Ndoa hizi zitatuua jamani!

Ndoa hizi zitatuua jamani!

Inaonekana huyo Mke humkazi sawasawa;

Iwapo Mke hakazwi sawasawa anakuwa ni mtu mwenye hasira mara kwa mara.

Hakikisha unamkaza na unamfikisha Kibo 🙌

Tenga muda wa kuwa naye.

Kuna wakati Mke anahitaji muda wako japo akusimulie mambo yake ya Mchana kutwa......

Mtafutie shughuli za kumfanya busy..........mfungulie kibanda awe anauza hata Mchele na maharage

Hakikisha weekend unamtoa out mkale hata Mihogo ya Coco beach pamoja

Usisahau kumkaza ili kumuondolea sumu mwilini Mwake
 
Pole sana. Ndoa imekuwa jehanamu kwa wengi, ila na wewe tayari umekubaliana na hali, mkeo kashakusoma madhaifu yako na kubadilisha hio kitu inahitaji wewe mwenyewe ubadilike ndo na yeye afuate. Sijui nini chanzo ila kama unataka amani inabidi uianzishe wewe, only you can change it, jifanye mjinga kW muda, usimkaripie wala kumjibu huo ndo uanamme sio kukimbia na kulialia. Kutafta mwanamke mwingine utazingua, kama mmedumu toka 2008 means mnajuana vizuri, work it through bro.
Broo kukaa kimya ndio kumpa kiki huyu vurugu zake ni wivu uliopitiliza unajua inafika muda sipendi hata kukaa nyumbani. Yani yeye kila mwanamke kwake ni mbaya.
 
Inaonekana huyo Mke humkazi sawasawa;

Iwapo Mke hakazwi sawasawa anakuwa ni mtu mwenye hasira mara kwa mara.

Hakikisha unamkaza na unamfikisha Kibo 🙌

Tenga muda wa kuwa naye.

Kuna wakati Mke anahitaji muda wako japo akusimulie mambo yake ya Mchana kutwa......

Mtafutie shughuli za kumfanya busy..........mfungulie kibanda awe anauza hata Mchele na maharage

Hakikisha weekend unamtoa out mkale hata Mihogo ya Coco beach pamoja

Usisahau kumkaza ili kumuondolea sumu mwilini Mwake
Yani nitoke auti na mwanamke aise siwezi maana itakuwa vurugu.
 
Yani nitoke auti na mwanamke aise siwezi maana itakuwa vurugu.
Mkuu kama hilo Dogo huwezi basi itakuwa hukumpenda huyo Mkeo, labda umelazimishwa kuwa naye

Kuna njia za kumshusha temper Mkeo Moja wako ni hiyo ya kumtoa out

Tena ukiweza kumpeleka hotelini Siku hiyo usishangae ukapewa vitu ambavyo hukutarajia kupewa...😜
 
Mkuu kama hilo Dogo huwezi basi itakuwa hukumpenda huyo Mkeo, labda umelazimishwa kuwa naye

Kuna njia za kumshusha temper Mkeo Moja wako ni hiyo ya kumtoa out

Tena ukiweza kumpeleka hotelini Siku hiyo usishangae ukapewa vitu ambavyo hukutarajia kupewa...😜
Siwezi kutoka nae kwasababu ninakuwa sinaamani. Kwasababu hataki uangalie mwanamke yeyote.
.
 
Mkuu mbona changamoto Ndogo Sana hiyo.

Ila mchunguze vizuri, kama mke wako ana wivu sana na wewe kuna mawili. Either anagawa sana nje au anakupenda Sana.
 
Ndoa hizi zitatuua.Jamani ipo hivi .Mimi ni mme mwenye mke mmoja na mtoto mmoja.Mke huyu tumetoka nae mbali tulianza nae mwaka 2008. Changamoto aliyo nayo ni kelele na wivu uliopitiliza yani sina amani ndani akianza kuongea hamalizi .

Kiufupi tabia yangu niyakawaida sichepuki sana. Sasa juzi hapa kafanya kituko nimetoka mapema asubuhi kumbe huku nyuma kafanya vurugu kwa majirani yupo mama mmoja ni msimbe sasa mke wangu anahofia kuwa natembea nae .

Kiukweli huyu mama hata sijawahi kumtongoza ila mke wangu anamuhofia bure.Hili jambo linanipakero sana.

Mungu kajaria tumejenga sasa kila siku ananitisha kwamba tutauza nyumba tugawane.
Vurugu ikizidi sana hii ndoa itakuja kufa bora kuanza upya kuliko kuishi bila amani.

Hivi wadau mnaishije na aina hii ya wanawake. Ninachangamoto sana yani hapa nimekaa juu ya jiwe kijiweni nawaza namna ya kurudi nyumbani maana nikifika tu ni kelele.
Nawasilisha wakuu.
NDOA NI UTAPELI,TAFUTA AMANI YA MOYO:CC:Mkuu wetu mr Liverpool VPN
 
Siwezi kutoka nae kwasababu ninakuwa sinaamani. Kwasababu hataki uangalie mwanamke yeyote.
.
Hahaha..........kwani ukitoka naye out na ukasema uzibe macho usione kwingine huwezi Mkuu?

Nina mashaka huyo Mkeo hukumpenda Kwa dhati, ni kama umelazimishwa kuwa naye
 
Back
Top Bottom