Ndoa hizi zitatuua jamani!

Ndoa hizi zitatuua jamani!

Ndoa hizi zitatuua.Jamani ipo hivi .Mimi ni mme mwenye mke mmoja na mtoto mmoja.Mke huyu tumetoka nae mbali tulianza nae mwaka 2008. Changamoto aliyo nayo ni kelele na wivu uliopitiliza yani sina amani ndani akianza kuongea hamalizi .

Kiufupi tabia yangu niyakawaida sichepuki sana. Sasa juzi hapa kafanya kituko nimetoka mapema asubuhi kumbe huku nyuma kafanya vurugu kwa majirani yupo mama mmoja ni msimbe sasa mke wangu anahofia kuwa natembea nae .

Kiukweli huyu mama hata sijawahi kumtongoza ila mke wangu anamuhofia bure.Hili jambo linanipakero sana.

Mungu kajaria tumejenga sasa kila siku ananitisha kwamba tutauza nyumba tugawane.
Vurugu ikizidi sana hii ndoa itakuja kufa bora kuanza upya kuliko kuishi bila amani.

Hivi wadau mnaishije na aina hii ya wanawake. Ninachangamoto sana yani hapa nimekaa juu ya jiwe kijiweni nawaza namna ya kurudi nyumbani maana nikifika tu ni kelele.
Nawasilisha wakuu.
Ushauri:
Usiongeze mtoto, na kwepa kabisa mimba ingine, huyo mmoja unaweza mbeba mgongoni ukaendelea na maisha yako, Mimi sina ushauri, huyo hata week siwezi kaa naye.
 
Hyo changamoto , huyo ni mtegeshea siku moja una muawasha makofi
 
Ndoa hizi zitatuua.Jamani ipo hivi .Mimi ni mme mwenye mke mmoja na mtoto mmoja.Mke huyu tumetoka nae mbali tulianza nae mwaka 2008. Changamoto aliyo nayo ni kelele na wivu uliopitiliza yani sina amani ndani akianza kuongea hamalizi .

Kiufupi tabia yangu niyakawaida sichepuki sana. Sasa juzi hapa kafanya kituko nimetoka mapema asubuhi kumbe huku nyuma kafanya vurugu kwa majirani yupo mama mmoja ni msimbe sasa mke wangu anahofia kuwa natembea nae .

Kiukweli huyu mama hata sijawahi kumtongoza ila mke wangu anamuhofia bure.Hili jambo linanipakero sana.

Mungu kajaria tumejenga sasa kila siku ananitisha kwamba tutauza nyumba tugawane.
Vurugu ikizidi sana hii ndoa itakuja kufa bora kuanza upya kuliko kuishi bila amani.

Hivi wadau mnaishije na aina hii ya wanawake. Ninachangamoto sana yani hapa nimekaa juu ya jiwe kijiweni nawaza namna ya kurudi nyumbani maana nikifika tu ni kelele.
Nawasilisha wakuu.
Tendo la ndoa unafanya kikamilifu lakini au tia maji tia maji? Mpige pipe vizuri kama wiki mfululizo alafu uone mabadiliko
 
Wewe umeoa? . Usidhani umeyapatia maisha achana na mwanamke
Nimeoa Mkuu

Huu ni Mwaka wa 10+ tupo pamoja

Ni kweli Wanawake hawatabiriki(Wana visirani) lakini kama Kuna nafasi ya kumfanya afurahi Mpenzi wako mfanye afurahi

Nyumba yenye amani ni nyumba ambayo Kitanda cha Wazazi kinatikisika wakati wa usiku 🤗
 
Labda awe Hana tumbo kubwa Ila km ana kitambi atamsifia uongo
Hujawahi kusikia ulipenda chongo huita kengeza 😅🙌

Kama mwenza ana Kitambi msifie hivyo hivyo kwamba unapenda Kitambi chake hasa akiwa anatembea utasema tumbo la kangaroo 😜

Wanawake wanapenda hata sifa za uongo, we mpe tu 🤗
 
Ndoa hizi zitatuua.Jamani ipo hivi .Mimi ni mme mwenye mke mmoja na mtoto mmoja.Mke huyu tumetoka nae mbali tulianza nae mwaka 2008. Changamoto aliyo nayo ni kelele na wivu uliopitiliza yani sina amani ndani akianza kuongea hamalizi .

Kiufupi tabia yangu niyakawaida sichepuki sana. Sasa juzi hapa kafanya kituko nimetoka mapema asubuhi kumbe huku nyuma kafanya vurugu kwa majirani yupo mama mmoja ni msimbe sasa mke wangu anahofia kuwa natembea nae .

Kiukweli huyu mama hata sijawahi kumtongoza ila mke wangu anamuhofia bure.Hili jambo linanipakero sana.

