maxmiller pro
JF-Expert Member
- Jan 1, 2022
- 225
- 399
Source plz.dini tofauti humu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783] Mwanamke na amtii mumewe, hiii ina work vizuri kama mke na mume na watii kwa Mungu na niwacha Mungu bila hivyo kanuni ya Mungu haiwezi kufanya kazi kwa mabandidu
Sema yana ujuzi na ufundi mwingi sanaaa kuliko ma junior 🤠🤠Mabandidu na makurumbembe[emoji38][emoji38]
Nadhani wewe haujaelewa lugha ya kisaikolojia aliyotumia mleta mada. Ni ngumu kuwa mwanamke anapenda the very same way mwanaume anapenda hilo haliwezekani.Vice versa is true,sisi tupo field kabsa mwanamke akikupenda utaishi kwa furaha sana maisha yako yote ya ndoa!
Mwanamke huyu hafai. Mwanaume alikosea tangu mwanzoni. Alipaswa kuutafiti na kuupima utii wa mwanamke huyu kabla ya kumuoa.yeye anakujibu kwahiyo unanichagulia marafiki na hautaki niwe na marafiki, mbona wewe sikuchagulii marafiki?!
Mara zote Haiwezekani mtu akawa amejaaliwa vyote.UKISOMA mada za humu inaonekana Wanataka pesa, hela, fedha, chapaa, umpende, umdekeze na usiwe na maumbile madogo ndo angalau kidogo labda utamfaa.
Ila na nyie hamna msimamo mara mileage inasoma mno. Mnataka nini aiseeeSema yana ujuzi na ufundi mwingi sanaaa kuliko ma junior 🤠🤠
😊😊 Inategemea ntu na ntu, mfano mie kikubwa utelezi tu, sina vigezo vingiii kivile, utelezi upo inatosha mambo ya kuchagua chagua tunawaacha newcomersIla na nyie hamna msimamo mara mileage inasoma mno. Mnataka nini aiseee
Ila ili ndoa ama mahusiano yadumu ni lazima mwanaume awe anayependa zaidi kuliko mwanamke.Vice versa is true,sisi tupo field kabsa mwanamke akikupenda utaishi kwa furaha sana maisha yako yote ya ndoa!
Asante studio😊😊 Inategemea ntu na ntu, mfano mie kikubwa utelezi tu, sina vigezo vingiii kivile, utelezi upo inatosha mambo ya kuchagua chagua tunawaacha newcomers
Nilifikiri utanifikiria kidogoAsante studio
Haya sasa baada ya kutoa maoni studio naomba akurudishe ukaketi kidogo😆
Umeshashindikana hadi na mitume nakufiriaje yan😆😆Nilifikiri utanifikiria kidogo
🙄🙄🙄 Aaah jamani huku nilipo baridi, kwenye meza ya majadiliano yote yawezekanaUmeshashindikana hadi na mitume nakufiriaje yan😆😆
Mchana na jua lake kazi kuendekeza utelezi tuu
Kila mwanamke ana vitu vyake anavyovipenda kutoka kwa mwanaume kama unavyo technical umeuteka moyo wakeMmmm mimi tena sitamani tena kupendwa na mwanamke hawa watu upendo wao ua sio wakudumu kabisa anaweza kukupenda leo kesho kukatokea mwanaume mwingine mwenye sifa kama zako akampenda pia
Kwa ufupi upendo wa mwanamke haunaga msimamo basi
Ukiona hivyo ujue alifata vitu fulani fulani kwako na si kwamba alikupenda,mwanamke akikupenda kweli hababaishwi kirahisi huko nje.Mmmm mimi tena sitamani tena kupendwa na mwanamke hawa watu upendo wao ua sio wakudumu kabisa anaweza kukupenda leo kesho kukatokea mwanaume mwingine mwenye sifa kama zako akampenda pia
Kwa ufupi upendo wa mwanamke haunaga msimamo basi
Hii habari ya mke kumpenda mwanaume ndiyo mm mleta mada naikataa. Haipaswi kuwa kigezo cha ndoa.Ukiona hivyo ujue alifata vitu fulani fulani kwako na si kwamba alikupenda,mwanamke akikupenda kweli hababaishwi kirahisi huko nje.