Ndoa na Mirathi: Nafasi ya Mahakama ya Kadhi kwa Wanawake

Ndoa na Mirathi: Nafasi ya Mahakama ya Kadhi kwa Wanawake

Status
Not open for further replies.
Hapa sijaona ulichoongea zaidi ya ulimbukeni wewe hufanyi kazi yeyote zaidi ya uwizi maana hiyo ndiyo sifa kubwa ya watu kama wewe

Naomba maswali yanakuwa kutatizi kuhusu mirathi ya kiislam OK? hizo porojo kwamba unafanya kazi wewe hunilishi, hunitibu wala uwezo huo hauna ..kilaza wewe

Hili la mimi kutokuwa na kazi yeyote na wizi ni dhahiri huwezi kulithibitisha kama ambavyo huwezi kuthibitisha mambo mengine kwa aya za Quran. Nachoona hapa ni maneno machafu tu na jazba. Ukiwa na jazba mimi hutaniweza kwani itakulazimu kuazima na matusi mengine kwa ustaadh wa madrasa fulani kule kimara ambaye nafikiri ktk jamii yenu ndiye kabobea kwa matusi kwani alifikia kudiriki kusema kuwa sisi hatutahiriwi, sasa sikupata hakika maneno haya aliambiwa na mkewe au nazo ni simulizi alisimuliwa na babu yake. Lkn yote juu ya yote, atajua kama nimetahiriwa au lah siku nitakayompa mimba binti yake (nina mpango huo, ili nimzidishie kadhi kazi)

Hivi kilaza maana yake nini? Unajua inawezekana kila siku unaniita hivyo ili nikasirike lkn kinyume na matarajio yako unaishia kunichekesha. Kilaza ndio kama Alhaji au? Au kilaza ni kama shababi yaani mtu mwenye wake wa4? Hili nalo lifafanulie ni sura ngapi kwenye korani
 
Kwa faida ya wana JF napenda kutoa ufafanuzi wa aya moja uliyo quote hapo juu ili uniambie kitu gani huelewi kama kweli unataka elimu mkuu acha kuptosha watu??

Qur 4:11 (tafsiri) nakupa ufafanuzi wake;

a. Akifa mtu akaacha watoto wanaume na wanawake basi kila mwanaume atapata mara mbili kuliko mwanamke

b. Akifa mtu akaacha watoto wanawake tu (wawili au zaidi hakuna mtoto mwanaume) watachukua theluthi mbili (2/3) wagawanye sawa kati yao na 1/3 watapewa warithi wengine kwa mujibu wa sharia (i.e. mama mzazi, baba etc)

c. Akifa mtu akaacha mtoto mwanamke mmoja tu (wala hana ndugu wanaume) basi mali itagawanywa sehemu mbili zilizo sawa; nusu moja atapewa huyo mtoto mwanamke na nusu nyingine watapewa warithi wengine kwa mujibu wa sharia (mama mzazi, baba etc)

d. Akifa mtu akaacha watoto wake (wajukuu zake) + na wazee wake) baba atapewa 1/6 ya mali, na mama yake 1/6 ya mali; sehemu itakayobaki watapewa watoto wake (wajukuu zake)

e. Akifa mtu akaacha baba yake na mama yake bila watoto wala wajukuu; basi mama yake atachukua 1/3 ya mali na 2/3 atazichukua baba mzazi wake

f. Akifa mtu akamwacha mama yake tu na ndugu zake wa kuumeni na kukeni; basi mama atachukua sudusi ya mali zingine zitagawanywa kwa warithi wengine

NB. Yote haya ni baada ya kutoa madeni, wosia alioutoa maraehemu

Kumbuka Quran ina details nyingi ambazo wewe huwezi kuzifahamu hadi uwe na hamu ya kuuliza na kutaka kujua na si kejeli..sasa niambie kwa ufafanuzi huu kipengele gani hukiwelewi katika aya hiyo Qurani?? nikueleweshe??

Hapa kidooogo unaonesha ukomavu, japo mambo yenyewe ulioandika ni ya kuungaunga. Mimi nimeuliza 2 +2 ni ngapi. Badala ya kujibu hesabu niliyokuuliza, wewe unatunga ya kwako na kutoa jibu.

Swali langu lilikuwa mtu aliyekufa akaacha
1. Watoto wawili wa kike
2. Mama yake
3. Mke wake.
Sikuuliza hayo unayonijibu. Na usinijibu kwa maneno yako wala ya Kadhi, nataka ya Allah. Hiyo Sura 4:11 haijaeleza mambo yoote hayo ulioniandikia hapa. Haya unajua mwenyewe ulikoyapata.

Unaweza usielewe kilema ulichonacho kwa kuwa kioo chako kimejaa unafiki kwa hiyo unashindwa kujitazama.
Hebu angalia hii: A-F umetoa mifano ya watu wale wale tuuu, sijaona mfano hata mmoja ambao unamhusu mjane au wajane wa marehemu! Hapa ndio linanijia wazo, hii mahakama wanaundiwa wanawake ili wakandamizwe, hadi akili yako tu haiwapi nafasi hata kidogo. Ona ulivyowasahau. Na cha kuchekesha unaomba nguvu ya kisheria ili uwakandamize vizuri utafikiri kutoa hukumu ni kazi yako. Allah mwenyewe kishasema kwenye Sura 4:14 nini atawafanya watakaomkiuka, wewe unataka enforcement ya nini kama sio dhuluma?

Haya jibu swali langu kwenye RED
 
Hili la mimi kutokuwa na kazi yeyote na wizi ni dhahiri huwezi kulithibitisha kama ambavyo huwezi kuthibitisha mambo mengine kwa aya za Quran. Nachoona hapa ni maneno machafu tu na jazba. Ukiwa na jazba mimi hutaniweza kwani itakulazimu kuazima na matusi mengine kwa ustaadh wa madrasa fulani kule kimara ambaye nafikiri ktk jamii yenu ndiye kabobea kwa matusi kwani alifikia kudiriki kusema kuwa sisi hatutahiriwi, sasa sikupata hakika maneno haya aliambiwa na mkewe au nazo ni simulizi alisimuliwa na babu yake. Lkn yote juu ya yote, atajua kama nimetahiriwa au lah siku nitakayompa mimba binti yake (nina mpango huo, ili nimzidishie kadhi kazi)

Hivi kilaza maana yake nini? Unajua inawezekana kila siku unaniita hivyo ili nikasirike lkn kinyume na matarajio yako unaishia kunichekesha. Kilaza ndio kama Alhaji au? Au kilaza ni kama shababi yaani mtu mwenye wake wa4? Hili nalo lifafanulie ni sura ngapi kwenye korani

Una swali lolote kuhusu mirathi ya kiislam ambalo huelewi hunahitaji ufafanuzi??

kama huna kila heri na kazi yako...
 
Hapa kidooogo unaonesha ukomavu, japo mambo yenyewe ulioandika ni ya kuungaunga. Mimi nimeuliza 2 +2 ni ngapi. Badala ya kujibu hesabu niliyokuuliza, wewe unatunga ya kwako na kutoa jibu.

Swali langu lilikuwa mtu aliyekufa akaacha
1. Watoto wawili wa kike
2. Mama yake
3. Mke wake.
Sikuuliza hayo unayonijibu. Na usinijibu kwa maneno yako wala ya Kadhi, nataka ya Allah. Hiyo Sura 4:11 haijaeleza mambo yoote hayo ulioniandikia hapa. Haya unajua mwenyewe ulikoyapata.

Unaweza usielewe kilema ulichonacho kwa kuwa kioo chako kimejaa unafiki kwa hiyo unashindwa kujitazama.
Hebu angalia hii: A-F umetoa mifano ya watu wale wale tuuu, sijaona mfano hata mmoja ambao unamhusu mjane au wajane wa marehemu! Hapa ndio linanijia wazo, hii mahakama wanaundiwa wanawake ili wakandamizwe, hadi akili yako tu haiwapi nafasi hata kidogo. Ona ulivyowasahau. Na cha kuchekesha unaomba nguvu ya kisheria ili uwakandamize vizuri utafikiri kutoa hukumu ni kazi yako. Allah mwenyewe kishasema kwenye Sura 4:14 nini atawafanya watakaomkiuka, wewe unataka enforcement ya nini kama sio dhuluma?

Haya jibu swali langu kwenye RED

Unaona umeuliza swali nzuri sasa; "Swali lako linajibiwa na sehemu (b) hapo juu kwenye Qur 4:11

Ufafanuzi ni "Kwamba 2/3 ya mali zote za marehemu zitaenda kwa watoto hao kike wawili na 1/3 itagawanywa kwa warithi walio baki kwa kufuata kanuni iliyopo (f) yaani mama yake atapata sudusi (1/6) ya 1/3 ya mali na mke wake atapata sehemu iliyobaki kwa mujibu wa Qur 4:12...


Ama kuhusu wanawake kuonewa katika uislam naomba nikufafanulie haya kwa faida ya wana JF
a. Wanawake duniani ndio wanajiunga na uislam kwa kasi zaidi hasa west kwasababu wanaona haki iliyopo unlike popular stereotype in the media (search the most growing religion in developed world)

b. wanawake waislam ndio wenye mali nyingi kupita wanaume wao kwasababu zifauatazo

i. wakati wanapewa urithi kwa mujibu wa sharia lakini pesa hizo ni za kwao tu wala hawatakiwa kuzitumia kulelea familia kwani kazi hiyo iko chini ya mwanume kwa mujibu wa sheria; kila wakati mwanamkw wa kiislamu anatakiwa awe chini ya ulezi wa either baba yake, Kaka zake au mume wake

ii. Wanawake wa kiislam wanafanya kazi (biashara, ofisini nk) lakini mapato yao ni ya kwao wenyewe binafsi wanatakiwa kusaidia familia ni hiari kwa mujibu wa sharia..

Acha upotoshaji wewe huwezi kuwa mtetezi wa wake zetu, mama zetu, na hata dada zetu tunawapenda na Allah anawapenda zaidi kuliko wewe ..
 
