11
Mhhh ile cm ilinifanya nichoke kabisa, nikarudi chumbani nikaingia chooni maana tumbo la kuharisha lilinibana ghafra, nimetoka tu chooni cm nyingine,, Chukua usafiri uwahi hapa sina mda wa kukaa hapa, mhhhh jmn Mamujee mie, umasikini huu ndio unanifikisha huku? mhh!! Nikasema ngoja niende tu sina jinsi, kweli aliniingilia kinyume ila amenisaidia sana acha niende ,, ikabidi nibadilishe nguo, nikavaa jeans na top nikabeba mkoba wangu nikatoka,, nilikodi bajaji hadi mliman cty,, kweli nilikutana na Mahamood,, kiukweli nilivyomuona Mahamood siku ya kwanza na leo tofauti, nadhani cku ya kwanza sikumuona vzr,, kumbe Mahamood ni mzuri tu mrefu, muarabu mwenyewe ila sio kivilee mhhh Amamu mie!! Bc alinikumbatia huku natetemeka balaa,, akaniambia Mamujee ww mwanamke una akili sana, angekuwa mwanamke mwingine tyr ningekuta kajichubua sura na iv hela nampa?, Nikamwambia mm sijawahi kujichubua, akasema ndio sababu nimekuchagua,, bc tulisalimiana pale akaniagizia chakula nikala huku nikiwa na hofu ila nilijipa moyo,, tulivyomaliza kula akaniambia tuondoke, sikujua tunaenda wp ila tulipanda gari yake hadi hotel moja iv, ilikuwa nzuri sana, akaniambia hapo ndipo amefikia,, tukaingia chumbani akatoa begi kubwa akaniambia Mamujee fungua hizo ni zawad zako, nilifungua lile begi nikakuta mabaibui mazuri mazuri jmn, magauni marefu yanangaa na mitandio yake,, pafyumu nzuri pamoja na udi, kiufupi nguo zilikuwa nyingi na nzuri sana,, akaniambia nikaoge nibadirishe nguo,, bc sikuwa na jinsi nikaenda kuoga nikavaa nguo mojawapo nikajipulizia pafyumu, akaniambia haya tutoke, hapo bado hatujafanya chochote
Bc tulitoka hadi nje akaita gari hao tukapanda lile gari alilokuwa analitumia yeye aliliacha pale pale Hotelini ila akaita gari lingine, hapo cjui tunaenda wp, bc tukafika hadi uwanja wa ndege akaniambia Mamujee ushawahi fika Zanzibar? Nikamwambia hapana,, bc leo tutalala Zanzibar nikakaa kimya tu, kweli tulipanda ndege mara tu tumefika nikasema huyu mwanaume ana hela ila tabia yke ndio mbaya,, tulifika tukaenda hadi hotel tulikula tena kisha akanipeleka hadi kwenye hard yake ya magari,, ni sehemu kubwa ina uzwa magari mazuri,, akanitambulisha kwa wafanyakazi wake kuwa mm ni mke wake wa tatu,, bc walinipokea kwa heshima sana,, alinitembeza kidogo tukarudi hotel,, akaniambia Mamujee nimekumisi sanaa nikaanza kulia akaniuliza vp? Nikamwambia mm sipendi huo mchezo akanikumbatia cjui alinipa nn nikapoteza fahamu tena nilivyoamka nikamkuta amelala tena anakoroma, nilijikagua vzr nikakuta ameniingilia tena nyuma tena sio mara moja nililia hadi akaamka, akaniuliza vp mke wangu? Hata sikuongea, nikaendelea kulia tu, akanibeba kwa nguvu hadi bafuni, akaniogesha, akaniambia nivae nguo, nikavaa huku nalia, tukatoka, ilikuwa tyr ucku umefunga, tukashuka chini hadi kwenye ufukwe wa bahari, tukakaa, ni hapo hapo Hotelini yaan kumetuliaa wamejaa wazungu tu,, akaniambia Mamujee nisamehe sana nakupenda sana, ila cwez kujizuia kufanya ivo ndivyo inanibidi nikufanyie ivo na nikikufanyia ivo ndipo nazidi kupata utajiri nililia sana, akanikumbatia akaniambia sema unataka nn kutoka kwangu nikupe? Chochote nitakupa ukitakacho, sikuongea chochote nikakaa pale akanipeleka sehemu kula vitu vya baharini
Itaendelea/ comment ndio zitanishawishi kurudi
12
Hayaaaaa mjeeeeeee maana lawama ndoo mbili
