Ndoa inanishinda, naomba mnishauri kisheria

Ndoa inanishinda, naomba mnishauri kisheria

Kaka kutokana na migogoro mke wangu aliwahi fika kazin kwangu na kueleza uongo ili awe anapewa nusu mshahara, baada ya kupangua hilo na ofisi kuthibitisha kuwa sio kweli! Lakin pia nimekuwa nikitishiwa nae kwa atanikomoa hali ambayo imepwlekea nikae nae mbali lakin akiwa nyumban kwetu na huduma zote anapata lakin ammekuwa mtu wa kuendeleza ugomvi huku akilazimisha kukaa pamoja ambapo hapo cjaua anajiandaa kunikomoa kwa njia gan.Baada ya hapo nilifatilia ili nijue kaanzaje kufika kazin ndipo nilithibitisha kuwa ni maagizo ya wazaz wake ambapo wazaz wake niliingia mgogoro nao baada ya kukataa kuwanunulia viti yaani sofa kwan hawakutimiza makubaliano
Mkeo kabila gan, tuanzie apo
 
Ushauri..
Weka kikao cha familia pande zote mbili muone mnatatuaje migogoro yenu na kama kuna uwezekano wa kusuluhisha..

Pakikosekana suluhu muache mkeo aende kwao, muache aende na watoto maana bado wadogo alafu utakuwa unawahudumia (kutoa matunzo)

Huyo mkeo anapewa kiburi na wazazi wake, ni ngumu sana kumrekebisha mwanamke wa hvyo maana anajua wazazi wake wapo watampokea na maisha yataenda.
Well said, it's over
 
Kwa ndoa ya Kikristo kuachana ina kaugumu kake kidogo
Mmezaa watoto 2, its obvious mnaweza kuamua kuachana na mkafanikiwa lakini after 2 years nyote mtakuwa kwenye majuto nikimaanisha Wakwe ambao wamelianzisha, Wewe, Mkeo na Watoto

Ni wazi kwamba tatizo liko kwa Wazazi wa mkeo, na ni wazi vile vile kwamba Mkeo aidha ni mdogo kwa umri au hajapevuka kiakili na yeye ndiye ataejuta zaidi mambo yakishaharibika. Kuisaidia ndoa yako ni jinsi gani unamfanya mkeo anazinduka ktk lindi la tashwishi za Wazazi(hasa Mama)
1. Unaweza fanya kikao na Baba Mkwe tu akiwa na Mzee mwingine ambaye ni Rafiki yake wa karibu umuelezee dukuduku zako na usistize kwamba huna lengo la kumuacha mkeo. Kama Baba nimuelewa wa maisha na hajashikwa na mkewe na yeye ndiye Breadwinner pale nyumbani una nafasi kubwa ya kuiokoa ndoa yako kwa kumtumia yeye. Kaa naye karibu, jinyenyekeze atawiwa kuokoa ndoa yenu, wachaga ni waelewa saana ikiwezekana tafuta hata wazee wa kichaga ukae nao kwanza ili wakapambane na mwenzao

2. Tafuta shangazi yake muelewa, shosti, au Mama mwenye hekima katika Jumuiya(for catholics) au jamii, ampe mwanga wa maisha, amwonyeshe vile jinsi gani anavyopeleka maisha yake shimoni ampe na case studies

3. Viongozi wa Dini nao ni muhimu, kama mtakuwa na vikao ambavyo vinahusisha familia zote mbili. Watanzania bado tunaithamini dini hivyo kuwepo kwa watu wa dini kunaweza rudisha nyuma nia ovu.

4. Tengeni Muda na Mahali
Wakati mwingine mazingira yanaweza kuwa kikwazo hebu tafuta muda muende mbali na mlikozoeaga kwenda. Mnaweza kwenda Magoroto, Zanzibar au Mafia au popote kulingana na uwezo wenu. Lengo ni kuonyesha thamani ya umoja wenu ukilinganisha na hasara ya utengano wenu

5. Acha Kuchepuka

6. Mtafutie shughuli ya kufanya, fuatilia kila mara anaendeleaje. Ni kawaida kwa wamama wa Nyumbani(most of them) kuona pesa huwa zinapatikana kiurahisi hivyo unaposhindwa kutimiza matakwa fulani anajua unafanya makusudi