Kuhusu Mungu kuwa mmoja, hilo tunasisitiza kwa kuwa ni ukweli kutoka ndani ya Biblia kuwa Mungu ni mmoja. Ni maajabu tu ya dunia kusikia kuna Mungu mwingine anaitwa Allah. Angalia enclopedia utapata habari juu ya Allah ambaye ni Mungu wa mwezi wa waarabu kati ya miungu yao 365.

Kwanza nakupongeza kwa kusadiki kuwa Mungu ni Mmoja tu...

Sasa labda nikukumbushe maana ya Allah.

Allah ni neno la kiarabu linalomaanisha Mwenyezi Mungu mmoja

Neno hili la Allah pia hutumika na wakristo wa kiarabu katika ku-identify miungu mitatu kama ifatavyo;
- Allāh al-ʾab (الله الأ&#1576😉 - Hii humaanisha Mungu baba
- Allāh al-ibn (الله الاب&#1606😉 - Mungu mwana (Yesu)
- Allāh ar-rūḥ al-quds (الله الروح القد&#1587😉 - Mungu Roho Mtakatifu

Ni kweli kwamba waarabu washirikina walikuwa chief god among the numerous idols (360) in the Kaaba in Mecca before Mtume Muhammad made them into monotheists (of oneness of ALLAH).

Baada ya kukujulisha uhalisia wa neno Allah (Mungu) napenda nikujuze kuwa waislamu pia tunaamini kuwa Mungu ni Mmoja na we use the same same arabic word which also arabic Christians use for Allah.

Just only in Islam there is nothing like Mungu baba - Allāh al-ʾab (الله الأ&#1576😉, mwana wala roho mtakatifu.

Only Allah, standing for ONENESS of itself meaning the Almighty GOD.
 

Sasa nyie wanaume wa Tanzania, miaka hii mna sababu gani zaidi ya tamaa zenu kuoa zaidi ya mke mmoja?



Kwako Black Rose;
Natumai umemaanisha wanaume wa kiislamu..

Nami naomba nikujibu kwa mfumo wa maswali..
1- Unapo indicate kuwa kuoa zaidi ya mmoja ni tamaa do you also mean that Nabii suleiman (alikuwa na wake 700) pia alikuwa na tamaa?
2- Umeoa halafu kwa bahati mbaya mkeo ni tasa, je utatafuta kimada uzae nae ili kupata mtoto?
3- Mkeo anapokumbwa na maradhi, mfano ya kiuno na kwa ushauri wa daktari ni kwamba msiingiliane kimwili kwa kipindi cha mwaka mmoja na wewe ni mwanaume rijali, je utatoka nje ya ndoa yako mpaka apone?
4- Je Bibi yetu Sarai (Sara) alipomruhusu mumewe (Nabii Ibraim) aoe yule kijakazi/Hagari (angalia Mwanzo 16:3) alikosea?

5- Biblia inatufahamisha tena kuwa kumbe anayefaa kuwa na mke mmoja ni askofu kumaanisha asiyekuwa askofu anaweza kuwa na zaidi ya mmoja. Hebu tusome: (1 Timotheo 3:1) Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkaribishaji, ajuaye kufundisha... Je unajua ni kwa nini maaskofu wa Kikatoliki hawaruhusiwi kuoa kabisa?
 
naomba nichukue nafasi hii kumfundisha ndugu pale juu.kwanza kabisa naomba usome tena vizuri Quran katika sura inayo itwa An-NISA,Aya ya kumi na moja na kumi nambili.then uilewe vizuri.kisha t
utakuomba usahihishe maneno yako.ukishindwa kuelewe,inshaallah tutakufahamisha vizuri


.Mwanza muslim development center
 
quran sura ya 4.11 inasema.Allah commands you as regards your children's"inheritance".to the male, a portion equal to that of two females,if there are only daughters,two or more,there shares is two thirds of the inheritance;if only one,her share is half. for parents,a sixth share of inheritancw to each if the deceased left children;if no children and the parents are rhe only heirs,the mother has a third.if the deceased left brothers or sistees,the mother has a sixth.the distribution in all cases is,after the payment of legacies he may have bequeathed or debts.you know not which of them whether your parents or your children, are neareat to you in benefit;these fixed shares are ordained bt Allah and Allah is Ever All Knower,All Wise. Aya ya 12 katika hip SUra inasema. in that which your wives leave,your share is half if they have no child,but if they leave a child,you get fourth of that which thwy leave after payment of legacies that they may have bequeathed or debts.in that which you leave,their"your wives" share is a fourth if you leave no child, but if you leave a child,they get an eigth of that which you leave after payment of legacies that you may have bequeathed or debts.if the man or woman whose inheritance is in question has left neither ascendants nor a sister, but left abrother or a sister,each one of the two gets a sixth, but if more than two; they share in a third,after payment of legacies he or she may have bequeathed or debts, so that no loss is caused to any one.this is a command from Allah and Allah is Ever All Knowing, Most Forbearing.
 
Kwanza nakupongeza kwa kusadiki kuwa Mungu ni Mmoja tu...

Sasa labda nikukumbushe maana ya Allah.

Allah ni neno la kiarabu linalomaanisha Mwenyezi Mungu mmoja

Neno hili la Allah pia hutumika na wakristo wa kiarabu katika ku-identify miungu mitatu kama ifatavyo;
- Allāh al-ʾab (الله الأ&#1576😉 - Hii humaanisha Mungu baba
- Allāh al-ibn (الله الاب&#1606😉 - Mungu mwana (Yesu)
- Allāh ar-rūḥ al-quds (الله الروح القد&#1587😉 - Mungu Roho Mtakatifu

Ni kweli kwamba waarabu washirikina walikuwa chief god among the numerous idols (360) in the Kaaba in Mecca before Mtume Muhammad made them into monotheists (of oneness of ALLAH).

Baada ya kukujulisha uhalisia wa neno Allah (Mungu) napenda nikujuze kuwa waislamu pia tunaamini kuwa Mungu ni Mmoja na we use the same same arabic word which also arabic Christians use for Allah.

Just only in Islam there is nothing like Mungu baba - Allāh al-ʾab (الله الأ&#1576😉, mwana wala roho mtakatifu.

Only Allah, standing for ONENESS of itself meaning the Almighty GOD.

Nitarudi kwenye suala lako la Allah mara nyingine kwa kuwa sipendi kuzungumza sana juu ya jambo nisilo na uhakika nalo, acha tuanze na hili lenye hakika. Yesu ni Mungu.

Kwa asiye muamini, na asiye na maarifa na akili ya utambuzi, utukufu wa Mungu hauonekani kwa macho. Lkn twaweza kuona Nguvu ya Mungu ikifanya kazi, na hilo limeshuhudiwa kwenye Biblia mahali pengi.

Concept ya Yesu kuwa Mungu inahitaji utayari wa kusikiliza na kuelewa kuliko kuandaa ubishi. Chukua nafasi yako kunifuatilia kwa makini, nitakupa ushahidi kutoka kwenye Biblia na mifano ya kisayansi ya kukuelewesha pale ambapo ufahamu wako utakwama.

Mimi Mkatoliki ninaamini Mungu ni mmoja. Katika huyu Mungu mmoja, tuna UTATU MTAKATIFU (Holly Trinity), Baba, Mwana na Roho Mtakatifu. Ni Mungu mmoja, nafsi 3.

(SAYANSI: Si jambo la ajabu kisayansi kwa kitu kimoja kutambulika katika hali tatu tofauti. TAZAMA: Matter has three states, solid, liquid and gaseous. Each element is a single element, but it takes on different forms or manifestations under different conditions.)

Mungu baba ni Nafsi ya Kwanza ya Mungu, iliyo nje ya upeo wa ufahamu wetu. Mungu mwana ni nafsi ya pili ya Mungu katika umbo lake Mungu (ambalo na sisi binadamu tumepata), na Roho Mtakatifu ni Nafsi ya tatu ya Mungu inayoishi ndani ya roho zetu kama mshauri na mlinzi kwa matendo yetu tusikilizapo sauti yake ndani yetu)

Uthibitisho wa Utatu Mtakatifu: Nianze na Mwanzo 1:26"Na tufanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu, nao watawale samaki wa baharini na viumbe vinavyoruka vya mbinguni na wanyama wa kufugwa na dunia yote na kila mnyama anayetembea juu ya dunia."
Tufanye, wetu, yetu = Bwana Mpiga Kura, unafikiri Mungu anamwambia nani tufanye, sura yetu na mfano wetu?

Kwamba Yesu hawezi kuwa mwana wa Mungu, Zaburi 2:7 "Nitaihubiri Amri, Bwana aliniambia, Ndiwe Mwanangu leo mimi nimekuzaa"

Kama haitoshi: Isaya 48:16 "Nikaribieni, sikieni haya; tokea mwanzo sikunena kwa siri; tangu yalipokuwapo, mimi nilikuwapo. Sasa Bwana Mungu amenituma, na roho yake" Utaona Nafsi ya pili ya Mungu (Mwana ambaye ndiye Yesu, akiwa na Nafsi ya tatu, Roho Mtakatifu)

Mathayo 3:16 "Naye Yesu alipokwisha kubatizwa akapanda kutoka majini, na tazama, mbingu zikamfunukia, akamwona Roho wa Mungu akishuka kama hua, akija juu yake, na tazama sauti toka mbinguni ikisema, Huyu ni Mwanangu , mpendwa wangu, ninayependezwa naye"

Na kudhihirisha mamlaka na utimilifu wa Ki-Mungu juu ya Yesu, soma Wakolosai 2:9-10

Ndugu yangu mpiga kura, Yesu alikuwako kabla ya kuumbwa kwa dunia Mithali 8:22-35

Kama unaiamini Biblia kama ulivyosema, basi na utakubaliana na mimi kuwa pumzi ya uhai hutoka kwa Mungu. Basi jisomee mwenyewe Yohana 11:25-44 Yesu anasema "mimi ndimi ufufuo na uzima, yeye aniaminie ajapo kufa, atakuwa anaishi"
Bwana Mpiga Kura
, Nani zaidi ya Mungu anaweza kumpa binadamu pumzi ya uhai?