Bc tulienda kula vitu vya baharini c mnajua tena Zanzibar, pweza cjui ngisi, mm sikutaka hata kula chochote, Mahamood alikula then tukarudi hotel,, tupo zetu hotel naogopa hata kulala nahofia asiniingilie tena,, Mahamood akatoa laptop yake akaanza kunionyesha picha zake na familia yake,, kiukweli alikuwa Tajiri hasa maana ananyumba nzuri kubwa tena ghorofa, yaan kama zile tunazoziona kwenye video , akaniambia Mamujee naomba unizoee, nakuahidi nitakupenda na kukupa chochote utakacho,, nikamwambia hapana mm cwez hivo unavyonifanyia , akasema bc sawa sikufanyii tena, ila niahidi utakuwa wangu peke yngu,, nikamwambia sawa!!! Bc akaniambia nilale tu nisiogope anifanyi kitu tena, bc usingizi ukanipitia kweli, kuja kushtuka asbh nimefunikwa shuka vzr na Mahamood amelala fofofo,, nikaamka nikawa nachezea cm, nikakuta msg kutoka kwa Edina,, Jee mambo? Nimekuja hapa kwako mbona haupo?? Sikumjibu ila nikajiuliza huyu kwangu amapajuaje?? Nikaamua niachane nae,,, bc Mahamood aliamka akanikuta nishaoga kabisa na yeye akaenda kuoga akavaa tukashuka chini kula,, akaniambia sasa tunaondoka turudi dar,, tulifatwa na gari yake tukaenda kwanza kwenye hard yake then tukapanda ndege hadi dar
Tumefika dar moja kwa moja hadi Hotelini alipofikia,, tukala tukawa tunapiga story, kiukweli jmn Mahamood ni muungwana sana ila tabia yke chafu ndio inanifanya nimuone shetani,, bc tuliongea mengi hadi kuhusu familia yangu,, akaniambia Mamujee usijali mke wangu,, mara anishike hapa, mara anibusu bc kero tu!! Nikamwambia nataka niende kwangu,, akaniambia subiri nitakupeleka,, tuliendelea kukaa pale bila kunifanya chochote
Jioni ilipofika akaniambia haya twende huko kwako, tulitoka hadi kwangu, alivyofika tu akaanza kuzunguka nyumba nzima, akaniambia Mamujee hapa ndipo umepapenda? Nikamwambia ndio,, akasema haya bhana, tuliingia ndani, sebleni kwangu hakukua na kitu chochote, tv ilikuwa chumbani na kitanda bc akaniambia mbona huna kochi? Sikumjibu maana kama hela nilikuwa nayo ila bc tu,, akakaa kidogo tu akaniambia mm nasepa,, nikamuuliza unaenda wp? Akaniambia Hotelini, mhhhh, nikamwambia Kwan hulali hapa? Akacheka akasema silali kwenye nyumba ya mwanamke mhhhh nikamwambia sawa ila nikajifanya nimenuna, akaniuliza vp una shida yeyote? Nikamwambia sina, bc akanibusu akasepa zake,, mhhhh nikaanza kuona wivu jmn nikajikuta moyo unauma cjui kwann nikajiuliza kwann Mahamood ameondoka? Au ameenda kwa wanawake wengine?? Nikajikuta nalia hata sikula kitu nikalala
Asbh naamka naangalia cm nakuta missed call kibao za Mahamood, nikakumbuka alivyonifanyia jn nikashikwa na wivu upya nikaoga najiandaa nikanywe supu hapo jirani kuna bar kubwa tu, mara cm yangu ikaita kuangalia Mahamood, akaniambia njoo unifungulie geti, nafika getini naona magari mawili, la kwake na kenta ya mizigo,, nikafunga gari la mizigo likaingia,, jmn jmn kumbe Mahamood alinifanyia shopping ya nyumba nzima tena kutoka GSM sofa seti, tv kubwaaa nch 52, friji kubwa Boss, jiko kubwa la gesi, oven, microwave, masefuria yale mazito meza na viti vya chakula, zuria, na showcase daah cjui niseme nn mie bc akamwambia wale watu waingie wanipangie vzr,, walivyomaliza wakaondoka tukabaki na Mahamood,,. Akaniuliza mbona jana hukupokea cm? Nikamwambia nililala,, nikajikuta namkumbatia na kumbusu mhhh,, akaniambia Mamujee naomba bc maana hilo busu lako,, nikamwambia ctaki nyuma, akasema hata mm sitaki nyuma bc kwa mara ya kwanza aliniingilia mbele ila kwa tabu sana maana tangu nibakwe na mjomba sikuwahi kupagusa tena,, bc alifurahi sana maana alikuta kama bikra tu japokuwa mjomba aliitoa bikra yangu
Tulivyomaliza tukaoga akaniambia anipeleke kwenye hard yake ya magari ili akanitambulisha!!!
