......imeandikwa kuwa " mume ampende mke na mke amtii mume". Na isiwe kinyume chake. Mke hapaswi kupenda bali kupendwa, na kazi ya mke iwe ni kutii kama jeshini vile.
Lakini bahati nzuri ni kwamba, mwanume akimpenda mke automatically atamheshimu mkewe, na mwanamke akipendwa na kuheshimiwa automatically atamtii mumewe.
Ndoa nyingi zinavunjika kwa kukosekana kwa heshima na utii baina ya mke na mume.
Lakini bahati nzuri ni kwamba, mwanume akimpenda mke automatically atamheshimu mkewe, na mwanamke akipendwa na kuheshimiwa automatically atamtii mumewe.
Ndoa nyingi zinavunjika kwa kukosekana kwa heshima na utii baina ya mke na mume.