Soma pia Mathayo 1:22-23 "Hayo yote yamekuwa, ili litimie neno lililonenwa na Bwana kwa ujumbe wa nabii akisema,
Tazama, bikira atachukua mimba, Naye atazaa mwana; Nao watamwita jina lake Imanueli; yaani Mungu pamoja nasi. Naye Yusufu alipoamka katika usingizi, alifanya kama malaika wa Bwana alivyomuagiza; akamchukua mkewe, asimjue kwamwe hata alipomzaa mwanawe; akamwita jina lake Yesu"

(hapa nikukumbushe kuwa Adam aliumbwa kwa ufinyanzi wa Mungu kule Eden na binadamu waliobaki walizaliwa kwa zinaa. Ikiwa bikira alishika mimba, unaweza kuniambia huu ni utaratibu gani kati ya namna mbili ambazo binadamu walipatikana?)

Tazama kumbe nabii Isaya alitabiri kuzaliwa kwa Yesu na Bikira Isaya 7:14 na Jina la Imanueli maana yake ni MUNGU na WANADAMU (kumbe unapata kuona ni mpango wa Mungu Yesu kuwa mwanadamu)

Nihitimishe waraka wangu kwako kwa kuitazama injili ya Yohana 1:1-18.

1:1 Hapo Mwanzo kulikuwako Neno(Yesu), Naye Neno(Yesu) alikuwako kwa Mungu, Naye Neno(Yesu) alikuwa Mungu.

1:2 Huyo
(Yesu) Mwanzo alikuwako kwa Mungu.

1:3 Vyote vilifanyika kwa huyo, wala pasipo yeye hakikufanyika chochote kilichofanyika

1:4 Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa Nuru ya watu

1:5 Nayo Nuruyang'aa gizani, wala giza halikuweza.

1:6 Palitokea Mtu ametumwa kutoka kwa Mungu, jina lake Yohana,

1:7 Huyo (Yohana) alikuja kwa ushuhuda, ili aishuhudie ile Nuru
(Yesu) wote wapate kuamini kwa yeye.

1:8 Yeye hakuwa ile Nuru, bali alikuja ili aishuhudie ile Nuru.

1:9 Kulikuwako Nuru halisi
(Yesu), amtiaye nuru kila mtu, akija katika ulimwengu.

1:10 Alikuwako ulimwenguni, hata kwa yeye ulimwengu ulipata kuwepo, wala ulimwengu haukumtambua.

1:11 Alikuja kwake, wala walio wake hawakumpokea (wayahudi).

1:12 Bali waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake,.

1:13 waliozaliwa, si kwa damu wala si kwa mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, bali kwa Mungu.

1:14 Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukaona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.

1:15 Yohana alimshuhudia akipaza sauti, 'huyu ndiye niliyenena habari zake ya kwamba, aja nyuma yangu, aliye mbele yangu; kwa maana alikuwapo kabla yangu' `(Yohana ambaye kwa umri ni mkubwa kwa Yesu, anakiri kuwa Yesu alikuwapo kabla yake)

1:16 Kwa ukamilifu wake, sisi sote tumepokea neema juu ya neema,

1:17 Kwa maana Torati ilitolewa kwa mikono ya Musa, lkn neema na kweli zilikuja kwa mkono wa Yesu Kristo.

1:18 Hakuna mtu aliyemuona Mungu wakati wowote; Mungu Mwana pekee aliye katika kifua cha Baba, huyu ndiye aliyemfunua (Inamaanisha ni kwa kumuona Yesu tu ndio tunaweza kumuona Mungu


Soma hii aya kwa pamoja, utaona kuwa Yesu alikuwako kabla ya kuumbwa kwa ulimwengu na uthibitisho ni pale Mungu aliposema Na tumuumbe mtu, kwa mfano wetu badala ya mfano wangu.

Ikiwa bado una mashaka ya kuwa Yesu ni Mungu, usisite kunieleza ili nikupatie uthibitisho wake Yesu mwenyewe kuwa yeye ni Mungu (kwa maneno yake, na vitendo vyake). Kumbuka Biblia haijing'ati wala kusita, yaliyotabiriwa na nabii Isaya yanatokea zama zingine. Nani angeamini na kuelewa kuwa bikira angeweza kupata mimba? Basi digest haya, la hayatoshi, nikupe kauli ya Yesu mwenyewe ya kuwa yeye ni Mungu.

Asalaaaam Aleykhum!
 
Nitarudi kwenye suala lako la Allah mara nyingine kwa kuwa sipendi kuzungumza sana juu ya jambo nisilo na uhakika nalo.[/B]

SAFI SANA.. HII INAASHIRIA UKOMAVU WAKO..

Mimi Mkatoliki ninaamini Mungu ni mmoja. Katika huyu Mungu mmoja, tuna UTATU MTAKATIFU (Holly Trinity), Baba, Mwana na Roho Mtakatifu. Ni Mungu mmoja, nafsi 3.

Mungu baba ni Nafsi ya Kwanza ya Mungu, iliyo nje ya upeo wa ufahamu wetu. Mungu mwana ni nafsi ya pili ya Mungu katika umbo lake Mungu (ambalo na sisi binadamu tumepata), na Roho Mtakatifu ni Nafsi ya tatu ya Mungu inayoishi ndani ya roho zetu kama mshauri na mlinzi kwa matendo yetu tusikilizapo sauti yake ndani yetu)

Kwa kuwa ninatambua na kuheshimu imani ya dini nyingine, sina haja ya kukanusha juu ya wewe kuamini uwepo wa Mungu mmoja kwa nafsi tatu..

Naomba niichambue katika uelewa wangu juu ya imani kuwa Baba, Mwana na Roho Mtakatifu ni mmoja.
Mt Paulo katika barua yake ya kwanza kuwapelekea Wakorintho aliandika:
Naam, na sisi tumeonekana kuwa mashahidi wa uongo wa Mungu; kwa maana tulimshuhudia Mungu ya kuwa alimfufua Kristo, ambaye hakumfufua, ikiwa wafu hawafufuliwi.
1 Wakorintho 15.15
Juu ya kuwa Paulo anaambiwa ya kuwa akiamini kuwa Masihi (yaani Kristo) na Mwenyezi Mungu ni kitu kimoja hapa anasema: "Tulimshuhudia Mungu ya kuwa alimfufua Kristo." Ikiwa Mungu kamfufua Kristo, hawawezi kuwa wote wawili hao ni mtu mmoja. Mmoja alikuwa ni mtenda, mfufuaji, na wa pili alikuwa ni mtendwa, mfufuliwa. Kama Kristo ni Mungu mwenye uwezo wa kufufua basi maelekeo ni kusema: "Kristo kajifufua", sio kafufuliwa. Mwenye kufufuliwa ni mfu asiyejiweza kitu.
Katika kitabu cha Matendo ya Mitume inasimuliwa kuwa Mt Stefano alisema aliyoyaona yaliyo mbinguni. Alisema:
Tazama! naona mbingu zimefunguka, na Mwana wa Adamu amesimama mkono wa kuume wa Mungu.
Matendo 7.56
Mwana wa Adamu ndiye Yesu, na kwa jina hilo ndio mwenyewe akipenda kujiita, sio Mwana wa Mungu. Hapo basi huko mbinguni Stefano anasema anamwona Yesu kakaa mkono wa kulia wa Mungu. Mwenye kukaa mkono wa kulia wa fulani hawezi kuwa ndiye yule yule fulani. Hayo ni maelezo ya mbinguni. Ni wazi basi kwa ushahidi wa Biblia kuwa Yesu hakuwa Mungu mbinguni kama alivyokuwa si Mungu duniani.
Yesu alipokimbilia kwenye Mlima wa Zaituni na huku akisakwa na Mayahudi alijitenga na wanafunzi wake. Huko faraghani aliomba hivi:
Ee Baba, ikiwa ni mapenzi yako, uniondolee kikombe hiki; walakini si mapenzi yangu, bali yako yatendeke. Malaika kutoka mbinguni akamtokea akamtia nguvu.
Luka 22.42-43
Hapa tunaona mambo matatu muhimu:
1. Yesu anamwomba Mungu. Yesu anamwabudu Mungu. Wawili hao ni mbali mbali, na vyeo vyao ni mbali mbali. Yesu ni mtumwa mnyonge mwenye kuomba na kuabudu. Na Mungu ni Mwenyezi Mungu mwenye uwezo wote na mwenye kustahiki kuabudiwa pekee, hata na Yesu, mwenye kutakiwa msaada pekee, hata na Yesu.
2. Mapenzi ya Mungu ni mbali na yale ya Yesu. Yesu hataki kuuliwa, ananyenyekea na kuomba kwa Bwana wake: "uniondolee kikombe hiki" cha mauti. Yesu hana azma hata chembe ya kufa msalabani, kifo cha mhalifu, kifo cha laana kama maadui zake Mayahudi walivyoazimia kumpatilisha nacho. Lakini anakiri kuwa ni mapenzi ya Mungu sio yake yeye yatendeke. Yeye hana hila wala nguvu za kuzuia kudra ya Mwenyezi Mungu.
3. Yesu, Mwana wa Adamu, anakata tamaa. Imani inampunguka. Kavunjika moyo. Ikabidi "Malaika kutoka mbinguni akamtokea akamtia nguvu."
Jee, yaelekea kuwa Yesu ndiye Mungu? Yaelekea kuwa yeye na Mungu kuwa ni sawa? Kama upo wasiwasi wo wote wa kujibu hayo, mwenyewe Yesu anajibu kama anavyo hadithiwa na Yohana kuwa kasema:
Baba ni mkuu kuliko mimi.
Yohana 14.28
Na mwishoni naye yupo mslabani:
Na kama saa tisa, Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu akisema, Eloi, Eloi, lama sabakthani? yaani, Mungu wangu, Mungu wangu, Mbona umeniacha?
Mathayo 27.46
Yafaa hapa tujiulize: Yesu akimlilia Mungu gani hapo msalabani ikiwa naye mwenyewe ni Mungu? Au nini alikusudia aliposema: "Mungu wangu naye ni Mungu wenu"? Maneno hayo kama yanaonyesha cho chote basi yanaonyesha unyenyekevu wa Yesu mbele ya Mungu wake. La kustaajabisha ni kule kukata tamaa kwake na kuvunjika moyo. Huwaje mtu wa imani, licha ya nabii na mwana pekee wa Mungu, akate tamaa na rehema ya Mwenyezi Mungu. Ama kuwa Mungu akate tamaa na Mungu, na kumyayatikia: "Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha", ni jambo ambalo halimkiniki kuwa.
Kwa uthibitisho ulio wazi Biblia inatwambia kuwa Yesu si Mungu, wala Mungu si Yesu.