Itaendelea
13
Samahanini jmn ile niliyoposti Jana badala ya kuwa namba 12 nikajikuta naandika 11, kwhyo 11 zitakuwa mbili,,, tuendelee
Nikajiandaa vzr nikavaa baibui jipya ila ndani nikavaa jeans, Mahamood alinisifia sana na kuniambia nimependeza,, tulitoka pale safari ya kuelekea huko kwenye biashara yake,, tumetoka tu nje nikamwambia njaa inaniuma tuingie pale bar ili tunywe supu, alinishangaa, akaniambia Mamujee unaenda bar?? Nikamwambia tunywe tu supu, akaniambia sipendi mwanamke anae kwenda bar, ujue bar ni sehemu ambayo inavishawishi sana sasa unanishangaza unavyoniambia mtoto wa kike peke yako kuwa unaingia bar eti kunywa supu?? Mhhh nikasema hii tena kazi, nilikaa kimya sikuendelea kuongea tena,, bc wote tukawa kimya ,. Nikashangaa gari linaingia mliman cty , akashuka yeye akaroki milango nikabaki mwenyewe kwenye gari, hazikupita hata dakika 20 akarudi kabeba take away,, akaniambia haya kula, ctaki tena kusikia umeingia bar mhhhh jmn!! Nilifungua kile chakula nikakuta kuku, egg chop, kachori, sambusa za nyama, yaan vitu vingivingi tu na juice,, huyo kawasha gari tukaendelea na safari kimya kimya eti amenuna mm kuingia bar ,,, bc nikawa nakula zangu nikachukua nyama nikamlisha nilijikuta naanza kumpenda Mahamood jmn bc alikula vzr, Mara tukafika hio sehemu, alishuka akaniambia maliza kula kwanza, nikabaki kwenye gari ila jicho langu lote nje naangalia ile sehemu ni kubwa magari ni mazuri ni mengi hatari, nikaona wafanyakazi wake wanaume na wadada, bc kuna kidada kimoja kizuri kina shepu, alivyomuona Mahamood anaingia akamkonyeza mwenzie nikawaona wanajiweka vzr nguo zao, yule mwenye kishepu akajiangalia tako lake huku anajiweka vzr nawachora tu c mnajua tena kwenye gari vioo vya giza, wa nje haoni ndani ila wa ndani anaona nje bc Mahamood akawasogelea akawapa mikono huku wanatabasamu wenyewe ,, Mahamood alivyokuwa anaingia ndani nikaona wanaongea huku wanamuangalia anavyo ondoka,, nikajiuliza hivi Mahamood hawa wadada ajawafanya nyuma kweli?? Mhhhh!! Nikamaliza kula, mara cm yangu ikaita nikaona namba ile aliyotumia Edina kunitumia msg, nikapokea nikamuuliza nani?? Mie Edina naomba tuonane tuongee,, nikamwambia sipo dar kwa sasa nipo Musoma,, nikakata cm,,, Mara Mahamood akaja huku kaongozana na mbaba mtu mzima iv,, akafungua mlango akanishusha huku amenishika mkono,, akamwambia yule mbaba huyu ni mke wangu mdogo,, nikamsalimia yule Baba, tukaingia humo ndani,, wale wadada wakawa wanaangalia kwa mbali, Mahamood akawa ananizungusha kwenye magari ananielekeza aina za magari huku kanishika mkono, tukaingia hadi ofisini kwake, nikakuta picha yake imebandikwa ukutani,, ofisi nzuri,, bc akawaita wale wafanyakazi wote nikatambulishwa kwao,, nikaona wale wadada wanatizamana cjui walikuwa wanajiuliza huyu bosi huyu Dada kampendea nn maana Mamujee mm mwembamba mrefu mweusi sina hata tako
