The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Huyo mkeo mlikutana KFC?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia kapumbu anakuja unyamaniMpige pumbu kisawasawa apunguze kelele. Itakuwa unampapasa
Broo kukaa kimya ndio kumpa kiki huyu vurugu zake ni wivu uliopitiliza unajua inafika muda sipendi hata kukaa nyumbani. Yani yeye kila mwanamke kwake ni mbaya.Pole sana. Ndoa imekuwa jehanamu kwa wengi, ila na wewe tayari umekubaliana na hali, mkeo kashakusoma madhaifu yako na kubadilisha hio kitu inahitaji wewe mwenyewe ubadilike ndo na yeye afuate. Sijui nini chanzo ila kama unataka amani inabidi uianzishe wewe, only you can change it, jifanye mjinga kW muda, usimkaripie wala kumjibu huo ndo uanamme sio kukimbia na kulialia. Kutafta mwanamke mwingine utazingua, kama mmedumu toka 2008 means mnajuana vizuri, work it through bro.
Mara ya mwisho kufanya tendo ilikua lini?Broo kukaa kimya ndio kumpa kiki huyu vurugu zake ni wivu uliopitiliza unajua inafika muda sipendi hata kukaa nyumbani. Yani yeye kila mwanamke kwake ni mbaya.
Yani nitoke auti na mwanamke aise siwezi maana itakuwa vurugu.Inaonekana huyo Mke humkazi sawasawa;
Iwapo Mke hakazwi sawasawa anakuwa ni mtu mwenye hasira mara kwa mara.
Hakikisha unamkaza na unamfikisha Kibo 🙌
Tenga muda wa kuwa naye.
Kuna wakati Mke anahitaji muda wako japo akusimulie mambo yake ya Mchana kutwa......
Mtafutie shughuli za kumfanya busy..........mfungulie kibanda awe anauza hata Mchele na maharage
Hakikisha weekend unamtoa out mkale hata Mihogo ya Coco beach pamoja
Usisahau kumkaza ili kumuondolea sumu mwilini Mwake
Jana tuMara ya mwisho kufanya tendo ilikua lini?
Basi kumbe tatizo ni wewe!Yani nitoke auti na mwanamke aise siwezi maana itakuwa vurugu.
Ndio hivyo wakati mwingine nachepuka kwasababu yake tu.Huchepuki sana nimeishia hapo, yeye je anakuzidi kete sekta hii
Basi piga tako kisawasawa mfikishe kileleni, yaani hata siku haijaisha tyr kimenuka na jana ulipewa mzigo!Jana tu
Mkuu kama hilo Dogo huwezi basi itakuwa hukumpenda huyo Mkeo, labda umelazimishwa kuwa nayeYani nitoke auti na mwanamke aise siwezi maana itakuwa vurugu.
Siokwamba naogopaUnaogopa kwenda kwako sababu ya kelele za mwanamke,mnase makofi akili zimkae sawa
Siwezi kutoka nae kwasababu ninakuwa sinaamani. Kwasababu hataki uangalie mwanamke yeyote.Mkuu kama hilo Dogo huwezi basi itakuwa hukumpenda huyo Mkeo, labda umelazimishwa kuwa naye
Kuna njia za kumshusha temper Mkeo Moja wako ni hiyo ya kumtoa out
Tena ukiweza kumpeleka hotelini Siku hiyo usishangae ukapewa vitu ambavyo hukutarajia kupewa...😜
NDOA NI UTAPELI,TAFUTA AMANI YA MOYO:CC:Mkuu wetu mr Liverpool VPNNdoa hizi zitatuua.Jamani ipo hivi .Mimi ni mme mwenye mke mmoja na mtoto mmoja.Mke huyu tumetoka nae mbali tulianza nae mwaka 2008. Changamoto aliyo nayo ni kelele na wivu uliopitiliza yani sina amani ndani akianza kuongea hamalizi .
Kiufupi tabia yangu niyakawaida sichepuki sana. Sasa juzi hapa kafanya kituko nimetoka mapema asubuhi kumbe huku nyuma kafanya vurugu kwa majirani yupo mama mmoja ni msimbe sasa mke wangu anahofia kuwa natembea nae .
Kiukweli huyu mama hata sijawahi kumtongoza ila mke wangu anamuhofia bure.Hili jambo linanipakero sana.
Mungu kajaria tumejenga sasa kila siku ananitisha kwamba tutauza nyumba tugawane.
Vurugu ikizidi sana hii ndoa itakuja kufa bora kuanza upya kuliko kuishi bila amani.
Hivi wadau mnaishije na aina hii ya wanawake. Ninachangamoto sana yani hapa nimekaa juu ya jiwe kijiweni nawaza namna ya kurudi nyumbani maana nikifika tu ni kelele.
Nawasilisha wakuu.
Hahaha..........kwani ukitoka naye out na ukasema uzibe macho usione kwingine huwezi Mkuu?Siwezi kutoka nae kwasababu ninakuwa sinaamani. Kwasababu hataki uangalie mwanamke yeyote.
.