Pia naomba nikujulishe juu ya imani yetu katika haya;
1-Kuwa mungu ni mmoja – Katika Quran 112:1
2-Roho Mtakatifu – Katika imani yetu roho mtakatifu ni malaika Jibril (Gabriel) ambaye Mwenyezi Mungu anatujuza katika Quran 5:110 Mungu anasema “ Na pale Mwenyezi Mungu atapo sema: Ewe Isa bin Maryamu! Kumbuka neema yangu juu yako, na juu ya mama yako, nilipo kutia nguvu kwa Roho Takatifu (Jibril), ukazungumza na watu katika utoto na utuuzimani. Na nilivyo kufunza kuandika na hikima na Taurati na Injili. Na ulipo tengeneza udongo sura ya ndege, kwa idhini yangu, kisha ukapuliza ikawa ndege kwa idhini yangu; na ulipo waponesha vipofu na wakoma kwa idhini yangu; na ulipo wafufua wafu kwa idhini yangu; na nilipo kukinga na Wana wa Israili ulipo wajia na hoja zilizo wazi, na wakasema walio kufuru miongoni mwao: Haya si lolote ila ni uchawi mtupu! ***”
3-Yesu kristo – Nabii Issa, ukiangalia Quran 5:75. Mungu anatujuza kuwa “Masihi mwana wa Maryam si chochote ila ni Mtume. Wamekwisha pita Mitume kabla yake. Na mama yake ni mwanamke mkweli. Wote wawili walikuwa wakila chakula. Angalia jinsi tunavyo wabainishia Aya, kisha angalia vipi wanavyo geuzwa. (Na yeye na mwanawe, Isa, walikuwa wana mahitajio yanayo hitajiwa na kila mwanaadamu, kama kula na kunywa, na kwenda haja. Na hizo ni dalili za ubinaadamu wao. Basi hebu zingatia, ewe mwenye kusikia, hali ya hao walio ingia upofu hata hawaoni dalili za Ishara zilizo wazi ambazo amewabainishia Mwenyezi Mungu. Tena zingatia vipi wanaiacha Haki juu ya kuwa ni iwazi kabisa.)

Uthibitisho wa Utatu Mtakatifu: Nianze na Mwanzo 1:26“Na tufanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu, nao watawale samaki wa baharini na viumbe vinavyoruka vya mbinguni na wanyama wa kufugwa na dunia yote na kila mnyama anayetembea juu ya dunia.”
Tufanye, wetu, yetu = Bwana Mpiga Kura, unafikiri Mungu anamwambia nani tufanye, sura yetu na mfano wetu?

Kuhusu hili, Mwenyezi Mungu anakanusha kwa kusema katika Quran 112:4 kuwa “Wala hana anaye fanana naye hata mmoja.”

(hapa nikukumbushe kuwa Adam aliumbwa kwa ufinyanzi wa Mungu kule Eden na binadamu waliobaki walizaliwa kwa zinaa. Ikiwa bikira alishika mimba, unaweza kuniambia huu ni utaratibu gani kati ya namna mbili ambazo binadamu walipatikana?)

Labda katika miujiza yote ya kumthibitishia Yesu ungu ni kule kuzaliwa kwake na bikra bila ya baba. Wengi wanaona hayo ndiyo yanayoonyesha kwa nguvu zaidi kuwa yeye ni Mungu au Mwana wa Mungu. Mtaalamu mkubwa wa Kikristo, Maurice Wiles, Professor of Divinity and Canon of Christ Church Oxford, na Mwenyekiti wa Tume ya Imani ya Kanisa la Kiingereza, ameeleza vipi ilivyokuwa ni muhimu kabisa kuamini kuzaliwa na bikra kwa mwenye kutaka kuamini kwamba Yesu ni Mungu. Professor Wiles akiandika katika kitabu The Myth of God Incarnate (Uwongo wa Mungu kuwa Mtu) amesema:
"Mwanzoni mwa karne hii (ya ishirini) zilipokuwa shaka shaka zinatamkwa kuwa ati ni kweli hakika Yesu alichukuliwa mimba na bikra, maneno hayo ya kuonyesha shaka yalionekana mara nyingi kuwa ni mashambulio khasa juu ya imani ya kuwa Mungu kawa mtu. Ilionekana kwamba imani ya kuzaliwa na bikra na kwamba Mungu amekuwa mtu ni kama pacha wasiobandukana, ama zitasimama pamoja au zianguke pamoja."

Biblia yasemaje juu ya jambo hili? Kwa hakika si kitu cha kawaida mtu kuzaliwa na mwanamke bikra asiyeingiliwa. Ni kweli huo ni muujiza. Lakini ndio ndivyo kuamini kuwa chenye kuzaliwa kwa muujiza ni Mungu? Au hata ndio ndivyo kuona tukio kama hilo ni dalili mojawapo ya kuzidisha ushahidi ya kuwa huyo mtoto ni Mungu au Mwana wa Mungu, kwa maana wanavyotaka wakuu wa makanisa wafwasi wao waamini?
Biblia inayotwambia kuwa Yesu kazaliwa bila ya mama yake kuingiliwa na mwanaadamu (Injili ya Mathayo 1.18) vile vile inatuambia ya kuwa Adamu hakuwa na baba wala mama. (Mwanzo 1.26- 27). Kama wa Yesu ni muujiza wa Adam ni muujiza mardufu. Hali kadhaalika Paulo amewaandikia Waebrania:
Kwa maana Melkizedeki huyo, mfalme wa Salemu, kuhani wa Mungu aliye juu, aliyekutana na Ibrahimu alipokuwa akirudi katika kuwapiga hao wafalme, akambariki; ambaye Ibrahimu alimgawia sehemu ya kumi ya vitu vyote; (tafsiri ya jina lake kwanza ni mfalme wa haki, tena mfalme wa Salemu, maana yake, mfalme wa amani; hana baba, hana mama, hana wazazi, hana mwanzo wa siku zake, wala mwisho uhai wake, bali amefananishwa na Mwana wa Mungu); huyo adumu kuhani milele.
Waebrania 7.1-3
Tunaona basi Biblia inatuhakikishia kuwa Yesu hakuwa pekee mwenye kuzaliwa bila ya baba. Wapo waliomtangulia katika muujiza huu. Kama huo ndio ungu, basi wangelikuwa Adam na Melkizedeki wa mbele, ambaye anasimuliwa na Biblia kuwa alikuwa
"hana baba, hana mama, hana mwanzo wala mwisho".

Hoja nyingi zimetolewa kukanya fikra ya kuwa Mwenyezi Mungu Mtukufu aligeuka binaadamu akaishi duniani kwa sura ya Yesu wa Nazareti. Hoja hizo ziko za misahafuni mpaka za kisayansi. Katika Qur'ani ameshabihishwa Yesu na Adam. Hali kadhaalika muujiza ulitokea kabla kidogo tu ya kuzaliwa Yesu, alipochukua mimba Elizabeti, mke wa Zakaria na ilhali huyo mama ni tasa tangu ujana wake na hapo kesha zeeka na kapindukia miaka ya kuzaa. Mumewe, naye, Zakaria alikuwa ni mkongwe. Mwenyezi Mungu amesema katika Qur'ani, Sura ya Al Imran:
Akasema Zakaria: Mola wangu! Vipi nitapata mtoto, na hali ukongwe umesha nifika, na mke wangu ni tasa? Mwenyezi Mungu akasema: Ndivyo vivyo hivyo, Mwenyezi Mungu hufanya apendavyo.
(Qur'ani) Al Imran 3.40
Ilipofika zamu ya Maryam kuchukua mimba Qur'ani inasema:
(Maryam) akasema: Mola Mlezi wangu! Vipi nitampata mtoto na hali hajanigusa mwanaadamu ye yote? (Mwenyezi Mungu) akasema: Ndivyo vivyo hivyo, Mwenyezi Mungu huumba apendacho; anapohukumu jambo, huliambia: Kuwa! Basi likawa.
(Qur'ani) Al Imran 3.47
Hizi ni hoja za misahafu, ni hoja za watu wenye imani. Wapo wengineo ambao wamepuuzilia mbali hadithi yote hiyo ya kuwa Maryam kachukua mimba bila ya kuingiliwa na mtu. Hao ni kama Mayahudi ambao wanamtukana Yesu na mama yake kwa kusema kuwa hiyo ni mimba ya haramu. Miongoni ya wataalamu wa Kizungu wenye asli ya Ukristo wapo wanaoamini hayo. Wanasema kuwa imani ya kuzaliwa na mama bikra ilikuwako tangu zamani katika dini za kipagani (kishirikina) kabla ya kuja Yesu. Bikra Rea Silvia alimzaa Romulus wa Roma. Horus wa Misri alizaliwa na Isis, malkia bikra wa mbinguni. Hoja inayotolewa kama ilivyokuwa hizi na nyenginezo ni hadithi za kubuni tu zilioenea pande za Bahari ya Kati, basi ndio hivyo hivyo hadithi ya kuwa Maryam alikuwa bikra alipochukua mimba na kumzaa Yesu ni hadithi ya kubuni kuiga zile zilizotangulia.
Mtaalamu wa Biblia wa Kitaliana, Marcello Craveri anawashutumu wakuu wa Kanisa kwa kutafuta kila kipengee katika Biblia kutoa ushahidi kuwa kuzaliwa kwa Yesu na bikra kuliaguliwa mbele. Kipande kinachonukuliwa mno ni kile kiliomo katika Isaya ambacho kinasema:
Kwa hiyo Bwana mwenyewe atawapa ishara. Tazama, bikira atachukua mimba, atazaa mtoto mwanamume, naye atamwita jina lake Imanueli.
Isaya 7.14
Mtaalamu huyu anasema maneno haya hayakukhusu kuzaliwa kwa Yesu hata chembe. Kwanza neno la asli halikutaja "bikira" lakini ni "mwanamke kijana". Tafsiri nyingine kama Revised Standard Version zimefuata hivyo ilivyo asli. Neno la Kiebrania liliotumiwa ni almah ambalo maana yake ni mwanamke kijana au msichana. Neno bikra kwa Kiebrania ni bethulah, kama ilivyo katika Kiarabu batuul. Na haya mambo ambayo yametokea zaidi ya miaka 700 kabla ya Yesu yalikhusiana na mke wake Isaya ambaye alikuwa umri wake ni miaka 20 wakati ule na kweli akaja kumzaa mtoto mwanamume. Ama hilo neno Imanueli, maana yake ni Mwenyezi Mungu yu pamoja nasi, na wala sio maana yake kuwa huyo mtoto kuwa ndiye Mungu. Lugha ya Kiebrania imekaribiana na Kiarabu, na kwa Kiarabu ni Ma'anallah, nalo ni jina la kawaida, na kama kwamba kumwombea kheri huyo mwenye kuitwa. Mtaalamu Isaac Asimov ameeleza wazi juu ya utabiri huu wa Isaya katika kitabu chake, Asimov's Guide to the Bible.
Mtaalamu mwengine mwenye kupima mambo kiakili aitwaye G. Vermes amesema katika kitabu chake Jesus the Jew(Yesu Myahudi) akidai kuwa hili neno "bikira" hata lilivyotumiwa kwa Mariamu yawezekana sana kuwa maana yake ni kuwa mdogo mno kwa uzazi, kama walivyokuwa Sara, Hanna na Elizabeti kuwa ni wakongwe mno, au tasa.
Mwishoe kuna maoni ya mwana-sayansi na daktari juu ya hili suala la kushika mimba mwanamke hali naye ni bikra. Dr. T.H. Van de Velde M.D. akiandika katika kitabu chake cha kitaalamu, Ideal Marriage (Ndoa Bora) anasema:
"Mara nyingi imewahi kutokea, ijapokuwa ni nadra, kushika mimba kwa kupenya mbegu ya uzazi katika utupu wa mwanamke bila ya kuingiza kabisa dhakari, au utupu wa mwanamume. Mifano kama hiyo ni muhimu kabisa kimaisha. Ni dhaahiri kuwa inathibitisha vitu viwili. Kwanza, kuwa katika hali maalumu yawezekana mimba kutiwa ijapokuwa kizinda hakikupasuliwa. Na pili ya kwamba mbegu ya uzazi yaweza kufika ndani ya utupu wa mwanamke kwa njia isiyokuwa moja kwa moja, kwa mfano kwa mguso wa kidole..."