7. Hamad Kibindoni, Silaha Mkononi
Usikae kiboya, seek legal advice kwa Mwanasheria ikibidi ulipie kabisa sio humu JF, ili silaha za kidiplomasia zikishindikana uwe unajua muelekeo

8. Muombe Mungu kikombe kikuepuke. Nguvu ya kuamka usiku na kuomba Mungu ni kubwa sana, ikiwezekana hata kufunga ufunge, hasa hasa linapokuja suala la watoto
 
Kwa ndoa ya Kikristo kuachana ina kaugumu kake kidogo
Mmezaa watoto 2, its obvious mnaweza kuamua kuachana na mkafanikiwa lakini after 2 years nyote mtakuwa kwenye majuto nikimaanisha Wakwe ambao wamelianzisha, Wewe, Mkeo na Watoto
Ni wazi kwamba tatizo liko kwa Wazazi wa mkeo, na ni wazi vile vile kwamba Mkeo aidha ni mdogo kwa umri au hajapevuka kiakili na yeye ndiye ataejuta zaidi mambo yakishaharibika. Kuisaidia ndoa yako ni jinsi gani unamfanya mkeo anazinduka ktk lindi la tashwishi za Wazazi(hasa Mama)
1. Unaweza fanya kikao na Baba Mkwe tu akiwa na Mzee mwingine ambaye ni Rafiki yake wa karibu umuelezee dukuduku zako na usistize kwamba huna lengo la kumuacha mkeo. Kama Baba nimuelewa wa maisha na hajashikwa na mkewe na yeye ndiye Breadwinner pale nyumbani una nafasi kubwa ya kuiokoa ndoa yako kwa kumtumia yeye. Kaa naye karibu, jinyenyekeze atawiwa kuokoa ndoa yenu, wachaga ni waelewa saana ikiwezekana tafuta hata wazee wa kichaga ukae nao kwanza ili wakapambane na mwenzao
2. Tafuta shangazi yake muelewa, shosti, au Mama mwenye hekima katika Jumuiya(for catholics) au jamii, ampe mwanga wa maisha, amwonyeshe vile jinsi gani anavyopeleka maisha yake shimoni ampe na case studies
3. Viongozi wa Dini nao ni muhimu, kama mtakuwa na vikao ambavyo vinahusisha familia zote mbili. Watanzania bado tunaithamini dini hivyo kuwepo kwa watu wa dini kunaweza rudisha nyuma nia ovu.
4. Tengeni Muda na Mahali
Wakati mwingine mazingira yanaweza kuwa kikwazo hebu tafuta muda muende mbali na mlikozoeaga kwenda. Mnaweza kwenda Magoroto, Zanzibar au Mafia au popote kulingana na uwezo wenu. Lengo ni kuonyesha thamani ya umoja wenu ukilinganisha na hasara ya utengano wenu
5. Acha Kuchepuka
6. Mtafutie shughuli ya kufanya, fuatilia kila mara anaendeleaje. Ni kawaida kwa wamama wa Nyumbani(most of them) kuona pesa huwa zinapatikana kiurahisi hivyo unaposhindwa kutimiza matakwa fulani anajua unafanya makusudi
7. Hamad Kibindoni, Silaha Mkononi
Usikae kiboya, seek legal advice kwa Mwanasheria ikibidi ulipie kabisa sio humu JF, ili silaha za kidiplomasia zikishindikana uwe unajua muelekeo
8. Muombe Mungu kikombe kikuepuke. Nguvu ya kuamka usiku na kuomba Mungu ni kubwa sana, ikiwezekana hata kufunga ufunge, hasa hasa linapokuja suala la watoto
Ushauri makini!💪💪
 
wazazi wa huyo mwanamke ni mapopoma na ndio source ya huo mgogoro.
 
