Ndoa inanishinda, naomba mnishauri kisheria

Asante saaana dada,,,wanaume tuna udhaifu wetu,,anapojiapiza kwamba atanikomoa nawaza saaana amejipanga kwa njia gan??
Hasira tu hizo. Hebu mpende mkeo kwa vitendo. Wewe mwenyewe utaona atabadilika na kukutii kama mmewe. Enyi waume wapendeni wake zenu. Enyi wake watiini waume zenu. Wakolosai 3:18-19.
 
Mpaka sasa sijaona msaada wowote wa kisheria aliopewa mtoa mada zaidi ya masononeko na masimango, kaleta mada jukwaa la sheria ina maana hakuna wanasheria humu ndani?
Asante kwa kuliona hilo
 
Suala la mchepuko n kweli nnao lakin hakufanya nishindwe kutimiza majukumu yangu,pia mm kuwa na mchepuko kulichangizwa na yy (sijitetei) akawa hanifulii nguo ,hanipikii kabisa unadhan ningefanyaje?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]tumejua chanzo[emoji114][emoji114]
 
Hasira tu hizo. Hebu mpende mkeo kwa vitendo. Wewe mwenyewe utaona atabadilika na kukutii kama mmewe. Enyi waume wapendeni wake zenu. Enyi wake watiini waume zenu. Wakolosai 3:18-19.
Asante,,watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa!! Kasome kumbukumbu la torati 24:1-5,mathayo 5:31
 
Hapa nilipo nachat na mke wa mtu na anataka nimuoe mm jaman nimedata , anataka aache mme wake kwa ajili yangu . Na hatujawah hata kunjunjana . I need advce plz. Na juz mmewe kafuma simu ya mke wake akijibebishe kwangu. .
Mkuu Sasa ushauri gani hapo, we piga tu
 
Tatizo mama mkwe. Thats why mke wako katamka mama mkwe ni mke mwenza. Mzee anawasiwasii unaweza kumdhuru mkeo na wanao. Mara ngapi tunasikia stori za mume kuua mke na watoto na yeye kujiua?!
Kama yamekushinda achaneni salama. Watoto wabaki na mama yao wakifika miaka saba uko huru kuwachukua ukitaka.

Wengine watch out...Ndugu wa pande zote mbili mkiwaruhusu kuiingilia ndoa sooner or later wote mtaiona hio ndoa chungu, but why muwape ndugu power kubwa hivyo?
 
Asante,,watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa!! Kasome kumbukumbu la torati 24:1-5,mathayo 5:31
Ok nilikuwa najaribu kutengeneza,naona ulishatengeneza mind yako. Basi nenda mahakamani ili ukamwache. Watoto kwa kuwa ni wadogo yeye ndo atakaa nao. Wewe utaambiwa uwe unapeleka matumizi kiasi gani kama childsupport. Bonne continuation.
 
Mtafutie kitu afanye awe busy,aache kuwaza ujinga wa kupeleka umbea kwa wazazi wake. Mfungulie hata biashara. Awe anawaza jinsi ya kukuza mtaji.
Niliwahi kufanya hivo nilimfungulia biashara kwa mtaji wa m 3 ndan ya wiki kulikuwa na hasara ya laki nane bila ya kuibiwa au kutapeliwa!! Nikaja pata taarifa kuwa aliwapa wazaz wake bila makubaliano,,nikaifunga biashara kabisa na kuifilisi
 
Niliwahi kufanya hivo nilimfungulia biashara kwa mtaji wa m 3 ndan ya wiki kulikuwa na hasara ya laki nane bila ya kuibiwa au kutapeliwa!! Nikaja pata taarifa kuwa aliwapa wazaz wake bila makubaliano,,nikaifunga biashara kabisa na kuifilisi
Mpe talaka tu basi. Msije ishia kupigana vitu vizito vichwani bure. Watoto watakua tu. Ondoa hofu kuwa kule kwa mama yao watateseka. Ukiona wanateseka unakwenda mahakamani na vidhibitisho na utapewa watoto.
 
Huyo mke ni Wa kum Rip magically,so simple,why letting someone interfere your peace of mind?
 
Natumai wewe una wazazi Kama ambavyo yeye ana wazazi.!! Shirikisha wazazi wako hata Kama wako mbali watumie nauli waje na pia wazazi wa aliyekuwa mkeo baada ya hapo Kama wazazi wake watakaa basi waambie kila kitu wazazi wako na utapata ushauri mzuri Sana na lazima wataingilia Kati kwa maslai ya watoto ili nalo likifeli tafuta mwanamke mwingine piga mbami mpangie chumba anza maisha hapo utaondoa stress kwa zaid ya 100% ila usiende tena uchagani. Beba mmoja hapo Singidani ila mpime kwanza
 
Suala la mchepuko n kweli nnao lakin hakufanya nishindwe kutimiza majukumu yangu,pia mm kuwa na mchepuko kulichangizwa na yy (sijitetei) akawa hanifulii nguo ,hanipikii kabisa unadhan ningefanyaje?
Idiot una justify mchepuko kwa crap za mke hafui hapiki...kwani mke ni housegirl?
Kupika na kufua ni part and parcel ya upendo. Kama humtreat right atapata wapi hamu ya kukuhudumia?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…