mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Hii mambo ya vijana kuchukuana na kuanza maisha bila kutushirikisha wazazi imekaaje?
Binti unajiskiaje kuishi na mtu asiyejulikana kwenu?
Kijana wa kiume unapata amani kuishi na binti bila kufuata taratibu? Ni kushindwa kulipa mahari au kushindwa kujua faida za kufuata taratibu?
Wazazi tunalionaje hili? Tunawaongozaje watoto wetu kwenye malezi na maisha ya mahusiano?
Je, vijana kufuata taratibu kunaweza kusaidia kujenga familia bora na kupunguza majanga yanayotokana mahusiano kwa jamii? Au ndio utandawazi watoto hawaulizi wala kuulizwa?
Nimempenda sana huyu kamanda wa police chang'ombe. Mwanamke wa shoka huyu ameongea bila kumungunya maneno wala kupepesa macho😍🇹🇿🙏 Mwenye namba zake anipe tafadhali
#MtotoMleeAkimjuaMungu😍📿📖🕍💒⛪🕌🕋🙏
Cc Extrovert mkorinto Jokajeusi Carlos The Jackal Tate Mkuu Asprin Bujibuji
Binti unajiskiaje kuishi na mtu asiyejulikana kwenu?
Kijana wa kiume unapata amani kuishi na binti bila kufuata taratibu? Ni kushindwa kulipa mahari au kushindwa kujua faida za kufuata taratibu?
Wazazi tunalionaje hili? Tunawaongozaje watoto wetu kwenye malezi na maisha ya mahusiano?
Je, vijana kufuata taratibu kunaweza kusaidia kujenga familia bora na kupunguza majanga yanayotokana mahusiano kwa jamii? Au ndio utandawazi watoto hawaulizi wala kuulizwa?
Nimempenda sana huyu kamanda wa police chang'ombe. Mwanamke wa shoka huyu ameongea bila kumungunya maneno wala kupepesa macho😍🇹🇿🙏 Mwenye namba zake anipe tafadhali
#MtotoMleeAkimjuaMungu😍📿📖🕍💒⛪🕌🕋🙏
Cc Extrovert mkorinto Jokajeusi Carlos The Jackal Tate Mkuu Asprin Bujibuji