Nazi Ignition
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 1,740
- 4,859
True that, DL atajionyesha yeye ni straight kwenye kujionyesha hapo atatafuta views atavimba na pisi kali watu wamuone wengine wanaoa kabisa kama mume wa lecture.Em semenii kweliii? Woiiiiiiih
Ko DL ni mashoga wasiojikubaliii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]True that, DL atajionyesha yeye ni straight kwenye kujionyesha hapo atatafuta views atavimba na pisi kali watu wamuone wengine wanaoa kabisa kama mume wa lecture.
DL kwenye jamii atataka atambulike kama gent ila kuiharisia anavutiwa na mahusiano ya jinsia moja na ndo maisha yake ya siri.
kufupi Down Low ni mashoga ambao wanapenda ushoga ila hawataki kupeperusha bendela ya upinde.
Down Low ni mwanaume ambaye ni bisexual ambaye hufanya mapenzi na jinsia zote , ya kike na kiume , ila ile ya kiume hufanya kwa siri sana. Ikumbukwe kuna homosexual na bisexual.True that, DL atajionyesha yeye ni straight kwenye kujionyesha hapo atatafuta views atavimba na pisi kali watu wamuone wengine wanaoa kabisa kama mume wa lecture.
DL kwenye jamii atataka atambulike kama gent ila kuiharisia anavutiwa na mahusiano ya jinsia moja na ndo maisha yake ya siri.
kufupi Down Low ni mashoga ambao wanapenda ushoga ila hawataki kupeperusha bendela ya upinde.
Eeh kweli Dunia tambala bovuDown Low ni mwanaume ambaye ni bisexual ambaye hufanya mapenzi na jinsia zote , ya kike na kiume , ila ile ya kiume hufanya kwa siri sana. Ikumbukwe kuna homosexual na bisexual.
Homosexual anaweza kuwa msiri na anaweza kuwa na mke wa kuzugia , ila utakuta hamfanyi chochote huyo mke na huishi kama mke na mime kwa mke kuamini mume ana tatizo la nguvu za kiume.
Bisexual yeye huweza kuwa na mwanamke kufanya yote kama mume anavyo paswa kufanya na kumridhishs mwanamke kingono , tena huwa wazuri sana kitandani lakini kisiri anakuwa na matamanio na kushiriki tendo na mwanaume mwenzake kisiri sana na lea vile ni waxuri vitandani ndi hukuta mkeee sliambiwa mumeo ni shoga au ana gonga wanaume hukataa kabisa sababu ya sex anay pata toka kwa mumewe
Tatizo la hormonesDown Low ni mwanaume ambaye ni bisexual ambaye hufanya mapenzi na jinsia zote , ya kike na kiume , ila ile ya kiume hufanya kwa siri sana. Ikumbukwe kuna homosexual na bisexual.
Homosexual anaweza kuwa msiri na anaweza kuwa na mke wa kuzugia , ila utakuta hamfanyi chochote huyo mke na huishi kama mke na mime kwa mke kuamini mume ana tatizo la nguvu za kiume.
Bisexual yeye huweza kuwa na mwanamke kufanya yote kama mume anavyo paswa kufanya na kumridhishs mwanamke kingono , tena huwa wazuri sana kitandani lakini kisiri anakuwa na matamanio na kushiriki tendo na mwanaume mwenzake kisiri sana na lea vile ni waxuri vitandani ndi hukuta mkeee sliambiwa mumeo ni shoga au ana gonga wanaume hukataa kabisa sababu ya sex anay pata toka kwa mumewe
ohooTatizo la hormones
HatarEeh kweli Dunia tambala bovu
Atakua nayy alikua bi sasaDown Low ni mwanaume ambaye ni bisexual ambaye hufanya mapenzi na jinsia zote , ya kike na kiume , ila ile ya kiume hufanya kwa siri sana. Ikumbukwe kuna homosexual na bisexual.
