matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Yule uliyeanza naye ndio mkeo wa kwanza mkuu. Kama ni beki tatu basi mtafute myajenge.Basi ninao wake wengi kiroho
Ni mke wa mtu na wana watoto wa4 sasaYule uliyeanza naye ndio mkeo wa kwanza mkuu. Kama ni beki tatu basi mtafute myajenge.
Nyie ndo mtarambishwa transformer kwanza halafu ndio adhabu nyengine ziendelee huko motoni..πNi mke wa mtu na wana watoto wa4 sasa
Duu!!! Kamwambie jamaa ameo mke wako wa kiroho.Ni mke wa mtu na wana watoto wa4 sasa
πππNyie ndo mtarambishwa transformer kwanza halafu ndio adhabu nyengine ziendelee huko motoni..π
Kwanini mkuu?Nyie ndo mtarambishwa transformer kwanza halafu ndio adhabu nyengine ziendelee huko motoni..π
Ntamwambia kiroho sio katika huu ulimwengu wa kawaidaDuu!!! Kamwambie jamaa ameo mke wako wa kiroho.
Hiyo kwanini utaijibu wewe sio MimiKwanini mkuu?
πππNyie ndo mtarambishwa transformer kwanza halafu ndio adhabu nyengine ziendelee huko motoni..π
Unazingua mkuu π πHiyo kwanini utaijibu wewe sio Mimi
Unazingua mkuu π π
Ndio maana mwenyezi Mungu alitaka mabikra wawe wengi, akatoa adhabu kali ya kufa wakikutwa wanazini. Ilikuwa ni biti ili wajitunze hadi ndoa asijekuolewa na mume wa saba au sita kiroho.Tutafute mabikira?
Ndio nini mbona sion kitu
NimekuelewaNdio maana mwenyezi Mungu alitaka mabikra wawe wengi, akatoa adhabu kali ya kufa wakikutwa wanazini. Ilikuwa ni biti ili wajitunze hadi ndoa asijekuolewa na mume wa saba au sita kiroho.
Unatumia app au browser...?Ndio nini mbona sion kitu