Mara nikashangaa kumuona msanii mmoja mkubwa sana hapa bongo wa bongo freiva, kaja kuchukua gari yake,, akawa anaongea na Mahamood,, bora bosi leo nimekukuta mwenyewe bwana, hawa watu wako wamegoma kabisa kunipunguzia,, Mahamood akauliza gari gn umelipia? Akaambiwa, akamwambia hio gari ipo juu sana bosi hio bei waliokupa ni sawa kabisa,, bc tulikaa pale ofisini wale wafanyakazi walitoka nikabaki na Mahamood ,, tukawa tunapiga story tu
Tulivyotoka pale tukaenda Hotelini alipofikia, tukala tukaanza kuongea,, ndipo akaniambia vzr cku aliyoniona alikuwa anatoka msimbazi police pale kkoo alikuwa anaenda kuonana na mtu pale sasa wakati anarudi kuelekea Hotelini ndipo akaniona nimesimama zangu stendi , akaniambia Mamujee nimekupenda mnoo,, akaanza kunitania ulivyosimama kishamba shamba pale stendi cjui kama vibaka hawakupanga kukuibia nikampiga kibao, akachukua mto akanipiga nao tukaanza kukimbizana mle ndani tukajikuta tumesex tena njia ya kawaida tu
Alinihahidi vitu vingi sana hasa kufunga ndoa na kunijengea nyumba,, akaniambia akitoka huku Tanzania bc anaenda kwanza Uingereza kwa mke wa pili then atarudi tena Tanzania,, Dubai hatoenda kwa sasa coz alikuwa huko juzi,, akaniambia akitoka Uingereza anakuja kunitafutia eneo ili anijengee nyumba yangu kwanza ndipo tufunge ndoa,, kweli nilijikuta napata faraja namuona kama Malaika aliyeshushwa kuniokoa,, akaniambia kuanzia Sasa hio biashara zangu niache nitafute fremu maeneo ya kkoo niuze mabaibui na magauni, yeye atakuwa ananiagizia mzigo kutoka Dubai,, ila akaniambia ole wako unisaliti nakuua Mamujee mhhhh, bc tulilala pale hadi asbh hata kwangu sikurudi
Asbh yake yeye alikuwa anaenda kazini kwake na mm nikamuomba niende kwangu, bc tulikubaliana akaniitia gari likanipeleka hadi kwangu,, nilivyofika kwangu nikaanza kuvikagua vile vitu nikashukuru Mungu
Nikakumbuka mapito yangu yote jinsi nilivyokuwa nafanyishwa kazi kwa shangazi kama mtumwa, naamka saa kumi napiga kazi, mara nipo kwa kuku, maana shangazi alikuwa anafuga kuku, ngombe, bc hadi kukamua mazoea ilikuwa ni mm na hakunilipa hata mia mbovu, shukurani yake kunifukuza kama mbwa wakati mumewe kanibaka nilijikuta nalia, nikafungua begi langu nikatoa namba za cm za Kaka aliyenisaidia pale ubungo ucku, nilikosa matumaini, sijui pakwenda, ila Kaka alinisitiri hata hakuofia usalama wake ila aliangalia usalama wangu
Nikapiga cm iliita sana bila kupokelewa, ckukata tamaa nilizidi kupiga tu ndipo ilipokelewa na sauti ya mwanamke, nikaomba niongee na Kaka Denis,, akaniuliza ww nani?? Nikamwambia mie mdogo wake Mamujee, ukimwambia hivo ataelewa,, bc yule mtu alitulia kimya kwanza kisha akaniambia Denis amefariki ana wiki mbili sasa mwenzenu nina mkosi gn Mamujee mm nilitegemea nimepata ndugu yangu,, kumbe haikuwa ivo Kaka Denis amefariki?? Nilipiga kelele moja nikapoteza fahamu nipo peke yngu ndani
Itaendelea
Nimerudiiiiiiiiiiiii, hayaaa mjeeeeeee tumalize,, likes za kutosha na comment ndio nitashusha fasta fasta, tag mwenzio aje
14
Tusameheane bize kupambana na life....