Natumai wewe una wazazi Kama ambavyo yeye ana wazazi.!! Shirikisha wazazi wako hata Kama wako mbali watumie nauli waje na pia wazazi wa aliyekuwa mkeo baada ya hapo Kama wazazi wake watakaa basi waambie kila kitu wazazi wako na utapata ushauri mzuri Sana na lazima wataingilia Kati kwa maslai ya watoto ili nalo likifeli tafuta mwanamke mwingine piga mbami mpangie chumba anza maisha hapo utaondoa stress kwa zaid ya 100% ila usiende tena uchagani. Beba mmoja hapo Singidani ila mpime kwanza
Asante saaana,,tumeshakaa saaana lakin now tupo huku kwetu mbeya,,baba mkwe ndio kaanza mambo yake kunipigia simu akinitishia,ndio maana niliomba ushaur kisheria ikiwa atakuja kweli kumchukua binti yao n sheria au utaratibu gan naweza kuitumia kuzuia wanangu labda tu itapoamuliwa na mahakama
 
Habari za jumapili wapendwa
Hivi kunapotokea mgogoro baina ya wanandoa ambapo katika hiyo migogoro mke hapigwi wala hajatishiwa maisha,,baba mzaz wa mwanamke anaruhusiwa kwa utaratibu wa sheria ipi kunipeleka mahakaman mimi mume??
Pili baba mkwe anapomuhitaji binti yao lakin hasemi waz lengo wa kumuhitaj bint yao kama anavunja ndoa kabisa ama ana nia ya kwenda kumkanya mtoto wao wakati huo huo tuna watoto wadogo ambapo mimi kama baba wa familia sina iman na mazingira ambayo wataenda kuishi wanangu,naweza kutumia utaratibu gan wa kisheria wa ama wamchukue binti yao bila ya watoto yaani nibaki na watoto ili ataporud awakute watoto huku ninakoishi hapo izingatiwe kuna mtoto wa mwaka mmoja na miezi miwili??
Kutokana na migogoro hiyo ambapo wife amekuwa akinitishia kuwa atanikomoa kwa njia yoyote na ushahidi ninao hivo nililazimika kumuacha nyumbani kwetu na mimi kuishi mbali nae,lakin kila wiki huwa naenda kuwajulia hali na kupeleka mahitaji ,je naweza kushitakiwa kwa kosa gani hapo??
Mke wangu alitoa kauli kwamba mama yangu mzaz na yey ni kama mtu na mke mwenza,je naweza kumshitak kwa matusi hayo??
Baba mkwe amenipigia simu na kunitishia kwamba atakuja kuchukua familia yangu,,je akifanya hivo na mimi nikazuia yey kuondoka na watoto, ntakuwa na kosa lolote kisheria??
Naomba niwatakie siku njema naomba mnishaur kwa upendo,pale nilipokosea au sijaeleweka niko tayar kutoa ufafanuzi pia matus ruksa
Pole sana mkuu.

Baba mkwe ni katika watu ambao wanatakiwa wakuheshimu sana.
Sijui mkweo ni mtu wa aina gani.

Ikifikia hatua kama hiyo kwamba baba wa mke hana busara,ni tafrani.

Mke uliyemuoa hana busara wala heshima.daah mara nyingi inakuwaga ni kwenda kumpumzisha kwao.ikiwa njia zote zimefeliiiiiii mpe talaka usitake kuonekana mstaarabu katika sehemu ambyo hata hawana shida na ustaarabu wako.

Mpe talaka alafu mpotezee kamawezi hivi huku ukimpa mahitaji yake ya kawaida.
Hapo ni nafasi yake kujirudi
 
Suala la mchepuko n kweli nnao lakin hakufanya nishindwe kutimiza majukumu yangu,pia mm kuwa na mchepuko kulichangizwa na yy (sijitetei) akawa hanifulii nguo ,hanipikii kabisa unadhan ningefanyaje?

Duh

Hapa ndio naona ishu

Huu mchepuko anaujua physically?

Ungeficha kabisa asijue lolote whatsoever,kata ,kata,kata!

Huu mchepuko ni Mnyakyusa kama wewe?

Sorry kwa maswali sir!
 
Asante kaka,,kama tutakaa kikao tena kitakuwa ni kikao cha tisa,kumuacha aende na watoto niko tayar tatizo ni mazingira ya hapo kwao! Watoto watateseka hawatahudumiwa ipasavyo,,najua hilo!! Hata hizo fedha pia ni kujinufaisha tu lakin hazitasaidia watoto!!