Homosexual anaweza kuwa msiri na anaweza kuwa na mke wa kuzugia , ila utakuta hamfanyi chochote huyo mke na huishi kama mke na mime kwa mke kuamini mume ana tatizo la nguvu za kiume.
Bisexual yeye huweza kuwa na mwanamke kufanya yote kama mume anavyo paswa kufanya na kumridhishs mwanamke kingono , tena huwa wazuri sana kitandani lakini kisiri anakuwa na matamanio na kushiriki tendo na mwanaume mwenzake kisiri sana na lea vile ni waxuri vitandani ndi hukuta mkeee sliambiwa mumeo ni shoga au ana gonga wanaume hukataa kabisa sababu ya sex anay pata toka kwa mumewe
hawa tofauti na cocasticTrue that, DL atajionyesha yeye ni straight kwenye kujionyesha hapo atatafuta views atavimba na pisi kali watu wamuone wengine wanaoa kabisa kama mume wa lecture.
DL kwenye jamii atataka atambulike kama gent ila kuiharisia anavutiwa na mahusiano ya jinsia moja na ndo maisha yake ya siri.
kufupi Down Low ni mashoga ambao wanapenda ushoga ila hawataki kupeperusha bendela ya upinde.
Sio kweli ni mwanaume mzima ameoa ila bado anahangaika na mashogaDown low means His dick pérfomance went yalayala during intercourse
Kuna movie moja ya tyler perry niliiona siku nyingi sana ilikua na kisa cha mwanaume kuwa na familia na mtoto ilihali anawafanya mashogaDown Low ni mwanaume ambaye ni bisexual ambaye hufanya mapenzi na jinsia zote , ya kike na kiume , ila ile ya kiume hufanya kwa siri sana. Ikumbukwe kuna homosexual na bisexual.
Homosexual anaweza kuwa msiri na anaweza kuwa na mke wa kuzugia , ila utakuta hamfanyi chochote huyo mke na huishi kama mke na mime kwa mke kuamini mume ana tatizo la nguvu za kiume.
Bisexual yeye huweza kuwa na mwanamke kufanya yote kama mume anavyo paswa kufanya na kumridhishs mwanamke kingono , tena huwa wazuri sana kitandani lakini kisiri anakuwa na matamanio na kushiriki tendo na mwanaume mwenzake kisiri sana na lea vile ni waxuri vitandani ndi hukuta mkeee sliambiwa mumeo ni shoga au ana gonga wanaume hukataa kabisa sababu ya sex anay pata toka kwa mumewe
Naww unaependa kusoma nyuzi za kimbea we una diploma au una certificate,??Unaonekana una degree ya umbea
InaitwajeKuna movie moja ya tyler perry niliiona siku nyingi sana ilikua na kisa cha mwanaume kuwa na familia na mtoto ilihali anawafanya mashoga
😂😂😂kweli nyuzi mchangiaji imempataDown low means His dick pérfomance went yalayala during intercourse
Nimeisahau niliikuta kwenye pc ya mtu nikaiangalia ni mda sana zaidi ya miaka 10 imepitaInaitwaje
Ulivyoambiwa kuwa uyaone..ulidhani magorofa!!?Katika kupita pita ofisini nimekutana na story ya lecturer mmoja alikuwa anafundisha na ndoa yake ilivunjika miezi mitatu iliyopita.
Sasa ile naingia ofisini nikakuta mateacher wanaongea kuwa ndoa ilivunjika kwasababu mumewe alikuwa ni down low….. Mwanamke yakamshinda
SASA sijaelewa hili neno linamaana gani
Aisee naona kama nimeona mengi kupita niliyoambiwaUlivyoambiwa kuwa uyaone..ulidhani magorofa!!?
heee itakua na hd ya 144pNimeisahau niliikuta kwenye pc ya mtu nikaiangalia ni mda sana zaidi ya miaka 10 imepita