Hapana shaka pana utaalamu mkubwa katika mawazo na fikra hizi, za kidaktari, za kisayansi au za kiakili; lakini ni Qur'ani ndiyo inauweleza ukweli kwa maneno mepesi kabisa hata watoto wachanga wakaweza kuelewa na ikawa ya kuwatukuza Yesu na mama yake:
Hakika mfano wa Isa kwa Mwenyezi Mungu ni kama mfano wa Adam; alimuumba kwa mchanga kisha akamwambia: Kuwa! Basi akawa. Hii ni kweli inayotoka kwa Mola wako Mlezi. Basi usiwe miongoni mwa wanaofanya shaka.(Qur'ani) Al Imran 3.59-60

Tazama kumbe nabii Isaya alitabiri kuzaliwa kwa Yesu na Bikira Isaya 7:14 na Jina la Imanueli maana yake ni MUNGU na WANADAMU (kumbe unapata kuona ni mpango wa Mungu Yesu kuwa mwanadamu)

Siamini kama ulikusudia kupotosha uhalisia; Hebu fuata hii link Biblia - Isaya 7 angalia katika hiyo hiyo Isaya 7:14 inasomeka hivi “Kwa hiyo Bwana mwenyewe atawapa ishara. Tazama, bikira atachukua mimba, atazaa mtoto mwanamume, naye atamwita jina lake Imanueli.”
Labda tuiangalie kiingereza: “Therefore the Lord himself shall give you a sign; Behold, a virgin shall conceive, and bear a son, and shall call his name Immanuel.”

Asalaaaam Aleykhum![/B]
Waaleykum Salaam - Amani iwe nawe pia
 
naomba nichukue nafasi hii kumfundisha ndugu pale juu.kwanza kabisa naomba usome tena vizuri Quran katika sura inayo itwa An-NISA,Aya ya kumi na moja na kumi nambili.then uilewe vizuri.kisha t
utakuomba usahihishe maneno yako.ukishindwa kuelewe,inshaallah tutakufahamisha vizuri

.Mwanza muslim development center

Naomba nikusahihishe kidogo, Unapotaka kumwelewesha mtu mwekee hoja zilizo wazi ili yeye, mimi na wengine waweze kunufaika pia.

Labda nikukumbushe kuwa japo kuna baadhi ya wenye kuchangia hoja kwa kudhihaki lakini pia wapo wenye kiu ya kujua ukweli wa mambo...

Nihitimishe kwa kukupa mfano:
Baada ya zile njama za freemasons kutoa sadaka ya damu kwa kuua halaiki ya watu huko WTC kwa kigezo cha kuchafua uislamu ikapelekea waislamu waishi maisha magumu sana ya kunyanyapaliwa kuwa ni magaidi.

Lakini kwakuwa lila na fila havikai pamoja ilikuja julikana kuwa sio kweli then watu wakaanza kuwa na kiu ya kutaka kujua ni kwanini kila kitu kibaya waislamu tu ndo wanasingiziwa.

As the result watu wengi wameanza kusilimu since that event,
1-Naomba mfate hii link The Rise of Islam - Harun Yahya labda niainishe kwa faida ya wasomaji, paragraph ya kwanza inaeleza hivi American interest in Islam reached its pinnacle in the last quarter of 2001. The most important reason for this was the 9/11 attacks against the World Trade Center and the Pentagon. Several studies undertaken to determine the roots of terrorist ideology, as well as investigations of Islam, have enabled people to learn that Islam is a peaceful religion that enjoins tolerance, justice, mercy, and love. Islam has suddenly become a major topic of discussion all over the world. More and more world-renowned statesmen, political scientists, researchers, and thinkers consider it necessary to understand Islam correctly, and have given speeches underlining Islamic tolerance and willingness to reach agreement. Americans have approached Muslim organizations in order to find the most accurate information about Islam and Islamic history. As a result of this interest, the Middle East Media Research Institute reported that after 9/11, 34,000 Americans converted to Islam.

2- Pia cheki na hii Converting to Islam in the U.S. Following 9/11 , 34000 embraced Islam !, why they converted to Islam , moja ya sentensi ni CAIR chairman Nihad Awad told the Saudi paper 'Ukaz that "34,000 Americans have converted to Islam following the events of September 11, and this is the highest rate reached in the U.S. since Islam arrived there."(2)

3- Hii nayo ni bora uicheki Fall in number of Christians in Britain | Christian News on Christian Today heading yake ni Fall in number of Christians in Britain..

Amani iwe nanyi...
 
Nitarudi kwenye suala lako la Allah mara nyingine kwa kuwa sipendi kuzungumza sana juu ya jambo nisilo na uhakika nalo, acha tuanze na hili lenye hakika. Yesu ni Mungu.

Kwa asiye muamini, na asiye na maarifa na akili ya utambuzi, utukufu wa Mungu hauonekani kwa macho. Lkn twaweza kuona Nguvu ya Mungu ikifanya kazi, na hilo limeshuhudiwa kwenye Biblia mahali pengi.

Concept ya Yesu kuwa Mungu inahitaji utayari wa kusikiliza na kuelewa kuliko kuandaa ubishi. Chukua nafasi yako kunifuatilia kwa makini, nitakupa ushahidi kutoka kwenye Biblia na mifano ya kisayansi ya kukuelewesha pale ambapo ufahamu wako utakwama.

Mimi Mkatoliki ninaamini Mungu ni mmoja. Katika huyu Mungu mmoja, tuna UTATU MTAKATIFU (Holly Trinity), Baba, Mwana na Roho Mtakatifu. Ni Mungu mmoja, nafsi 3.

(SAYANSI: Si jambo la ajabu kisayansi kwa kitu kimoja kutambulika katika hali tatu tofauti. TAZAMA: Matter has three states, solid, liquid and gaseous. Each element is a single element, but it takes on different forms or manifestations under different conditions.)

Mungu baba ni Nafsi ya Kwanza ya Mungu, iliyo nje ya upeo wa ufahamu wetu. Mungu mwana ni nafsi ya pili ya Mungu katika umbo lake Mungu (ambalo na sisi binadamu tumepata), na Roho Mtakatifu ni Nafsi ya tatu ya Mungu inayoishi ndani ya roho zetu kama mshauri na mlinzi kwa matendo yetu tusikilizapo sauti yake ndani yetu)

Uthibitisho wa Utatu Mtakatifu: Nianze na Mwanzo 1:26Na tufanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu, nao watawale samaki wa baharini na viumbe vinavyoruka vya mbinguni na wanyama wa kufugwa na dunia yote na kila mnyama anayetembea juu ya dunia.
Tufanye, wetu, yetu = Bwana Mpiga Kura, unafikiri Mungu anamwambia nani tufanye, sura yetu na mfano wetu?

