Ndoa hewa zimeshika kasi sana kwa Wakristo. Ndoa inafungwa na baada ya wiki moja mume anaishi mkoa mwingine na mke mkoa mwingine

Kuna kitu naonaga wanaita e-cigarettes, sijajua wanavutaje hizi..
Labda hizi ndoa bandia nazo zinaweza kustahili kuitwa e-marriages..

Yaani una mke afu unalazimika kuwa unanunua huduma ya mbususu regularly, na mkeo anakamuliwa huko.. Wakiitwa waliooa na ww unainua mkono kabisaaa!!!
 

balaa tupu. Mtu una mke ila nguo unapeleka kwa dobi ama unahangaika kufua. Papuchi mpaka utegee ma baa maid ama wauza uchi
 
Kuibebesha dini hili tatizo umekosea labda ungesema watumishi au waajiriwa kwa ujumla ndio changamoto inawakumba.
 
Wapo, tena wa kutosha tu. Kuna jamaa wanaishi Mozambique wake zao wapo dsm. Jamaa mmoja alioa Jan akaacha mke saivi yupo Mozambique, kuna dada ana kama 4yrs kwa ndoa, mume anarudi mara moja kila miezi mitatu anakaa wiki na kusepa. Wapo wengi tu!
 
Kwa hiyo umechunguza hadi umejua kuwa hawayajui hayo yote!?maisha Yao wamefanya hivyo nadhani wanapaswa kuheshimiwa
 
Huu utafiti ulifanya wapi na lini ?
 
Ndoa za masafa marefu
 

Ndoa za kidijigitali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…