Mungu kajaria tumejenga sasa kila siku ananitisha kwamba tutauza nyumba tugawane.
Vurugu ikizidi sana hii ndoa itakuja kufa bora kuanza upya kuliko kuishi bila amani.

Hivi wadau mnaishije na aina hii ya wanawake. Ninachangamoto sana yani hapa nimekaa juu ya jiwe kijiweni nawaza namna ya kurudi nyumbani maana nikifika tu ni kelele.
Nawasilisha wakuu.
Sawa kama huchepuki sana tuishie hapo
 
Nimeoa Mkuu

Huu ni Mwaka wa 10+ tupo pamoja

Ni kweli Wanawake hawatabiriki(Wana visirani) lakini kama Kuna nafasi ya kumfanya afurahi Mpenzi wako mfanye afurahi

Nyumba yenye amani ni nyumba ambayo Kitanda cha Wazazi kinatikisika wakati wa usiku 🤗
Hongera. Kinatikisikaje wakati ukiwa kazini anatikiswa ukirudi mara kiuno, mgongo, matiti yanauma, huko hakufai kwa sasa?.
 
Ndoa hizi zitatuua.Jamani ipo hivi .Mimi ni mme mwenye mke mmoja na mtoto mmoja.Mke huyu tumetoka nae mbali tulianza nae mwaka 2008. Changamoto aliyo nayo ni kelele na wivu uliopitiliza yani sina amani ndani akianza kuongea hamalizi .

Kiufupi tabia yangu niyakawaida sichepuki sana. Sasa juzi hapa kafanya kituko nimetoka mapema asubuhi kumbe huku nyuma kafanya vurugu kwa majirani yupo mama mmoja ni msimbe sasa mke wangu anahofia kuwa natembea nae .

Kiukweli huyu mama hata sijawahi kumtongoza ila mke wangu anamuhofia bure.Hili jambo linanipakero sana.

Mungu kajaria tumejenga sasa kila siku ananitisha kwamba tutauza nyumba tugawane.
Vurugu ikizidi sana hii ndoa itakuja kufa bora kuanza upya kuliko kuishi bila amani.

Hivi wadau mnaishije na aina hii ya wanawake. Ninachangamoto sana yani hapa nimekaa juu ya jiwe kijiweni nawaza namna ya kurudi nyumbani maana nikifika tu ni kelele.
Nawasilisha wakuu.
Usiogope.
Kama unataka amani, akija juu wewe jishushe.
Apologize for no reason
 
Hujawahi kusikia ulipenda chongo huita kengeza 😅🙌

Kama mwenza ana Kitambi msifie hivyo hivyo kwamba unapenda Kitambi chake hasa akiwa anatembea utasema tumbo la kangaroo 😜

Wanawake wanapenda hata sifa za uongo, we mpe tu 🤗
😂😂😂😂
Tumewastukia kwamba mnatusifia uongoo
 
Ndoa hizi zitatuua.Jamani ipo hivi .Mimi ni mme mwenye mke mmoja na mtoto mmoja.Mke huyu tumetoka nae mbali tulianza nae mwaka 2008. Changamoto aliyo nayo ni kelele na wivu uliopitiliza yani sina amani ndani akianza kuongea hamalizi .

Kiufupi tabia yangu niyakawaida sichepuki sana. Sasa juzi hapa kafanya kituko nimetoka mapema asubuhi kumbe huku nyuma kafanya vurugu kwa majirani yupo mama mmoja ni msimbe sasa mke wangu anahofia kuwa natembea nae .

Kiukweli huyu mama hata sijawahi kumtongoza ila mke wangu anamuhofia bure.Hili jambo linanipakero sana.

Mungu kajaria tumejenga sasa kila siku ananitisha kwamba tutauza nyumba tugawane.
Vurugu ikizidi sana hii ndoa itakuja kufa bora kuanza upya kuliko kuishi bila amani.

Hivi wadau mnaishije na aina hii ya wanawake. Ninachangamoto sana yani hapa nimekaa juu ya jiwe kijiweni nawaza namna ya kurudi nyumbani maana nikifika tu ni kelele.
Nawasilisha wakuu.
je kitandani unampa huduma sawasawa?
 
"Tunajenga tabia kisha tabia zinatujenga, ukishindwa kujiongoza ujue mwenyewe tu ulipenda" bro hupendi kelele huku unachepuka tena ukisema si sana, kuchepuka ni kule kule tu. Je ukiacha tabia hiyo je uwa kuna shida ingine inayosababisha mkeo kukupigia kelele nyumbani kama hakuna means unakuja kuomba msaada kwa jambo ambalo unalijua kama mdau alivyosema kwamba umeishi nae tangu 2008 kwa maana kwamba unamjua vizuri mkeo embu kuwa serious kuna watu wapo serious wanashida na ndoa zao bro embu sort it out.
 
Back
Top Bottom