Kwamba Yesu hawezi kuwa mwana wa Mungu, Zaburi 2:7 "Nitaihubiri Amri, Bwana aliniambia, Ndiwe Mwanangu leo mimi nimekuzaa"

Kama haitoshi: Isaya 48:16 "Nikaribieni, sikieni haya; tokea mwanzo sikunena kwa siri; tangu yalipokuwapo, mimi nilikuwapo. Sasa Bwana Mungu amenituma, na roho yake" Utaona Nafsi ya pili ya Mungu (Mwana ambaye ndiye Yesu, akiwa na Nafsi ya tatu, Roho Mtakatifu)

Mathayo 3:16 "Naye Yesu alipokwisha kubatizwa akapanda kutoka majini, na tazama, mbingu zikamfunukia, akamwona Roho wa Mungu akishuka kama hua, akija juu yake, na tazama sauti toka mbinguni ikisema, Huyu ni Mwanangu , mpendwa wangu, ninayependezwa naye"

Na kudhihirisha mamlaka na utimilifu wa Ki-Mungu juu ya Yesu, soma Wakolosai 2:9-10

Ndugu yangu mpiga kura, Yesu alikuwako kabla ya kuumbwa kwa dunia Mithali 8:22-35

Kama unaiamini Biblia kama ulivyosema, basi na utakubaliana na mimi kuwa pumzi ya uhai hutoka kwa Mungu. Basi jisomee mwenyewe Yohana 11:25-44 Yesu anasema "mimi ndimi ufufuo na uzima, yeye aniaminie ajapo kufa, atakuwa anaishi"
Bwana Mpiga Kura
, Nani zaidi ya Mungu anaweza kumpa binadamu pumzi ya uhai?

Soma pia Mathayo 1:22-23 "Hayo yote yamekuwa, ili litimie neno lililonenwa na Bwana kwa ujumbe wa nabii akisema,
Tazama, bikira atachukua mimba, Naye atazaa mwana; Nao watamwita jina lake Imanueli; yaani Mungu pamoja nasi. Naye Yusufu alipoamka katika usingizi, alifanya kama malaika wa Bwana alivyomuagiza; akamchukua mkewe, asimjue kwamwe hata alipomzaa mwanawe; akamwita jina lake Yesu"

(hapa nikukumbushe kuwa Adam aliumbwa kwa ufinyanzi wa Mungu kule Eden na binadamu waliobaki walizaliwa kwa zinaa. Ikiwa bikira alishika mimba, unaweza kuniambia huu ni utaratibu gani kati ya namna mbili ambazo binadamu walipatikana?)

Tazama kumbe nabii Isaya alitabiri kuzaliwa kwa Yesu na Bikira Isaya 7:14 na Jina la Imanueli maana yake ni MUNGU na WANADAMU (kumbe unapata kuona ni mpango wa Mungu Yesu kuwa mwanadamu)

Nihitimishe waraka wangu kwako kwa kuitazama injili ya Yohana 1:1-18.

1:1 Hapo Mwanzo kulikuwako Neno(Yesu), Naye Neno(Yesu) alikuwako kwa Mungu, Naye Neno(Yesu) alikuwa Mungu.

1:2 Huyo
(Yesu) Mwanzo alikuwako kwa Mungu.

1:3 Vyote vilifanyika kwa huyo, wala pasipo yeye hakikufanyika chochote kilichofanyika

1:4 Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa Nuru ya watu

1:5 Nayo Nuruyang'aa gizani, wala giza halikuweza.

1:6 Palitokea Mtu ametumwa kutoka kwa Mungu, jina lake Yohana,

1:7 Huyo (Yohana) alikuja kwa ushuhuda, ili aishuhudie ile Nuru
(Yesu) wote wapate kuamini kwa yeye.

1:8 Yeye hakuwa ile Nuru, bali alikuja ili aishuhudie ile Nuru.

1:9 Kulikuwako Nuru halisi
(Yesu), amtiaye nuru kila mtu, akija katika ulimwengu.

1:10 Alikuwako ulimwenguni, hata kwa yeye ulimwengu ulipata kuwepo, wala ulimwengu haukumtambua.

1:11 Alikuja kwake, wala walio wake hawakumpokea (wayahudi).

1:12 Bali waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake,.

1:13 waliozaliwa, si kwa damu wala si kwa mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, bali kwa Mungu.

1:14 Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukaona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.

1:15 Yohana alimshuhudia akipaza sauti, 'huyu ndiye niliyenena habari zake ya kwamba, aja nyuma yangu, aliye mbele yangu; kwa maana alikuwapo kabla yangu' `(Yohana ambaye kwa umri ni mkubwa kwa Yesu, anakiri kuwa Yesu alikuwapo kabla yake)

1:16 Kwa ukamilifu wake, sisi sote tumepokea neema juu ya neema,

1:17 Kwa maana Torati ilitolewa kwa mikono ya Musa, lkn neema na kweli zilikuja kwa mkono wa Yesu Kristo.

1:18 Hakuna mtu aliyemuona Mungu wakati wowote; Mungu Mwana pekee aliye katika kifua cha Baba, huyu ndiye aliyemfunua (Inamaanisha ni kwa kumuona Yesu tu ndio tunaweza kumuona Mungu


Soma hii aya kwa pamoja, utaona kuwa Yesu alikuwako kabla ya kuumbwa kwa ulimwengu na uthibitisho ni pale Mungu aliposema Na tumuumbe mtu, kwa mfano wetu badala ya mfano wangu.

Ikiwa bado una mashaka ya kuwa Yesu ni Mungu, usisite kunieleza ili nikupatie uthibitisho wake Yesu mwenyewe kuwa yeye ni Mungu (kwa maneno yake, na vitendo vyake). Kumbuka Biblia haijing'ati wala kusita, yaliyotabiriwa na nabii Isaya yanatokea zama zingine. Nani angeamini na kuelewa kuwa bikira angeweza kupata mimba? Basi digest haya, la hayatoshi, nikupe kauli ya Yesu mwenyewe ya kuwa yeye ni Mungu.

Asalaaaam Aleykhum!
Shizukan. Ni ukweli usiopingika kuwa umejipinda kuandika kwa ureefu hoja ya Uungu wa Yesu. Sishangai kwa kuwa ndivyo ulivyofundishwa, pengine tangu ulipokuwa mtoto. Ww umepotoshwa na kuaminishwa hivyo. Lakini kibaya zaidi ni kuwa, sasa na ww umeingia kwenye kundi la wapotoshaji. Mwenyezi Mungu atuepushe na kundi la wapotoshaji. Hebu sasa turudi kwenye mada ya Uungu wa Yesu. Kwanza nikwambie kitu? Tukiangalia Biblia, mwanzo hadi mwisho hakuna neno 'Trinity'. Kwa hiyo 'utatu mtakatifu' kama mnavyoita, ni mafundisho yaliyo nje ya Biblia. Cha kushangaza wengi ni kwamba, neno trinity limo kwenye Quran 'Dont say Trinity'. Mara nyingi nikiwasikia baadhi ya Wakristo wakisema Yesu anaweza kila kitu au hakuna linaloshindikana kwa Yesu, basi mimi hucheeka. Huwa najiuliza hivi hawa 'wenzetu' wanaisoma Biblia kweli? Au wanasoma lakini hawaielewi? Au ndio ile 'bisha mpaka ufe?' Mifano ipo mingi, hebu tuangalie hii. Mathayo 24:36 Walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye, hata Malaika walio mbinguni, wala Mwana, ila Baba peke yake. Hapa Yesu anatuthibitishia kuwa hajui mwisho wa Dunia/Ulimwengu(kiama) utakuwa siku gani na saa ngapi. Marko 10:35-40 Na Yakobo na Yohana, wana wa Zebedayo, wakamwendea, wakamwambia, Mwalimu, twataka utufanyie lolote tutakalokuomba. Akawaambia, mwataka niwafanyie nini? Wakamwambia, utujalie sisi tuketi, mmoja mkono wako wa kuume, na mmoja mkono wako wa kushoto, katika utukufu wako. Yesu akawaambia, Hamjui mnaloliomba. Mwaweza kunywea kikombe ninyeacho mimi, au kubatizwa ubatizo nibatizwao mimi? Wakamwambia, twaweza. Yesu akawaambia, kikombe ninyeacho mimi mtakinywea, na ubatizo nibatizwao mimi mtabatizwa; lakini habari ya kuketi mkono wangu wa kuume au mkono wangu wa kushoto SI LANGU KUWAPA, ila wao watapewa waliowekewa tayari. Hapa Yesu anatujulisha wazi kuwa hana mamlaka ya mbinguni. Tena Yesu anatufundisha nani Mungu wake na wetu kwa ujumla. Marko 12:29 Yesu akamjibu, ya kwanza ndio hii, Sikia, Israel, BWANA MUNGU WETU NI BWANA MMOJA. Yaani Mungu wetu sote na Yesu akiwa pamoja nasi. Pia kuna Yohana 20:17 Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, ninapaa kwenda kwa BABA YANGU NAYE NI BABA YENU, MUNGU WANGU NAYE NI MUNGU WENU. Sasa kama kuna kulazimishana Uungu wa Yesu, au vinginevyo mwenyewe anaeleza wazi. Mifano ipo mingi tu. Niendelee...
 
(hapa nikukumbushe kuwa Adam aliumbwa kwa ufinyanzi wa Mungu kule Eden na binadamu waliobaki walizaliwa kwa zinaa.
Asalaaaam Aleykhum![/B]

Nilisahau kuhusu hili,
Naomba nikujulishe maana ya neno "Zinaa"
Ukitohoa katika Wikipedia utakuta definition ifatayo:
Zinā or Zināʾ (Arabic: الزنا‎ ) is generally defined by Islamic Law as unlawful sexual intercourse, i.e. intercourse between a man and a woman who are not married to one another or in a state of lawful concubinage based on ownership (the relationship between the owner and his female slave). This encompasses extramarital sex and premarital sex.

Tunafunga ndoa zetu kwa kufata misingi ya dini zetu, mfano makanisani, misikitini au kwa kushirikisha wakuu wetu wa imani mfano maaskofu, mashehe nk.

Hivyo kwa kuwa ndoa hizi zina baraka wa viongozi wa kiroho then ni halali na zao lake haliwezi kuwa ni zinaa.
 
Nitarudi kwenye suala lako la Allah mara nyingine kwa kuwa sipendi kuzungumza sana juu ya jambo nisilo na uhakika nalo, acha tuanze na hili lenye hakika. Yesu ni Mungu.

Kwa asiye muamini, na asiye na maarifa na akili ya utambuzi, utukufu wa Mungu hauonekani kwa macho. Lkn twaweza kuona Nguvu ya Mungu ikifanya kazi, na hilo limeshuhudiwa kwenye Biblia mahali pengi.

