Ndoa hizi zitatuua jamani!

Ndoa hizi zitatuua jamani!

Shida inaanzia hapo. Kukariri mke mmoja
Ndoa hizi zitatuua.Jamani ipo hivi .Mimi ni mme mwenye mke mmoja na mtoto mmoja.Mke huyu tumetoka nae mbali tulianza nae mwaka 2008. Changamoto aliyo nayo ni kelele na wivu uliopitiliza yani sina amani ndani akianza kuongea hamalizi .

Usichelewe hadi uzeeni utajuta. Uza mgawane utakuja kunishukuru.

Siku akikutamkia kuuza mwambie atafute dalali au wanunuaji. Akichelewa mwambie wewe umepata wa kununua.

Pia kama msimbe analipa unaonaje ukafanya kweli ili tuhuma zake ziwe na ukweli. Utachagua mwenyewe
 
Hamia kwa mwanamke yeyote hapo mtaani, usirudi nyumbani mpaka aje aombe msamaha... Alaaah lazima atambue thamani yako
 
Ndoa hizi zitatuua.Jamani ipo hivi .Mimi ni mme mwenye mke mmoja na mtoto mmoja.Mke huyu tumetoka nae mbali tulianza nae mwaka 2008. Changamoto aliyo nayo ni kelele na wivu uliopitiliza yani sina amani ndani akianza kuongea hamalizi .

Kiufupi tabia yangu niyakawaida sichepuki sana. Sasa juzi hapa kafanya kituko nimetoka mapema asubuhi kumbe huku nyuma kafanya vurugu kwa majirani yupo mama mmoja ni msimbe sasa mke wangu anahofia kuwa natembea nae .

Kiukweli huyu mama hata sijawahi kumtongoza ila mke wangu anamuhofia bure.Hili jambo linanipakero sana.

Mungu kajaria tumejenga sasa kila siku ananitisha kwamba tutauza nyumba tugawane.
Vurugu ikizidi sana hii ndoa itakuja kufa bora kuanza upya kuliko kuishi bila amani.

Hivi wadau mnaishije na aina hii ya wanawake. Ninachangamoto sana yani hapa nimekaa juu ya jiwe kijiweni nawaza namna ya kurudi nyumbani maana nikifika tu ni kelele.
Nawasilisha wakuu.
wasaKj8I_400x400.jpg

Kijana bado hujakuwa?
 
Inaonekana huyo Mke humkazi sawasawa;

Iwapo Mke hakazwi sawasawa anakuwa ni mtu mwenye hasira mara kwa mara.

Hakikisha unamkaza na unamfikisha Kibo 🙌

Tenga muda wa kuwa naye.

Kuna wakati Mke anahitaji muda wako japo akusimulie mambo yake ya Mchana kutwa......

Mtafutie shughuli za kumfanya busy..........mfungulie kibanda awe anauza hata Mchele na maharage

Hakikisha weekend unamtoa out mkale hata Mihogo ya Coco beach pamoja

Usisahau kumkaza ili kumuondolea sumu mwilini Mwake

Mzee wangu hawa wanawake wa siku hizi hawakaziki maana wanaishi na ma Madude ya mbao chini ya vitanda anakuvizia usiku umelala yeye anajimaliza nalo mpaka anafika kibo,

Dunia inapitia kipindi kigumu hakijawahi tokea.
 
Mzee wangu hawa wanawake wa siku hizi hawakaziki maana wanaishi na ma Madude ya mbao chini ya vitanda anakuvizia usiku umelala yeye anajimaliza nalo mpaka anafika kibo,

Dunia inapitia kipindi kigumu hakijawahi tokea.
Hahaha......kwamba wanatumia madildo ya mbao 😅🙌

Ndiyo maana Kuna mdau alishauri humu kuliko kujidai unakaa kifuani Kwa demu dakika 30 bora utumie sekunde zako 35 umwage uende zako ukatafute hela tu 😜
 
Kwani alie mwoa mwenzake nani? Kama ni wewe unaogopaje kurudi nyumbani kwako aiseee! Pathetic...
 
