This is bravo 1 we need a chopper! over.Kindly evacuate do you copy?over
Ujumbe wakaa ndoa uwafikie kila mtu .Katika suala la mahusiano JF inaharibu vijana aisee......Yaan hapana jaman...daaa
Za kuambiwa zina ukwel akatae tu ndoa hatakufa mapema kwa aibuZa kuambiwa..............!
Kila la kheriii
Wasiolewe tu tunaokoa kizazi cha kiume kinachoteseka bla sababu za msingi kisa ndoaSasa msipooa na kila mtu asipooa watoto wenu wa kike wataolewa na nani?
Angalieni madhara ya mlichokianzisha
Wanaoa kila sku malalamiko kibao wasio oa wapo vizuri apo nani kaaribika na nani hana akili?Wasio na akili ndio wataharibika
Me naona hawa wanaoharibiwa ni wale hawajielewi,,,hawatambui nini wanahitaji wao kama wao kwenye maisha yao ya mahusiano.Katika suala la mahusiano JF inaharibu vijana aisee......Yaan hapana jaman...daaa
Kutishia watu tu mngeenda kujilimbikiza kwa dr mwaka na manara kungekua na uhaba mafungu matatu kwa Mia unapataShauri yao, wenzao China kuna baadhi ya maeneo wanatafuta hata hao wanawake wa kuoa
Copy that...Chopper on the way..do you copy!overThis is bravo 1 we need a chopper! over.
Kabisa yani.Wasio na akili ndio wataharibika
Kama ni bikra sio pesa ila kma hakuna kitu achukue ata bureMilioni 2 nayo ni hela ya kulalamika hapa simamia tu kuwa hujamwelewa huyo mchumba wako+ huna mpango
Mimi sivuti sigara naomba kukuoaYaani mwanaume akisha sema anavuta sigara namuona mchafu mwenye harufu mbaya kama beberu kha wanawake ni wavumilivu.
Kuna mwalimu wangu mmoja aliwahi kusema nanukuu:Wavuta sugara wananuka kishizi yaani..
Achana na tumbaku mkuu..
namba saba hujaweka kwenye list: Kupiga punyetoNilikwenda kuchumbia mahali fulani...majibu yakatoka nikaambiwa nipeleke milioni mbili..,nimejitafakari aisee ni hapana sijajua wazazi wa Binti watanifikiria vipi ...ila watanisamehe tu.
Kwanza naenda kumnunua mtu...pesa inatoka hapo,pili natakiwa niwe namhudumia kwa kila kitu nikiwa naye nayo ni pesa hio,tatu Mwanamke atakuja kunibana aisee nishazoea kulala pekeangu,nne nahofia tukiachana nitapoteza hata hivi vichache nilivonavyo...mwisho kabisa Mwanamke nimemuona mtu wa lawamalawama sana...kwanza ni ngenye ndio zilisababisha harakaharaka nichumbie
Binafsi nikifikisha miaka 40 labda ndio nifikirie kuoa kwa saivi najitafuta kwanza nahitaji niimarike kiuchumi
Mikakati ninayokuja nayo
1.naacha pombe,sigara
2.nakuwa mtu wa ibada na kusoma vitabu.
3.nakuwa mchumi na mbahili lakini nataka nifanye kazi kwa bidii sana
4.naweka akiba
5.nakuwa mtu wa kujipenda na kupendeza kuvaa vizuri
6.mbinafsi.
Note:ndoa ni muhimu lakini sio lazima