Concept ya Yesu kuwa Mungu inahitaji utayari wa kusikiliza na kuelewa kuliko kuandaa ubishi. Chukua nafasi yako kunifuatilia kwa makini, nitakupa ushahidi kutoka kwenye Biblia na mifano ya kisayansi ya kukuelewesha pale ambapo ufahamu wako utakwama.

Mimi Mkatoliki ninaamini Mungu ni mmoja. Katika huyu Mungu mmoja, tuna UTATU MTAKATIFU (Holly Trinity), Baba, Mwana na Roho Mtakatifu. Ni Mungu mmoja, nafsi 3.

(SAYANSI: Si jambo la ajabu kisayansi kwa kitu kimoja kutambulika katika hali tatu tofauti. TAZAMA: Matter has three states, solid, liquid and gaseous. Each element is a single element, but it takes on different forms or manifestations under different conditions.)

Mungu baba ni Nafsi ya Kwanza ya Mungu, iliyo nje ya upeo wa ufahamu wetu. Mungu mwana ni nafsi ya pili ya Mungu katika umbo lake Mungu (ambalo na sisi binadamu tumepata), na Roho Mtakatifu ni Nafsi ya tatu ya Mungu inayoishi ndani ya roho zetu kama mshauri na mlinzi kwa matendo yetu tusikilizapo sauti yake ndani yetu)

Uthibitisho wa Utatu Mtakatifu: Nianze na Mwanzo 1:26Na tufanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu, nao watawale samaki wa baharini na viumbe vinavyoruka vya mbinguni na wanyama wa kufugwa na dunia yote na kila mnyama anayetembea juu ya dunia.
Tufanye, wetu, yetu = Bwana Mpiga Kura, unafikiri Mungu anamwambia nani tufanye, sura yetu na mfano wetu?

Kwamba Yesu hawezi kuwa mwana wa Mungu, Zaburi 2:7 "Nitaihubiri Amri, Bwana aliniambia, Ndiwe Mwanangu leo mimi nimekuzaa"

Kama haitoshi: Isaya 48:16 "Nikaribieni, sikieni haya; tokea mwanzo sikunena kwa siri; tangu yalipokuwapo, mimi nilikuwapo. Sasa Bwana Mungu amenituma, na roho yake" Utaona Nafsi ya pili ya Mungu (Mwana ambaye ndiye Yesu, akiwa na Nafsi ya tatu, Roho Mtakatifu)

Mathayo 3:16 "Naye Yesu alipokwisha kubatizwa akapanda kutoka majini, na tazama, mbingu zikamfunukia, akamwona Roho wa Mungu akishuka kama hua, akija juu yake, na tazama sauti toka mbinguni ikisema, Huyu ni Mwanangu , mpendwa wangu, ninayependezwa naye"

Na kudhihirisha mamlaka na utimilifu wa Ki-Mungu juu ya Yesu, soma Wakolosai 2:9-10

Ndugu yangu mpiga kura, Yesu alikuwako kabla ya kuumbwa kwa dunia Mithali 8:22-35

Kama unaiamini Biblia kama ulivyosema, basi na utakubaliana na mimi kuwa pumzi ya uhai hutoka kwa Mungu. Basi jisomee mwenyewe Yohana 11:25-44 Yesu anasema "mimi ndimi ufufuo na uzima, yeye aniaminie ajapo kufa, atakuwa anaishi"
Bwana Mpiga Kura
, Nani zaidi ya Mungu anaweza kumpa binadamu pumzi ya uhai?

Soma pia Mathayo 1:22-23 "Hayo yote yamekuwa, ili litimie neno lililonenwa na Bwana kwa ujumbe wa nabii akisema,
Tazama, bikira atachukua mimba, Naye atazaa mwana; Nao watamwita jina lake Imanueli; yaani Mungu pamoja nasi. Naye Yusufu alipoamka katika usingizi, alifanya kama malaika wa Bwana alivyomuagiza; akamchukua mkewe, asimjue kwamwe hata alipomzaa mwanawe; akamwita jina lake Yesu"

(hapa nikukumbushe kuwa Adam aliumbwa kwa ufinyanzi wa Mungu kule Eden na binadamu waliobaki walizaliwa kwa zinaa. Ikiwa bikira alishika mimba, unaweza kuniambia huu ni utaratibu gani kati ya namna mbili ambazo binadamu walipatikana?)

Tazama kumbe nabii Isaya alitabiri kuzaliwa kwa Yesu na Bikira Isaya 7:14 na Jina la Imanueli maana yake ni MUNGU na WANADAMU (kumbe unapata kuona ni mpango wa Mungu Yesu kuwa mwanadamu)

Nihitimishe waraka wangu kwako kwa kuitazama injili ya Yohana 1:1-18.

1:1 Hapo Mwanzo kulikuwako Neno(Yesu), Naye Neno(Yesu) alikuwako kwa Mungu, Naye Neno(Yesu) alikuwa Mungu.

1:2 Huyo
(Yesu) Mwanzo alikuwako kwa Mungu.

1:3 Vyote vilifanyika kwa huyo, wala pasipo yeye hakikufanyika chochote kilichofanyika

1:4 Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa Nuru ya watu

1:5 Nayo Nuruyang'aa gizani, wala giza halikuweza.

1:6 Palitokea Mtu ametumwa kutoka kwa Mungu, jina lake Yohana,

1:7 Huyo (Yohana) alikuja kwa ushuhuda, ili aishuhudie ile Nuru
(Yesu) wote wapate kuamini kwa yeye.

1:8 Yeye hakuwa ile Nuru, bali alikuja ili aishuhudie ile Nuru.

1:9 Kulikuwako Nuru halisi
(Yesu), amtiaye nuru kila mtu, akija katika ulimwengu.

1:10 Alikuwako ulimwenguni, hata kwa yeye ulimwengu ulipata kuwepo, wala ulimwengu haukumtambua.

1:11 Alikuja kwake, wala walio wake hawakumpokea (wayahudi).

1:12 Bali waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake,.

1:13 waliozaliwa, si kwa damu wala si kwa mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, bali kwa Mungu.

1:14 Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukaona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.

1:15 Yohana alimshuhudia akipaza sauti, 'huyu ndiye niliyenena habari zake ya kwamba, aja nyuma yangu, aliye mbele yangu; kwa maana alikuwapo kabla yangu' `(Yohana ambaye kwa umri ni mkubwa kwa Yesu, anakiri kuwa Yesu alikuwapo kabla yake)

1:16 Kwa ukamilifu wake, sisi sote tumepokea neema juu ya neema,

1:17 Kwa maana Torati ilitolewa kwa mikono ya Musa, lkn neema na kweli zilikuja kwa mkono wa Yesu Kristo.

1:18 Hakuna mtu aliyemuona Mungu wakati wowote; Mungu Mwana pekee aliye katika kifua cha Baba, huyu ndiye aliyemfunua (Inamaanisha ni kwa kumuona Yesu tu ndio tunaweza kumuona Mungu


Soma hii aya kwa pamoja, utaona kuwa Yesu alikuwako kabla ya kuumbwa kwa ulimwengu na uthibitisho ni pale Mungu aliposema Na tumuumbe mtu, kwa mfano wetu badala ya mfano wangu.

Ikiwa bado una mashaka ya kuwa Yesu ni Mungu, usisite kunieleza ili nikupatie uthibitisho wake Yesu mwenyewe kuwa yeye ni Mungu (kwa maneno yake, na vitendo vyake). Kumbuka Biblia haijing'ati wala kusita, yaliyotabiriwa na nabii Isaya yanatokea zama zingine. Nani angeamini na kuelewa kuwa bikira angeweza kupata mimba? Basi digest haya, la hayatoshi, nikupe kauli ya Yesu mwenyewe ya kuwa yeye ni Mungu.

Asalaaaam Aleykhum!
Shizukan. Ni ukweli usiopingika kuwa umejipinda kuandika kwa ureefu hoja ya Uungu wa Yesu. Sishangai kwa kuwa ndivyo ulivyofundishwa, pengine tangu ulipokuwa mtoto. Ww umepotoshwa na kuaminishwa hivyo. Lakini kibaya zaidi ni kuwa, sasa na ww umeingia kwenye kundi la wapotoshaji. Mwenyezi Mungu atuepushe na kundi la wapotoshaji. Hebu sasa turudi kwenye mada ya Uungu wa Yesu. Kwanza nikwambie kitu? Tukiangalia Biblia, mwanzo hadi mwisho hakuna neno 'Trinity'. Kwa hiyo 'utatu mtakatifu' kama mnavyoita, ni mafundisho yaliyo nje ya Biblia. Cha kushangaza wengi ni kwamba, neno trinity limo kwenye Quran 'Dont say Trinity'. Mara nyingi nikiwasikia baadhi ya Wakristo wakisema Yesu anaweza kila kitu au hakuna linaloshindikana kwa Yesu, basi mimi hucheeka. Huwa najiuliza hivi hawa 'wenzetu' wanaisoma Biblia kweli? Au wanasoma lakini hawaielewi? Au ndio ile 'bisha mpaka ufe?' Mifano ipo mingi, hebu tuangalie hii. Mathayo 24:36 Walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye, hata Malaika walio mbinguni, wala Mwana, ila Baba peke yake. Hapa Yesu anatuthibitishia kuwa hajui mwisho wa Dunia/Ulimwengu(kiama) utakuwa siku gani na saa ngapi. Marko 10:35-40 Na Yakobo na Yohana, wana wa Zebedayo, wakamwendea, wakamwambia, Mwalimu, twataka utufanyie lolote tutakalokuomba. Akawaambia, mwataka niwafanyie nini? Wakamwambia, utujalie sisi tuketi, mmoja mkono wako wa kuume, na mmoja mkono wako wa kushoto, katika utukufu wako. Yesu akawaambia, Hamjui mnaloliomba. Mwaweza kunywea kikombe ninyeacho mimi, au kubatizwa ubatizo nibatizwao mimi? Wakamwambia, twaweza. Yesu akawaambia, kikombe ninyeacho mimi mtakinywea, na ubatizo nibatizwao mimi mtabatizwa; lakini habari ya kuketi mkono wangu wa kuume au mkono wangu wa kushoto SI LANGU KUWAPA, ila wao watapewa waliowekewa tayari. Hapa Yesu anatujulisha wazi kuwa hana mamlaka ya mbinguni. Tena Yesu anatufundisha nani Mungu wake na wetu kwa ujumla. Marko 12:29 Yesu akamjibu, ya kwanza ndio hii, Sikia, Israel, BWANA MUNGU WETU NI BWANA MMOJA. Yaani Mungu wetu sote na Yesu akiwa pamoja nasi. Pia kuna Yohana 20:17 Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, ninapaa kwenda kwa BABA YANGU NAYE NI BABA YENU, MUNGU WANGU NAYE NI MUNGU WENU. Sasa kama kuna kulazimishana Uungu wa Yesu, au vinginevyo mwenyewe anaeleza wazi. Mifano ipo mingi tu. Niendelee...
 