Bc nilivyopokea zile taarifa za kifo cha kaka Denis nikajikuta naishiwa nguvu na kulala hapo hapo , nilikuja kushtuka baadae sana nimechoka kichwa kizito, nikatafakari sana maisha yangu nikasema hapa nijikomboe tu mwenyewe maana sina yeyote wa kumkimbilia, nilikuwa na namba ya yule Dada jirani ya Kaka Denis, nikampiga lkn haikupatikana, nikajinyanyua zangu pale nikaingia bafuni kuoga, nimekaa zangu huku nina mawazo lukuki, Mahamood akanipigia cm akaniambia atakuja kulala, bc nilimuuliza niandae chakula gn?, akaniambia chakula atakuja nacho yeye, bc niliandaa chumba vzr nikapuliza udi, Mahamood aliniletea huo udi kutoka Dubai,, nikakaa zangu sebleni nimevaa kinguo cha kulalia namsubiri Mahamood,, kiukweli nilianza kumzoea na kumuona mtu wangu wa karibu,,,,
Mahamood alifika tukakumbatiana nilianza kumpenda na kumuona wa kawaida tu,, akaniambia Mamujee ngoja nikaoge kwanza nimechoka sana,, aliingia bafuni nikawa naandaa chakula ili tule,,, CM ya Mahamood ikawa inaita sn,, wala sikujihusisha nayo, alivyotoka mwenyewe ndio akaichukua, alikuwa mke wake mdogo wa Uingereza, wakaanza kuongea kiarabu wenyewe huku wanachanganya na kingereza,, yaan kama vile Mahamood alikuwa anajitetea flani iv,, waliongea mda mrefu sana,,, mm nipo kimya naangalia tv tu,, cm ilivyokata ndio akaanza kuniambia, huyu mke wangu wa pili mkorofi sana, yaan anataka kila wakati niwe nae tu? Ukiwa nae mbali hata miezi miwili tu anaanza kelele? Kila kitu anacho na yeye anasimamia kampuni yetu kubwa huko ila mkorofi tu, mwenzake mke mkubwa hana shida ata ukikaa miezi sita hujamuona wala hajali,,, nikasema mhhhh sasa hapa nitapaweza kweli mkurya mie bc nikazidi kuwa mpole,, tulikula chakula vzr huku tukipiga story tofauti tofauti,, akazidi kunisisitiza kuwa anataka kunioa na nimzalie watoto wawili tu,, bc tulilala na tukafanya mchezo ila kwa njia ya kawaida,, asbh tuliamka akajiandaa ili aende kazini kwake
Tulikaa na Mahamood pale hakwenda Hotelini tena alikuwa anakaa kwangu,, kweli nilimzoea nikimuona kama ndugu, rafiki, yaan nilimuona kila kitu,, safari yake ya kuondoka ilikaribia akaniambia hataki tena nifanye biashara zangu za kuzunguka zunguka, akaniahidi akirudi atakuja kunifungulia biashara,, bc aliniingizia hela ya kutosha kwenye akaunti yangu na kuondoka zake,, kiukweli nilikuwa na hela ya kutosha,, nikaanza maisha yangu huku nikimiss Mahamood,,,
Sikutaka kumsikiliza sanaa Mahamood nikaanza biashara zangu upya, yaan hela ya benki nilikuwa siitoi hata mia natumia hela za biashara zangu tu,, ilipita kama wiki bila ya mawasiliano na Mahamood, ila nikawa mvumilivu coz kama cm bc lzm anipigie yeye,,, niliendelea na mishe zangu huku nakaa mwenyewe nyumba kubwa ila nikazoea