Hapo ndipo penye tatizo lako!

Inaonekana unawapenda sana watoto wako kitu ambacho ni kizuri lakini wao wamechukulia huo kama udhaifu wako na wamepata pa kukukamatia!

Mazingira gani mabovu kama binadamu wengine wanaishi?

Piga moyo konde,
Saingine mtoto akililia wembe mpe!

Waache wakae hata Mwaka watakukumbuka na kutaka kurudi kama ni damu yako haitapotea!
 
Lakini na wewe ujitafakali kama unamicheko ndiyo mara nyingi huleta mifaraka ndani ya ndoa ili uwape Plan B
 
Asante saaana,,tumeshakaa saaana lakin now tupo huku kwetu mbeya,,baba mkwe ndio kaanza mambo yake kunipigia simu akinitishia,ndio maana niliomba ushaur kisheria ikiwa atakuja kweli kumchukua binti yao n sheria au utaratibu gan naweza kuitumia kuzuia wanangu labda tu itapoamuliwa na mahakama

Watoto hadi wafike umri wa miaka 7 ,
Hata hivyo kuna facts huwa zinazingatiwa kabla kufikia uamuzi huo !
Hata kabla ya hapo wawezapewa!
Nenda Uastawi wa jamii!

Yani wanakuona dhaifu sana kwa kuwang’ang’ania duh!

Vinginevyo ujenge hoja kuwa wakuondoka pesa ya kugawa ya matumizi hautakuwa nayo!
 
Kaka nipe muongozo wap nifafanue nipo tayar kuweka waz kila kitu,,mfano kutokana na haya madhila upendo wangu kwake umekwisha lakin nilikuwa navumilia sababu ya watoto hata sasa navumilia sababu ya watoto ni wadogo na mazingira ya kwao si mazur kwa watoto,,pili najua natambua kuwa lengo lao hata tukiachana kwa talaka wao hesabu zao ni fedha itayotolewa kwa ajili ya watoto, kutoa fedha kwa ajili ya matunzo ya watoto sio shida ila najua haitasaidia watoto zaid ya kujinufaisha wao ,,hapo ndio kichwa kinauma

Uko sahihi wanataka kufanya watoto kuwa kitega uchumi cha yeye na wazazi wake!

Wewe muulize kwa meseji mzee unachotaka nifanye ni nini?

Akisema anamtaka mwanae muulize je na hawa watoto wadogo unawafikiriaje?

Akikujibu vyovyote tunza meseji.

Halafu waache waende zao using’ang’anie
 
Asante kaka,,kama tutakaa kikao tena kitakuwa ni kikao cha tisa,kumuacha aende na watoto niko tayar tatizo ni mazingira ya hapo kwao! Watoto watateseka hawatahudumiwa ipasavyo,,najua hilo!! Hata hizo fedha pia ni kujinufaisha tu lakin hazitasaidia watoto!!

Mkuu

Naona wazazi wameingilia ndoa

Kwavile mama yako haelewani na mkeo,basi watenganishe!

Na yeye wazazi wake hawataki kuelewana na wewe,awatenganishe na wewe...

Binafsi sijaona kama huyo dada ni ana tatizo au ukosefu wa adabu sana kua mke

Wala wewe huna shida kabisa,au labda kuna vitu vingine hujatuambia

Naona purely parental relations wa pande zote mbili

Huyo baba wa binti ni kiazi,ila mama yako umegusia kwa mbali sana hujafunguka hua analeteana na mkeo noma gani mpaka hawapendani kiasi hicho!