Naomba nikusahihishe kidogo, Unapotaka kumwelewesha mtu mwekee hoja zilizo wazi ili yeye, mimi na wengine waweze kunufaika pia.

Labda nikukumbushe kuwa japo kuna baadhi ya wenye kuchangia hoja kwa kudhihaki lakini pia wapo wenye kiu ya kujua ukweli wa mambo...

Nihitimishe kwa kukupa mfano:
Baada ya zile njama za freemasons kutoa sadaka ya damu kwa kuua halaiki ya watu huko WTC kwa kigezo cha kuchafua uislamu ikapelekea waislamu waishi maisha magumu sana ya kunyanyapaliwa kuwa ni magaidi.

Lakini kwakuwa lila na fila havikai pamoja ilikuja julikana kuwa sio kweli then watu wakaanza kuwa na kiu ya kutaka kujua ni kwanini kila kitu kibaya waislamu tu ndo wanasingiziwa.

As the result watu wengi wameanza kusilimu since that event,
1-Naomba mfate hii link The Rise of Islam - Harun Yahya labda niainishe kwa faida ya wasomaji, paragraph ya kwanza inaeleza hivi American interest in Islam reached its pinnacle in the last quarter of 2001. The most important reason for this was the 9/11 attacks against the World Trade Center and the Pentagon. Several studies undertaken to determine the roots of terrorist ideology, as well as investigations of Islam, have enabled people to learn that Islam is a peaceful religion that enjoins tolerance, justice, mercy, and love. Islam has suddenly become a major topic of discussion all over the world. More and more world-renowned statesmen, political scientists, researchers, and thinkers consider it necessary to understand Islam correctly, and have given speeches underlining Islamic tolerance and willingness to reach agreement. Americans have approached Muslim organizations in order to find the most accurate information about Islam and Islamic history. As a result of this interest, the Middle East Media Research Institute reported that after 9/11, 34,000 Americans converted to Islam.

2- Pia cheki na hii Converting to Islam in the U.S. Following 9/11 , 34000 embraced Islam !, why they converted to Islam , moja ya sentensi ni CAIR chairman Nihad Awad told the Saudi paper 'Ukaz that "34,000 Americans have converted to Islam following the events of September 11, and this is the highest rate reached in the U.S. since Islam arrived there."(2)

3- Hii nayo ni bora uicheki Fall in number of Christians in Britain | Christian News on Christian Today heading yake ni Fall in number of Christians in Britain..

gt
Amani iwe nanyi...


nashukuru sana kaka kwa ushauri wako,nitaufanyia kazi inshaallah..pia ahsante kwa links ulizonipatia!
s,alaykum.....
 
Nimechoka baada ya kusoma uliyoyaandika. Labda nikupe ushauri badala ya kukujibu. Biblia si vipande vya maneno yaliyookotwa kila moja sehemu yake na kuunganishwa. Ukitaka kuelewa kusudi la habari basi isome yote. 1Wakorintho 15:15 si sahihi kusomwa kama ilivyo. Huu ni upotoshaji wa kimihadhara wa kusoma kipande cha mstari kinachokupendeza. Soma 1Kor 15 aya yote utapata maana.

Kuhusu Yesu kuwa Mungu:
1. Nikukumbushe kuwa Mungu hakumuumba Yesu. Yesu alikuwako kabla ya kuumbwa kwa ulimwengu: Yohana 1:3 , Wakolosai 1:15-17 Hizi mbili zitakuonesha kuwa Yesu alikuwapo kabla ya ulimwengu. Sasa kama alikuwapo, je alikuwa nani?

2. Soma pia Yohana 1:14-15 Yohana anasema Yesu alikuwapo kabla yake yeye (Yohana) akimaanisha mbinguni kabla ya kuumbwa kwa ulimwengu (ukumbuke kwa umri wa duniani, Yohana ni mkubwa kwa Yesu) Kama huyu NENO anayemzungumzia Yohana kuwa alifanyika mwili(kuwa binadamu) na kukaa kwetu alikuwepo kabla ya kuumbwa ulimwengu, hebu tafakari halafu uniambie alikuwa nani huko mbinguni.

3. Soma hapa uone Yesu yeye mwenyewe anasema kuwa yeye na baba ni UMOJA, Yohana 10:29-30 Na ukitaka kupata hii vizuri hebu soma kuanzia 29-39. Manake hapo utaona kuna wengine kama wewe ambao nao walimwambia Yesu amekufuru kujiita Mungu.

4. Naomba usome Warumi 9: 1-6 "1' Nasema kweli katika Kristo, sisemi uongo, dhamiri yangu ikinishuhudia katika Roho Mtakatifu, 2' ya kwamba nina huzuni nyingi na maumivu yasiyokoma moyoni mwangu. 3' kwa maana ningeweza kuomba mimi mwenyewe niharimishwe na kutengwa na Kristo kwa ajili ya ndugu zangu, jamaa zangu kwa jinsi ya mwili; 4' ambao ni Waisraeli wenye kule kufanywa wana, na ule utukufu, na maagano, na kupewa torati, na ibada ya Mungu, na ahadi zake, 5' ambao mababu ni wao, na katika hao alitoka kristo kwa jinsi ya mwili. Ndiye aliye juu ya mambo yote, Mungu, mwenye kuhimidiwa milele. Amina. 6' si kana kwamba neno la Mungu limetanguka. Maana hawawi wote Waisraeli, walio wa uzao wa Israeli" (Kristo ni Mungu mwenye kuhimidiwa milele)

5. "Maana kwa ajili yetu, mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume, na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, mfalme wa amani" Isaya 9:6

Najaribu tu kujibu baadhi ya hoja zako, maana sitamaliza zote kwa kuwa nikitazama naona nyingi zinatokana na wewe kusoma mstari mmoja ktk AYA ambapo ungesoma aya nzima ungepata maana ya muendelezo wa nini kumezungumzwa. Kuna hii hoja yako kuwa nilikusudia kupotosha maandiko:
quote_icon.png
By shizukan

Tazama kumbe nabii Isaya alitabiri kuzaliwa kwa Yesu na Bikira Isaya 7:14 na Jina la Imanueli maana yake ni MUNGU na WANADAMU (kumbe unapata kuona ni mpango wa Mungu Yesu kuwa mwanadamu)
Sikupotosha jambo lolote. Nilipoandika juu ya maana ya jina la Immanueli sikusema kuwa maana hiyo imeandikwa kwenye aya niliyotoa, nilikuwa tu nakusaidia kujua maana ya jina IMMANUEL (unaweza pia ukatafuta ktk vyanzo vyovyote unavyoweza kupata maana ya majina, basi na jina la emmanuel utalikuta) Lakini ikiwa unaiamini Biblia, soma Mathayo 1: 23 "Tazama bikira atachukua mimba, naye atazaa mwana; Nao watamwita jina lake Imanueli; Yaani Mungu pamoja nasi"
Zingatia hili;
Yaani Mungu = kwa asili yake
Na sisi = kwa kuzaliwa kwake kama mwanadamu

Ndugu yangu Mpiga Kura, mimi siamini Koran. Kwa hiyo vifungu vyovyote vyenye kutokea kwenye Koran sivisadiki na ni nje ya imani yangu.
 
@shizukan

Japo mimi sipendi mjadala inayohoji imani za wengine kama ufanyavyo wewe kuhusu mahakama ya kadhi na hukumu za dini yetu kwa mujibu wa tunavyoamini lakini issues zifuatazo zina ufanya ukristo kuwa irrelavant religion kwa watu wenye kufikiri na akili ya kupambanua mambo kwa yakini:- Kwanza kwa imani yetu sisi waislam- Muumba wa Ulimwengu ni moja na kwa hivyo kutakuwa na dini moja tu ambayo ni sahihi; dini hiyo ndio dini aliyohubiri Adam, Nuhu, Ibrahim, Mussa, Yakobo, Isahaka, Ismaiel, Ayubu, Yesu (Isa) etc... na hatimaye Muhammad was the last katika katika watu wanaume waliotumwa na huyo Muumba from time to time..

a. Je ukristo unaamini katika mitume wote hao kwamba walitumwa na Muumba moja kuhubiri dini moja? na dini hiyo inaitwaje?

b. Maelezo ya Trinity haya make sense kwa mtu mwenye akili hata kidogo; kwani unaposema kwamba kuna wakati mungu alitaka alikuja duniani akaigia tumboni mwa mwanamke akatoka, akahubiri wakamkataa; akasulibiwa; akafa; akafufuka akapaa..the whole issue it does not make sense..(Mungu hahitaji kufanya hayo yote kwasababu unless una wasiwasi na uwezo wa kufanya jambo lolote hadi ajibadilishe badilishe na hiyo ni kufanya association)

c. Issue ya dhambi ya Asili ni irrelevant kwasababu mtoto mdogo hatakiwa kuna na dhambi;

d. Issue ya kwamba yesu alikufa kwa dhambi zenu; ni irrelavant kwasababu hakuna maelezo ya kiakili yanayokubali kuwa kuna mtu atakufa ili afute dhambi zako NONE..

Kama hutajali naomba maelezo..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom