Nasema hivi TUTAFIKA!!! Kama una upeo mdogo wa elimu ya biashara nakushauri ukasome UDSM, IFM au Mzumbe utajua kwanini nasema kuwa MOU ni pesa zinaenda makanisani. Kuna msemo mmoja unasema Never argue with a fool because people may not notice the difference. Unakufaa sana wewe msemo huo.
I had never been called a fool before, especially by someone of higher rank on the same field. Thanks for the compliments! I feel honoured. Sasa turudi kwenye hoja na naamini huku ndio kutatuamilia kati ya sisi foolish wawili nani mwalimu wa mwenzake.
Mimi binafsi namini unaishi kwa ushabiki bila hata kujua undani wa madai yako. Nakwambia kuwa, hata ukipata hiyo mahakama sio mwisho wa migogoro. Nasema hivyo kwa sababu, najua madhaifu ya hizo mahakama na ndio maana mnataka ipate nguvu ya kisheria ili yale mtakayoyaamua yalazimishwe kwa nguvu ya serikali kufanyika hata kama si sahihi. Kwa nini nasema si sahihi:
Sura 4:11-12 and
4:176 state the Qur'anic inheritance law. When a man dies, and is leaving behind three daughters, his two parents and his wife, they will receive the respective shares of
2/3 for the 3 daughters together,
1/3 for the parents together
[both according to verse 4:11] and
1/8 for the wife
[4:12] which adds up to more than the available estate.
Sasa chukua mfano tunaigawa Sh 100 kwa maelekezo ya Allah kwa uwiano wa :-
Mke 1/8 ya 100 ni 12.5
Wazazi 1/3 ya 100 ni 33.3
Mabinti 2/3 ya 100 ni 66.7 Ukizijumlisha hizi dividents zao utapata 112.5 ambayo tayari imeshazidi. Je huyu kadhi ambaye mnatuambia atagawa kwa muongozo wa Quran ana lipi la kuamua hapa kama si kupendelea upande mmoja.
Tazama na hii nyingine:
A man leaves only his mother, his wife and two sisters, then they receive 1/3 [mother, 4:11], 1/4 [wife, 4:12] and 2/3 [the two sisters, 4:176],
which again adds up to 15/12 of the available property.
Nilisema tangu mwanzo kuwa, lengo la wajanja wachache hapa ni kutaka kumkandamiza mwanamke. Mke wa marehemu anapata 1/4 lkn mama wa marehemu anapata 1/3, kweli inaingia akilini? Hapa unataka kumaliza mizozo au kuanzisha mafundo mioyoni mwa wanawake? Labda ni kwa kutojua hesabu ndio tunaweza tukaona hiki ni kitu kizuri, ngoja nikupe darasa la hesabu kidogo. Ukitaka kujua nani anapata zaidi hapa, twende hivi: Tuanze na ya mke, na tufanye tunaigawa Shilingi 100. Mkwe anapata 1/4. Sasa chukua (100 x 1) gawanya kwa 4 = 25. Halafu twende kwa Mama Mkwe wake 1/3. Chukua (100 x 1) gawanya kwa 3 = 33.3r.
Sasa mr. mwerevu, Bi Halima ambaye amefanya kazi ya kuajiriwa kwa miaka 12, kufiwa na mumewe ambaye yeye alikuwa kazi yake ni kwenda msikitini na kucheza bao na wazee wenzake kweli kumfanye apewe kidogo zaidi ya mama mkwe wake?
Kabla hujanishauri kwenda IFM kusoma biashara, kaa chini na wenzio mfanye hesabu ili muiboreshe quran kwanza kwani yaonekana mtunzi wake alijua mambo mengi kasoro hesabu.
Na kwa kukudhihirishia hili, soma
Quran, Sura 7:54, 10:3, 11:7 na
Sura 25:59 utaona zoote zinatamka wazi kuwa Allah aliumba mbingu na nchi kwa
siku 6. Lakini ruka uende
Sura 41:9-12 hapo utakubaliana na mimi kuwa ukijumlisha zile activities za Allah siku kwa siku utagundua kuwa ni
siku 8 na sio 6.
Niirejee kauli yako ya lugha ya kigeni:
Never argue with a fool because people may not notice the difference, nafikiri mpaka hapa PEOPLE watakuwa wameshaelewa who the fool is; me, you or the other one who can not do simple arithmetics.
Kama una hoja weka ubaoni tujadili, kama nimekosea aya, badili weka ya kweli. Kama nimeandika sahihi kama zilivyo kwenye Quran,
TAFAKARI, CHUKUA HATUA.