Ndoa imevunjika! Popote ulipo heaven on earth pata hii taarifa!

Heaven on earth vipi tena my wii? Umeshindwa kukituliza, usintie aibu bwana?

Usiache mbachao kwa msala upitao ujue.........
hebu rudi kwamumeo banaa, Himidini best yangu hebu twende tukambebe huyu mwanamwali tumpeleke kwa mumewe
 
Last edited by a moderator:
Heaven on earth vipi tena my wii? Umeshindwa kukituliza, usintie aibu bwana?

Usiache mbachao kwa msala upitao ujue.........
hebu rudi kwamumeo banaa, Himidini best yangu hebu twende tukambebe huyu mwanamwali tumpeleke kwa mumewe

^^
Best ungeona chozi na siri aliyoniambia UNDENIABLE hakika huyu shemeji alikusudia kulala nje
^^
 
Last edited by a moderator:

lakini mi naona shost yangu
bado anakuhitaji,msamehe bana!!
Aaaaa wapi!
uli niquote vibaya UNDENIABLE mpenzi
Kumbe!
pepo la talaka limeanza kazi yake..
Tusisingizie pepo jamani kwa hili!
jamani jamani mwambie UNDENIABLE niko hoi bin
taaban juu yake.........,
sa ye anapenda kuinterprate mambo kivingine!!!!
Alaaaa! Usipobadili tabia siamini kama kuna ndoa yako itakayodumu kwa dk moja!


Chozi la mme kwa mke ni laana! mkuu wewe ni zaidi ya unavyojijua! big up kwa busara zako!
kuachwa huku sijui nani atanitungia tena mashairi
matamu kama yako!!!!!!!!!
Ulipendwa sana lakini hukujali! embu nipe mfano mmoja tu wa shemeji yeyote anaeimbiwa mashairi mazuri mazuri kama wewe!
jamani UNDENIABLE mi mwenzio bado nakuhitaji!!!!
mm sikuhitaji kabisaaaaaaa! mbaya zaidi najuta kwann sikukutana na shetani mkatili live kuliko kukutana na kiumbe kama wewe! just imagine!
 
Heaven on earth vipi tena my wii? Umeshindwa kukituliza, usintie aibu bwana?

Usiache mbachao kwa msala upitao ujue.........
hebu rudi kwamumeo banaa, Himidini best yangu hebu twende tukambebe huyu mwanamwali tumpeleke kwa mumewe

Kikojoleo chake kinamwasha sana hawezi kukituliza huyu bibie! aibu tayari kakutia Lady doctor! pole sana!
 
Last edited by a moderator:
UNDENIABLE ukisema wa nini Kaizer anasema nitampata lini.
 
Last edited by a moderator:
Heaven on earth vipi tena my wii? Umeshindwa kukituliza, usintie aibu bwana?

Usiache mbachao kwa msala upitao ujue.........
hebu rudi kwamumeo banaa, Himidini best yangu hebu twende tukambebe huyu mwanamwali tumpeleke kwa mumewe

yaani huyu mume hanitaki,ngoja niwage single lady tu
nimuunge tela Mamndenyi

tunza ndoa yako na Arushaone tu my wii,
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…