Clear all these parental rubbish za pande mbili...na mkeo aweke matako chini
 
Habari za jumapili wapendwa
Hivi kunapotokea mgogoro baina ya wanandoa ambapo katika hiyo migogoro mke hapigwi wala hajatishiwa maisha,,baba mzaz wa mwanamke anaruhusiwa kwa utaratibu wa sheria ipi kunipeleka mahakaman mimi mume??
Pili baba mkwe anapomuhitaji binti yao lakin hasemi waz lengo wa kumuhitaj bint yao kama anavunja ndoa kabisa ama ana nia ya kwenda kumkanya mtoto wao wakati huo huo tuna watoto wadogo ambapo mimi kama baba wa familia sina iman na mazingira ambayo wataenda kuishi wanangu,naweza kutumia utaratibu gan wa kisheria wa ama wamchukue binti yao bila ya watoto yaani nibaki na watoto ili ataporud awakute watoto huku ninakoishi hapo izingatiwe kuna mtoto wa mwaka mmoja na miezi miwili??
Kutokana na migogoro hiyo ambapo wife amekuwa akinitishia kuwa atanikomoa kwa njia yoyote na ushahidi ninao hivo nililazimika kumuacha nyumbani kwetu na mimi kuishi mbali nae,lakin kila wiki huwa naenda kuwajulia hali na kupeleka mahitaji ,je naweza kushitakiwa kwa kosa gani hapo??
Mke wangu alitoa kauli kwamba mama yangu mzaz na yey ni kama mtu na mke mwenza,je naweza kumshitak kwa matusi hayo??
Baba mkwe amenipigia simu na kunitishia kwamba atakuja kuchukua familia yangu,,je akifanya hivo na mimi nikazuia yey kuondoka na watoto, ntakuwa na kosa lolote kisheria??
Naomba niwatakie siku njema naomba mnishaur kwa upendo,pale nilipokosea au sijaeleweka niko tayar kutoa ufafanuzi pia matus ruksa
Umekosea kidogo kijana
Hebu nikuombe utililike yote yaliyopo nyuma ya pazia
Je wewe na mkeo mnaugomvi gani yaani kunatofauti zozote na je ni yepi ambayo tayali mkeo keshayafikisha kwao?
Mama na mkwewe je zinawaka au hawaelewani na je tatizo huwa ni nini wife alishawahi kukulalamikia chochote kuhusu mama?
Kipi kimesababisha wife akaishi na mkwewe ambako ni mbali na unapoishi?
FUNGUKA TUKUSAIDIE KUNUSURU NDOA YAKO
 
Wana hiyo tabia sana!! Kuna ndoa kadhaa nimeona jins walivyoshirikiana wakamfilisi mme kila kitu, hlf baada ya muda wanaleta wazo la kurudiana, ikashindikana. Wanachuma wanapeleka hela kwao!!
Na wanawake wa kichaga , % kubwa ni asili yao! Wanakua na tamaa na mali za mwanaume sana...ikitokea ugomvi kidg tu, kufilisiana kunaaanza.
Hawa wanawake wa kichaga ni kazi, wazazi wao wabadilike na wao binafsi wabadilike waache Utemi usio na maaana!!

Yan wao ndy wamkalie mwanaume kichwani, saa ingine na kwa mganga aende kwaajil ya kumfunga mme asielewe chcht kuhusu mali zake ili tu azishike yeye na awe na maamuz ya mwisho kuhusu kila kitu cha mme na familia ya upande wa mme, awasaidie au lah ila wazazi wake binafs mke watunzwe kila siku!!

Mnaambiwa kila siku oeni kwenu hamsikii

Unachosema kipo kwenye DNA yao,you can never change them!

Sijui kwanini watu wanajikombeleza makabila mengine wakati wana warembo wazuri sana kwao...

Tutumie common sense!
 
Wana hiyo tabia sana!! Kuna ndoa kadhaa nimeona jins walivyoshirikiana wakamfilisi mme kila kitu, hlf baada ya muda wanaleta wazo la kurudiana, ikashindikana. Wanachuma wanapeleka hela kwao!!
Na wanawake wa kichaga , % kubwa ni asili yao! Wanakua na tamaa na mali za mwanaume sana...ikitokea ugomvi kidg tu, kufilisiana kunaaanza.
Hawa wanawake wa kichaga ni kazi, wazazi wao wabadilike na wao binafsi wabadilike waache Utemi usio na maaana!!

Yan wao ndy wamkalie mwanaume kichwani, saa ingine na kwa mganga aende kwaajil ya kumfunga mme asielewe chcht kuhusu mali zake ili tu azishike yeye na awe na maamuz ya mwisho kuhusu kila kitu cha mme na familia ya upande wa mme, awasaidie au lah ila wazazi wake binafs mke watunzwe kila siku!!
Baba mzazi na MUHA...

Sio mchaga.
 
Back
Top Bottom