Asbh moja nimeamka nikaanza kujisikia vbya kizunguzungu, hadi nashindwa kutoka kitandani,, nikahisi ni maleria maana sijaumwa mda mrefu,, nilivyopiga mswaki ndio nikatapika haswa yaan njano tupu, nikasema ngoja niende hospital, nikajiandaa kwenda hospital, nikachukua bajaji hadi hospital, ni hospital ya kulipia, nimefika hospital tu naanza kujiandikisha mapokezi nikashangaa mtu amenigusa bega,, kugeuka namuona shangazi huyu hapa nikamsalimia vzr, akaanza kuniambia vp unaumwa? Nikamwambia ndio,, bc akaniambia nenda kwa Dactari then nakusubiri palee,,, mhhhh nikasema sawa,, bc nikaingia zangu kwa doctor nikaandikiwa vipimo vzr, nikaingia kupima,, majibu yalivyotoka mhhhhh
Narudi
15
Bc jmn majibu yalivyotoka mhhhhh eti mjamzito nikamuuliza doctor itakuwa inamda gn, akaniambia kama wiki mbili iv yaan bado changa kabisa , bc akanipa dawa maana nilikutwa na maleria,, nilichanganyikiwa nikasema nitafanyaje kuhusu hii mimba? Hapo inaenda wiki ya pili hatujawasiliana na Mahamood,,,, nikatoka nje nikaenda pale nilipoambiwa na shangazi,, kweli nilimkuta amekaa ananisubiri,, akaniuliza vp una shida gani? Nikamwambia ni maleria tu,, akaanza kuniuliza eti una ishi wp? Maana nilikuwa nimependeza tu ukiniona hata ngozi yangu unajua tu nimebadirika sio Amamu yule,,, nikamwambia naishi kwa rafiki yangu,, akaniambia kwa nn sikwenda kijijini?? Nikamwambia nilikwenda ila baba mdogo alinifukuza , yaan shangazi akajifanya kama sio yeye eti anashangaa kwnn alikufukuza?? Nikasema cjui,, bc aliongea pale kama mtu mwema jmn,,, ila sikumfatilia sana maana nilikuwa na mawazo kuhusu ujauzito wangu,, akawa anaiangalia cm yangu maana niliitoa kwenye pochi nilikuwa naongea na mteja wangu,, akaniuliza unafanya kazi gn? Nikamjibu biashara,, ila alishindwa hata kuuliza huo mtaji umepata wp?? Bc alichukuwa namba yangu ya cm tukaagana maana ckutaka ajue ninapo ishi,, nikachukua bajaji hadi kwangu nimefika kwangu mawazo tele cjui nafanyaje Mamujee mm?? Bc niliendelea na dozi yngu hadi namalizia doz sijapigiwa cm na Mahamood, ila nikimuangalia wtsap pia simuoni,,, bc nikaendele kujiuguza hadi nikapata nguvu nikarudi kwenye biashara zangu,, hapo inakaribia mwezi,, shangazi akawa ananipigia cm Mara kwa Mara kujua naendeleaje,,, cku hio nimetoka zangu kwenye biashara zangu nimefika kwangu tu na cm yangu ikaita kuangalia namba za nnje,, nikapokea alikuwa Mahamood aliniuliza naendeleaje? Nikamwambia vzr tu, akaniomba samahani kwa kuwa kimya mda mrefu eti mke wake mdogo ni mkorofi sana huwa anakagua cm?? Nikamwambia sawa,, ila sikumwambia habari za mimba,, tuliongea akaniuliza kama nina shida yeyote au kama nina uhitaji wa pesa? Nikamwambia hapana,, bc akaniahidi atanipigia tena kesho yke,, tuliagana nikaendelea na Mambo yngu, nilijiuliza sn nafanyaje kuhusu huu ujauzito?? Ila nafsi inaniambia mbona hela unayo benki ya kukutosha tu hata huyo Mahamood asipo kuja?? Bc nikawa najipa moyo tu,, maisha yakaendelea ila mawasiliano na Mahamood yalikuwa ya tabu sana,, niliendelea kupambana hadi mimba yngu ikafika miezi mitatu cjamwambia Mahamood,,
