Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Utanipa yote Kipenz 😋😋Kwanza ngoja tukubaliane kuoana pombe nitakupa vizuri ili uache pole pole 😁🥰🥰
Ndio yotee bila kubana Sasa kwanini nikubanie ila lazima utanipa nawewe yote sindioUtanipa yote Kipenz 😋😋
Kama dozi kutwa mara 3 Kipenz ila mm napenda kupiga deki utaweza kunipa nipige deki 😋😋😋Ndio yotee bila kubana Sasa kwanini nikubanie ila lazima utanipa nawewe yote sindio
Naomba jibu msweetyKama dozi kutwa mara 3 Kipenz ila mm napenda kupiga deki utaweza kunipa nipige deki 😋😋😋
Umekuja vizuri Sana,unalipa DStv wakati utakuwa na bili kila mwezi,kila wiki na kila saa unamapa Hadi attention hell no,hakuna promotion wala nini piga chiniNilikwenda kuchumbia mahali fulani...majibu yakatoka nikaambiwa nipeleke milioni mbili..,nimejitafakari aisee ni hapana sijajua wazazi wa Binti watanifikiria vipi ...ila watanisamehe tu.
Kwanza naenda kumnunua mtu...pesa inatoka hapo,pili natakiwa niwe namhudumia kwa kila kitu nikiwa naye nayo ni pesa hio,tatu Mwanamke atakuja kunibana aisee nishazoea kulala pekeangu,nne nahofia tukiachana nitapoteza hata hivi vichache nilivonavyo...mwisho kabisa Mwanamke nimemuona mtu wa lawamalawama sana...kwanza ni ngenye ndio zilisababisha harakaharaka nichumbie
Binafsi nikifikisha miaka 40 labda ndio nifikirie kuoa kwa saivi najitafuta kwanza nahitaji niimarike kiuchumi
Mikakati ninayokuja nayo
1.naacha pombe,sigara
2.nakuwa mtu wa ibada na kusoma vitabu.
3.nakuwa mchumi na mbahili lakini nataka nifanye kazi kwa bidii sana
4.naweka akiba
5.nakuwa mtu wa kujipenda na kupendeza kuvaa vizuri
6.mbinafsi.
Note:ndoa ni muhimu lakini sio lazima
Tatizo wanawake mmekuwa watu na fursa,naona alafu kila kitu chetu hell noKatika suala la mahusiano JF inaharibu vijana aisee......Yaan hapana jaman...daaa
Wengi Wana mapepo na kushinda na mwamposa muda woteVijana oeni
Ukipata mke Bora utafurahia maisha
Lakini ukipata Bora mke utakuwa Mwanafalsafa.
SorTatizo wanawake mmekuwa watu na fursa,naona alafu kila kitu chetu hell no
Tena magonjwa mengi wanatusababishia wanawake,hatutaki watu wafe kwa sukari na pressure, kila mtu ashinde na xhake,mkutano wenyewe ni malipo tuuWasiolewe tu tunaokoa kizazi cha kiume kinachoteseka bla sababu za msingi kisa ndoa
Wakati mwingine ina ukweli. Mahari milion 2? Hapana kwa kweliKatika suala la mahusiano JF inaharibu vijana aisee......Yaan hapana jaman...daaa
Fact mzeee....Vijana oeni
Ukipata mke Bora utafurahia maisha
Lakini ukipata Bora mke utakuwa Mwanafalsafa.
Fact mzeee....Vijana oeni
Ukipata mke Bora utafurahia maisha
Lakini ukipata Bora mke utakuwa Mwanafalsafa.
Fact mzeee....Vijana oeni
Ukipata mke Bora utafurahia maisha
Lakini ukipata Bora mke utakuwa Mwanafalsafa.
Unataka utoe sh ngapi mkuu...mbona ndogo sanaWakati mwingine ina ukweli. Mahari milion 2? Hapana kwa kweli
Laki 5 - 1M mwisho. Huko kwingine ni utapeli.Unataka utoe sh ngapi mkuu...mbona ndogo sana