Ndoa imevunjika! Popote ulipo heaven on earth pata hii taarifa!

Ndoa imevunjika! Popote ulipo heaven on earth pata hii taarifa!

^^
So painful jamani..
Basi niwatakieni kila la baraka.
Msitunze visasi maana nyie sio wa kwanza kuachana wala hamtakuwa wa mwisho.
I hate it I hate it bt kwa kuwa maziwa yamemwagika,
GOD BLESS YOU
cc: UNDENIABLE Heaven on earth

^^
 
Last edited by a moderator:
Ninge shngaa ndoa mabayo haikufata taratibu idumu.
 
hahaaa Ruttashobolwa umenichekeshaje jamani
nime imagine ile real life ya watu wanaokimbiaga kuolewa.......

hahahahahahaha Heaven on earth hata za mtaani zina vunjikaga hivi. M i naona huyu jamaa inabidi tumuandalie file la mashitaka kwa kukupotezea muda unaonaje? nili angalau upate pesa ya kununua kijoti ujifariji. daaa ndoa ngumu bora unge niomba ushauri mimi nilijua toka mwanzo.
 
Last edited by a moderator:
DAAA ndoa yangu na my akanana Passion Lady ina dunda tuu huku shem Lady doctor na Heaven on earth wakizikimbia za kwao na waonea huruma sana, msubiri mimi na my akanana tuongeze watoto waje wawaoe. poleni mashem wangu.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom