Ndoa inanishinda, naomba mnishauri kisheria

Ndoa inanishinda, naomba mnishauri kisheria

Mpaka sasa sijaona msaada wowote wa kisheria aliopewa mtoa mada zaidi ya masononeko na masimango, kaleta mada jukwaa la sheria ina maana hakuna wanasheria humu ndani?
 
Mpaka sasa sijaona msaada wowote wa kisheria aliopewa mtoa mada zaidi ya masononeko na masimango, kaleta mada jukwaa la sheria ina maana hakuna wanasheria humu ndani?
Hakuna msaada wa kisheria unaopatikana zaidi ya kusaidiwa kuandika talaka na kugawanya mali.
 
Yaani acha, nina rafiki ameolewa kwasababu kijana alikazania kumuoa ni wale watu wameanza maisha pamoja mpaka wakafanikiwa....mama mkwe hakuwa amempenda kwasababu aliolewaga na mume wa kabila la huyo dada wakaachana na akamuachia watoto akalea...so hakutaka kijana aoe huko...huyo dada anateseka mpaka imefika mahali anawaza kuachana na mume...mama mkwe kahamia nyumbani na kila kitu cha familia ana control hadi nini kipikwe na kwenda sokoni...dada akivaa nguo pya mama mkwe anaitisha kikao kwamba mwali anafuja hela
Nilimchagua mwenyew sikuwah kuchanguliwa,,amenikuta na ajila yangu na yy akiwa hana ajira au ishu yoyote,,namhudumia kila kitu
 
Asante saaana,,sakimbia nyumba!! Awali tulikuwa tukiisha dar ambako mm nilikuwa kikaz tu yy akiwa ndio kwao yaani wanakoishi wazaz wake,sikuwa na tabia ya kuwapelekea vitu vyovyote kwan uwezo wa kijikimu wanao ,,tukiwa katikati ya migogoro hiyo ndipo nilipohamishiwa mbeya kikaz ambapo mm nikiwa na mkoani kwetu,baada ya kufika huku sikuwa na sehem ya kufikia ambapo tulifikia nyumban kwetu kwa nia kuwa baada ya kupata nyumba nichukue familia,bahati mbaya nyumba ya ofis ambayo nitapatiwa ipo kwenye matengenezo makubwa ni zile za mkoloni hivo mm nimejishikiza kwa ndugu ili nyumba ikiwa tayar nichukue familia sasa nikiwa bado nasubir ndio anatoa vitisho kwamba atanikomoa kumbuka amewahi kwenda kazin kwangu kutoa tuhuma za uongo!! Je najua atanikomoa kwa njia gan??
Sasa kunbe unaelekea kwenye ukweli
Kaa na mkeo
 
Naamini wewe unajua tatizo lilipoanzia.Rudi nyumbani na uanzie halo kurekebisha nyumba yako.Nenda taratibu kuifinyanga nyumba yako,inaonekana kuna mlango uliuwacha wazi na ndio uliotumika kuwaingiza wanaoiharibu nyumba.
Kwa kuwa unawajali watoto wako ninaamini utawalinda.Usimchukie mtu uliyempa nafasi ya kujenga nae familia.Mtu aliyekubali kupoteza sifa zake kwa ajili ya kukupa wewe heshima ya kuitwa baba.Kuwa na ujasiri wa kujenga kesho ya watoto wako.Hayo yako madogo tumekutana na makubwa zaidi ya hayo lkn ndoa bado zipo.
Nakushauri jilazimishe kumpenda mkeo,badili mabaya yake kuwa mema yake yakupe nafasi kuibadili nafsi yake.Ukiweza kubali kuwa haya ni mapungufu ya mke wako,yatatue moja baada ya mengine kwa lugha nzuri na matendo mema.
Mwambie Mungu naomba unilindie ndoa yangu,naomba unitenganishe na maadui wa ndoa yangu,Mungu nisaidie kunijengea familia yangu. Mungu hatakuacha atakupa mkono utakaokuvusha.
Rudi nyumbani na umpende mkeo kama hakuna lililotokea.
Waonbe radhi wakwe zako kwa ulipowakosea ,ni ngumu lkn ndio dawa ya kukuvusha.Usibishane kwa kuwa wewe hujajipanga kwa ugomvi huo
Asante saaaana ndugu!!
 
Mpaka sasa sijaona msaada wowote wa kisheria aliopewa mtoa mada zaidi ya masononeko na masimango, kaleta mada jukwaa la sheria ina maana hakuna wanasheria humu ndani?
Sheria ya nini???. Tunamshauri abaki na mke wake
 
Unajua sioni sababu ya kuwa mwiba kwenye maisha ya mke wa mwanangu...kwanza ni kama binti yangu....naamin natakiwa kuwa mtu wa kwanza being there for them incase of anything iwe ni physically au spiritually. I am supposed to make sure they live happily together.
Tatizo mama mkwe wanakuwa na wivu mbayaa
 
Ndoa ni ya wawili. Wakishaanza kuingialia wazazi wa pande zote. Lazima mavurugano yatakuwepo. Natamani wanawake wote wangekuwa kama mimi. Mimi tukikosana na mme wangu huwa yanaishia ndani. Nasali sana na kupata amani ya moyo. Pia humweleza mme wangu wazi wazi kama kuna kitu hakinipendezi kwake. Ongea na mkeo kwanza.Mwambie ndoa ni ya wawili. Wewe na yeye. Ajifunze na wewe ujifunze kumaliza migogoro yenu wawili. Pia ulikosea kumpeleka kwenu. Mrudishe mkeo kwako.
Asante saaana dada,,,wanaume tuna udhaifu wetu,,anapojiapiza kwamba atanikomoa nawaza saaana amejipanga kwa njia gan??
 
Hahahahahahahah umeona sasa tena kwa kiburi huwa Wanahamia nyumbani ili wakusumbue vizuri.....

Bibi yangu mwenyewe alimsumbua sanaaa bi mkubwa sababu hakutaka mzee amuoe mama... Bibi alishamchagua mwanamke wake dingi akaoa tofauti na kipenzi cha Bibi weeeeeeee..... Yule Bibi alikuwa haishiwi visa kila uchwaooo mpaka mamy akaondoka
Masikini [emoji24]

Umeona mambo kama haya sasa
 
Mkuu haya mambo ya migogoro ya ndoa Ninayoyashuhudia kwa marafiki hayanipi hamu kabisa ya kuoa...but ikitokea nimeoa mke wangu akaniambia kauli Kama ulivoambiwa..." Mama yako ni mke mwenza wangu" sijui sijui kitakachotokea.............
Hapa nilipo nachat na mke wa mtu na anataka nimuoe mm jaman nimedata , anataka aache mme wake kwa ajili yangu . Na hatujawah hata kunjunjana . I need advce plz. Na juz mmewe kafuma simu ya mke wake akijibebishe kwangu. .
 
Nakuona taratibu unaanza kuleta hoja za "Udini". Tz tunakwama wapi? Ishu za Udini za nini sasa?
Kuna chembechembe za dini yako hiyo unataka kuzipandikiza taratibu, so sadly for sure!!!
Yaaan mwenyewe nimekaa nikamshangaa[emoji849]

Udini udini hata vitu visivyohusiana
 
Back
Top Bottom