Ila jamani kuna wanaume wapole imagine unashindwa kurudi nyumbani kisa mke, ingekuwa ni huyu baba wawili wangu sasa eeehee (in magu voice) sijui ingekuwaje. Ushauri wangu sasa hebu gangamala na wewe khaaaa hebu fanya jambo ukomeshe hiyo tabia ya mwanamke mwenzangu.
 
Ndoa hizi zitatuua.Jamani ipo hivi .Mimi ni mme mwenye mke mmoja na mtoto mmoja.Mke huyu tumetoka nae mbali tulianza nae mwaka 2008. Changamoto aliyo nayo ni kelele na wivu uliopitiliza yani sina amani ndani akianza kuongea hamalizi .

Kiufupi tabia yangu niyakawaida sichepuki sana. Sasa juzi hapa kafanya kituko nimetoka mapema asubuhi kumbe huku nyuma kafanya vurugu kwa majirani yupo mama mmoja ni msimbe sasa mke wangu anahofia kuwa natembea nae .

Kiukweli huyu mama hata sijawahi kumtongoza ila mke wangu anamuhofia bure.Hili jambo linanipakero sana.

Mungu kajaria tumejenga sasa kila siku ananitisha kwamba tutauza nyumba tugawane.
Vurugu ikizidi sana hii ndoa itakuja kufa bora kuanza upya kuliko kuishi bila amani.

Hivi wadau mnaishije na aina hii ya wanawake. Ninachangamoto sana yani hapa nimekaa juu ya jiwe kijiweni nawaza namna ya kurudi nyumbani maana nikifika tu ni kelele.
Nawasilisha wakuu.
mle tiGo huyo.
 
Pole sana. Ndoa imekuwa jehanamu kwa wengi, ila na wewe tayari umekubaliana na hali, mkeo kashakusoma madhaifu yako na kubadilisha hio kitu inahitaji wewe mwenyewe ubadilike ndo na yeye afuate. Sijui nini chanzo ila kama unataka amani inabidi uianzishe wewe, only you can change it, jifanye mjinga kW muda, usimkaripie wala kumjibu huo ndo uanamme sio kukimbia na kulialia. Kutafta mwanamke mwingine utazingua, kama mmedumu toka 2008 means mnajuana vizuri, work it through bro.
Umempa ushauri mzuri sanaa. Na bora yeye mke alihisi anatoka na jirani mi wife alihisi nimekula mdogo wake na akamtimua nyumbani wakati dogo sijawahi hata kumtamani tu.
Ila kikubwa nimejifunza ni kukaa kimya hasa sisi tuliopata watu waongeaji sana pia kupunguza muda wa kukaa naye sana home, maana maneno yao mengi na yanaweza kukutibua haswa.
 
Ndoa hizi zitatuua.Jamani ipo hivi .Mimi ni mme mwenye mke mmoja na mtoto mmoja.Mke huyu tumetoka nae mbali tulianza nae mwaka 2008. Changamoto aliyo nayo ni kelele na wivu uliopitiliza yani sina amani ndani akianza kuongea hamalizi .

Kiufupi tabia yangu niyakawaida sichepuki sana. Sasa juzi hapa kafanya kituko nimetoka mapema asubuhi kumbe huku nyuma kafanya vurugu kwa majirani yupo mama mmoja ni msimbe sasa mke wangu anahofia kuwa natembea nae .

Kiukweli huyu mama hata sijawahi kumtongoza ila mke wangu anamuhofia bure.Hili jambo linanipakero sana.

Mungu kajaria tumejenga sasa kila siku ananitisha kwamba tutauza nyumba tugawane.
Vurugu ikizidi sana hii ndoa itakuja kufa bora kuanza upya kuliko kuishi bila amani.

Hivi wadau mnaishije na aina hii ya wanawake. Ninachangamoto sana yani hapa nimekaa juu ya jiwe kijiweni nawaza namna ya kurudi nyumbani maana nikifika tu ni kelele.
Nawasilisha wakuu.
hiyo siyo ndoa ni ndoano
ndoa mwanamke ndo analalamika. ukiona mwanamume analalamika jua hiyo ni ndoano
 
Hiyo sentensi kuwa sichepuki sana ina utata, akiiona atazidisha vurugu, atasema "kumbe unachepuka".
 
Back
Top Bottom