in central Vinnitsa.
Russia attacked the House of Military Officers in Vinnitsa with sea-launched Kalibr cruise missiles, the Defense Ministry said on Friday during a daily briefing. The statement claimed that the attack happened when a group of Ukrainian senior military officers were holding a meeting with foreign arms suppliers. The discussion was about the “transfer of more warplanes and weapons systems as well as the repair of the Ukrainian military air fleet,” the ministry said. The Russian strike killed all participants at the gathering.
Ndiyo maana Zelensky amelalamika sana kupita kawaida yake ya kulalamika. Mpaka akasema ingefanyika namna hii huko Texas Marekani ingekuwaje? Hapa anazungumzia shambulizi lililofanywa na urusi katikati ya Ukraine kwenye mji wa Vinnytsia in central Ukraine. Makamanda wa ukraine walikuwa kwenye kikao cha kuzungumzia kuuziwa silaha na wawakilishi wa makampuni ya nchi za magjharibi yanayouza silaha nzito za kijeshi. Wote waliangamizwa!!
Msipotoshe suala hili lilivyo....mtu hawezi kuja tu nyumbani kwako kukuvamia pasipo sababu...wewe unajifanya mbabe unamtukana na kumsema jirani yako mwenye nguvu, halafu kwa ujnga na upumbavu wako au hata ushenzi unawakaribisha maadui wa jirani Yakima huyo ili waandae mipango ya kumwangamiza huyo jirani...halafu unaanza kuwafyeka watu wa ukoo wa huyo jirani na kuwaua na kuwatambia kuwa Kama vipi mleteni huyo mbabe wenu...na mbaya zaidi unaleta hata tunguli za ulozi na wachawi na kumtambia jirani yako....jirani anaona hiyo Sasa inatosha anaamua kukutwanga kidogo kidogo...anavamia shamba, vyu a vya watoto huku wewe ukishupaza shingo kwa upumbavu......huyo Zelensky wacha apigwe aisee...he is a very stupid leader....historia itakuja kumhukumu tu kwa kusababisha vifo vya maelfu na maelfu vya Waukraine....Russia haitapoteza katika vita hi.....Russia will emerge victorious in this war..Nawashangaa sana mnaosema eti wakae wazungumze yaishe, Sasa mtu kakuvamia chumbani kwako anataka Mali zako ukimwacha kesho atakuja tena atamtaka mkeo utamwacha kesho kutwa atakutaka na ww.
Kabla ya operation waliambiwa waweke silaha chini waende kwa wake zao na familia zao wakakaidi.Nawashangaa sana mnaosema eti wakae wazungumze yaishe, Sasa mtu kakuvamia chumbani kwako anataka Mali zako ukimwacha kesho atakuja tena atamtaka mkeo utamwacha kesho kutwa atakutaka na ww.
Hii ni university ambayo wamepega warusi leo acha fix wenzenu ukrane wanapiga kambi zenye silaha nyie mnapiga vyuo
Ni picha iliyopigwa eneo la tukio. Ukipenda iite ushahidi hutaki unaacha!Hahah huu ndio ushaidi mkuu
Walivyozamisha moskova walichekelea Kama manyani wakati ile ilikuwa namba 121 means zipo ngapi kule black Sea...
Weka source ya habari usiripoti kama upo frontline. Hilo shambulio limefanyika lini?
Hapa walikuwa wapo kwenye Sherehe za ubatizo aseee .....hakuna kitu kama hicho ....Urusi anachapika kwelikweli wamekimbilia Belarus.Huo mji umepigwa vibaya Russia sio Taifa la kuchezea aise]View attachment 2291813
View attachment 2291803View attachment 2291808View attachment 2291809View attachment 2291810View attachment 2291811View attachment 2291812
Safi sana,intelligence ya urusi imefanya kazi nzuri,taarifa zikavuja,kwenye vita hakuna kucheka na mtu,Ukraine wapigwe tu,Mzee Putin aikamate nchi nzima,apandishe benders ya urusi,Cha msingi asipige balozi za nchi za magharibi na ulaya tu,Wala asimuue zelenskyRussia comments on deadly strike on Ukrainian city
Moscow said it targeted a meeting of Kiev's military commanders with foreign arms suppliers in central Vinnitsa.
Russia attacked the House of Military Officers in Vinnitsa with sea-launched Kalibr cruise missiles, the Defense Ministry said on Friday during a daily briefing. The statement claimed that the attack happened when a group of Ukrainian senior military officers were holding a meeting with foreign arms suppliers. The discussion was about the “transfer of more warplanes and weapons systems as well as the repair of the Ukrainian military air fleet,” the ministry said. The Russian strike killed all participants at the gathering.
Ndiyo maana Zelensky amelalamika sana kupita kawaida yake ya kulalamika. Mpaka akasema ingefanyika namna hii huko Texas Marekani ingekuwaje? Hapa anazungumzia shambulizi lililofanywa na urusi katikati ya Ukraine kwenye mji wa Vinnytsia in central Ukraine. Makamanda wa ukraine walikuwa kwenye kikao cha kuzungumzia kuuziwa silaha na wawakilishi wa makampuni ya nchi za magjharibi yanayouza silaha nzito za kijeshi. Wote waliangamizwa!!
hata mkijificha hospitalini ,mtaletewa vitu vizito hukohuko !!Vita haiangalii kìtu ,sijui mgonjwa,mtt au kilema. waache kujificha kwa raia ,vinginevyo vitu vizito vitawafuata hukohuko waliko hata Kama kwenye incubator za watt ,mtaletewa missiles hukohuko!!Sijajiandaa kwa ubishi, Mkuu. Kwa hiyo nakutakia kila la heri.