Cku hio nimeshinda nimelala sana hata chakula nilishindwa kula nilishindia juice tu,, nikashangaa cm yangu inaita namba za Mahamood za hapa bongo,, nikapokea akaniambia amefika niende Hotelini,, nikajikuta namjibu tu siwezi kwenda popote cjisikii,, akaniuliza Mamujee unanijibu nn?? Nikamwambia sijisikii kutoka nikakata cm,, nikaanza kulia nikasema ina maana hadi kafika Tanzania hajaniambia ndio ananikurupusha niende Hotelini?? Nikanyanyuka nikaoga nikalala maana ckuwa hata na nguvu,, ucku wa saa tatu iv akanipigia nimfungulie get, kweli nikafungua akaingiza gari ndani, tumefika ndani wala sijamchangamkia ,, akaenda kuoga akaja nilipo kaa, akaniuliza nina shida gn?? Nikamwambia sina shida nipo kawaida,, bc alinibembeleza pale akaniambia nisijali akinioa ndio atakuwa huru kuongea na mm hata mbele ya wake zake,,, tulilala vzr na mechi tukapiga ila ile ya kipole maana naumwa,,, asbh kumekucha kama kawaida yangu lazima nitapike asbh ndio maisha yaendelee akaniona ninavyotapika tena huku machozi yananitoka akaniuliza nn shida? Nikamwambia siko sawa,, akaniuliza tena una mimba?? Nikamwambia ndio,, akaniuliza mbona hujaniambia?? Nikamwambia ningekwambia saa ngp wakati alikuwa hapigi cm?? Akaniambia sawa jiandae twende hospital,,, nilijiandaa hadi Agakhan hospital,, tulifika pale akaongea na doctor nifanyiwe ultrasound ili ajue ujauzito una mda gn,, mda wote huo nipo kimya hata yeye hachangamki sana,,, nikafanyiwa vipimo vzr na majibu yakatoka mimba yangu ina miezi mitatu na wiki tatu,, Mahamood alinitazama usoni,, akaniambia twende,,, hapo sielewi mwenzangu anawaza nn?? Tukatoka hadi nje tukaingia kwenye gari kimya kimya,,, tulienda hadi kwenye hard yake ya magari,, akashuka akaniacha kwenye gari,, alikaa kama nusu saa akaja kunifata nikashuka akanishika mkono tukaelekekea upande wa magari,,, akawaita wafanyakazi wake akawaambia msaidieni mke wangu kuchagua gari zuri lenye thamani yeyote ile nikajikuta machozi yananitoka nikaanza kuchagua gari, huku cjui hata aina ya magari,, wale wadada wakawa wananisaidia, nikachagua Verossa, bc Mahamood akawaambia wale wafanyakazi waandike jina langu kwenye kadi,, tuliondoka hadi Hotelini tukala tulifurahi yaan Mahamood alifurahi sana sana tena ckutegemea kesho yke akanipeleka driving school ili nijifunze kuendesha gari,,, akaniambia Mamujee nakuoa sasa ctaki mtoto azaliwe kabla ya ndoa,,, huku naendelea kujifunza gari nikawa nakaribia kumaliza,,, cku hio kanifata shule tukaingia kwenye gari yake hakuniambia tunaenda wp,, tukafika sehemu akapaki tukashuka huku akiwasiliana na watu,, kumbe alikuwa anaenda kuninunulia kiwanja Salasala jmn jmn Mamujee mie umasikini kwisha tena mhhhhh!!! Bc nikaonyweshwa kiwanja changu kikubwa sana kipo kwenye ramani,, nikamshukuru sana huku nalia,, akaniambia hapana ww ni mke wangu,,, akaniambia hapa nakujengea ghorofa mhhh!!! Bc tulirudi nikawa naweza kuendesha gari sikuchukua mda mrefu sana nikakabiziwa gari yangu na kadi yangu yenye jina langu,, Mahamood alikaa sana kama miezi miwili iv akaniambia anaenda Dubai kumpa taarifa mke mkubwa, ataenda na kwa mdogo, ili tuje kufunga ndoa rasmi,,, hapo kule Salasala ujenzi unaendelea
Nitarudi!!!!