Ndoa humuongezea mtu heshima na kuaminika katika jamii yeyote

ndoa zina matatizo yake. ila uzuri unaofanya nisapoti ndoa ni kama familia ya mzee baba Casemiro. watoto wanamwona baba huyu hapa wanamwona mama huyu hapa. sio mtoto anamskia baba kwenye simu tu, kuonana mpaka weekend au skukuu.

HAINOGI.
 
Hakika ndoa inaleta heshima kwa familia zote mbili. Ila kwa jamii ya sasa mtazamo huo ndo unaosababisha kuongezeka kwa ukatili,,mauaji ya mpenzi nk. Utakuta familia inamlazimisha binti aolewe na mtu ambaye hata hajampenda kisa tu yupo tayari kutoa mahari akishaolewa ndoa haifiki mwaka imevunjika,,wengine wanawake wenyewe wakiona umri umeenda wanajitosa kwa yeyote aliyeko mbele yale ili tu aolewe apate heshima. Akishaingia kwenye ndoa honeymoon ikiisha ameshamchoka mumewe,,,ndo vurugu zinaanza.
Ifike hatua jamii tubadilike. Tuangalie thamani ya maisha yetu kwanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu yangu jaribu kutoka nje ya Bongo utagundua maisha siyo uniform.
 
Tafuta Tembo Mkuu..

Tembo kama Tembo huleta status ya Dunia.
 
Sasa heshima ndiyo nini, mimi uniheshimu au usiniheshimu sijali, sababu haunilishi, haunivishi wala haunisaidii chochote.

Waheshimiwa wa mchongo wapo huko bungeni na Waheshimiwa halisi wapo huko mahakamani.
 
Sasa heshima ndiyo nini, mimi uniheshimu au usiniheshimu sijali, sababu haunilishi, haunivishi wala haunisaidii chochote.

Waheshimiwa wa mchongo wapo huko bungeni na Waheshimiwa halisi wapo huko mahakamani.
The purpose of marriage is not to make women happy, or to make men happy.

The purpose of marriage is to ensure that every child is born into a situation where they will have easy access to their mother and a father.
 
The purpose of marriage is not to make women happy, or to make men happy.

The purpose of marriage is to ensure that every child is born into a situation where they will have easy access to their mother and a father.
And how to those in marriage while un-able to bear kid/s?

Your view please....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…