Ndoa na Mirathi: Nafasi ya Mahakama ya Kadhi kwa Wanawake

Ndoa na Mirathi: Nafasi ya Mahakama ya Kadhi kwa Wanawake

Status
Not open for further replies.
ungeliiweka hoja yako vizuri basi tungelikujibu vizuri but ukiiweka katika mipasho inakuwa ngumu sana kupata jibu murua
.

Hii mada ina mwanzo mrefu huenda ndio maana ukaona ina mipasho

Kwanza nianze kujibu hoja kwa kukuomba ujue kuwa katika quran na fiqhi kuna kauli za uislamu na vile vile waislamu. Ukishaweza kutofautisha baina ya uislamu na waislamu ndio utaweza kujua kuwa uislamu haya yote unayobeza yana walakini. This is similar to dini zengine mfano ukristo kuna wakristo na ukristo ni vitu viwli vina mtazamo tofauti. Ukiwa unayazungumza haya kwa kuyatofautisha nafikiri utaweza kufahamu umuhimu wa mahakama ya kadhi.

Hii nimeshaizunguzia huko awali na haijaondoa hoja ya mahakama ya kadhi.

Tukirudi katika nafasi ya mwanamke uislamu umempa mwanamke nafasi kubwa sana mfano, usulul fiqhi inasema mwanamke hawezi kuolewa bila ya ridhaa yake. Na zipo hadithi mtume saw alikuwa akiwaambia maswahaba kuwa umeshapata ridhaa ya mwanao wa kike ndipo ndoa inafungwa. Mfano mwengine, mtume saw alikuwa anasema tumuangalie mama kwa jicho la huruma zaidi mara tatu ya baba yetu. Zaidi tukisoma tunaona kuwa mtoto wa kike akiachwa na mumewe basi anatakiwa kurudi atizamwe kama alivyokuwa mwari na wazazi wake na ikiwa wazazi wameshafariki basi mtoto wa kiume ndani ya familia jukumu linahamia kwake au wajomba na baba zake wadogo au wakubwa. Vile vile uislamu umemtukuza mwanamke kwa kumpa heshima yake kwa kuweka utaratibu wa mwanamke asiwe anatembea mtupu kama alivyozaliwa au akiwa hajavaa mavazi ya heshima. Mwisho kabisa uislamu umemtukuza mwanamke kwa kumshushia sura ya kwake peke yake nayo ni suratul mariam ambapo sura nzima alisifiwa mwanamke huyu kwa uchamungu wake na mmungu akituamrisha tumfuate.

Kumbe mbona tuko pamoja kwenye hili maana halina ubishi. Tatizo hii heshima kuna wanaoishusha kwa vitendo vyao

Now the issue ya mahakama ya kadhi ni utekelezaji wa sharia za kiislamu chini ya quran tukufu na sunna za mtume muhammad saw. Sheria ambazo waislamu tunazifuata naturaly kwani isingelikuwa hivyo basi tusingelijenga msikiti hata mmoja nchini. Likewise, sheria za kiislamu zimeundwa ili ziwahusu watu maalum ambao ni waislamu ambao waislamu hao wanafuata utaratibu fulani wa maisha. Sasa nini neno sheria kitaalamu ni taratibu zilizowekwa na watu wa jumuiya fulani kuweka na kudumisha amani na utulivu. Vile vile sheria zimewekwa tuwe watu wastaarabu. Bila ya sheria wanaadamu wangelikuwa wanyama fulani. Sasa mahakama ya kadhi ni moja ya vyanzo vya sheria na jamaa ya watanzania kubwa (according to cia muslims are the majority in tanzania with an estimated % of 36). Lakini inasikitisha juu ya wingi wao wamekosa mahakama yenye kuweza kutatua na kutekeleza mahitaji yao ya kisheria hasa katika mirathi na ndoa. Worse of them all waislamu ni walipaji kodi wa serikali yetu hii lakini wanakuwa hawapati huduma ya kisheria of which they are paying it for. Otherwise muwaambie hamuitaji kodi za waislamu.

NAAM!

Now coming to your point kuhusu waislamu i absolutely agree with what you are saying. But vile vile naelewa mantiki ya logic ya quran kuruhusu kwa mwanaume kuoa mke zaidi ya mmoja ikiwa ni mtu muadilifu. Cases nyingi zimetokea wanawake kukimbia ndoa zao kisa wanashindwa kutimiza wajibu wao kama wake. Vile vile wanawake wengi wamekuwa ni watu tasa kwa bahati mbaya. Worse enough kuna aina za wanawake wengine wana matatizo ya kisaikolojia na tendo la ndoa huwafanya walichukie either kutokana na mila zetu potofu au nini? Sasa cases kama hizi shows mantiki ya kuoa mke zaidi ya mmoja. Kwani kama ni mtu muadilifu basi kwa uhakika atatimiza wajibu wake kote. Je kuna ubaya gani katika hilo???

NAAM!



Kuhusu matendo ya waislamu infidelity iko hata kwa wakristo tena sana. Mie niko safari huku niliko na mkristo mmoja anavamia hadi wachina, wafilipino, wazungu wakati ni mtu baba na watoto sita. Mzee huyu anaheshima zake lakini anamsaliti mkewe wa ndoa. Namshukuru mungu sijawahi kumsaliti mke wangu tangu nimuoe na wakati mwengine huwa niko nje ya nchi miezi 6 hadi 9. Je what do you explain about that? Narudia tena jua kutofautisha baina ya waislamu na uislamu.

TABIA HAINA DAWA

Auf bidahsein nilikuwapo!!!!!

tuko pamoja
 
Jibu linabaki lile lile kuwa huwezi kulinganisha hukumu za kihaya na kiislam??

a. Uislamu hauna kabila ni dini ya kabila zote na rangi zote
b. unaweka assumptions (wakiomba) kwa hiyo hiyo line of thinking siyo sawa) ..hawajaomba pengine hawataomba hadi milele kwasababu ni codified rules, no followers unlike ISLAM.
c. uislam ni dhambi kutohukuhukumiwa kwa mujibu wa Qur'an sidhani kama ni dhambi kutokuhukumiwa kihaya??

We intelekcho kama unaona sheria za mirathi za kihaya si zakulinganisha na za kiislamu inakuwaje wewe unalinganisha MoU na mahaka ya kadhi?
 
Jamani hii mada ilikuwa inaenda vizuri tu. Na inalengo la kuonesha kuwa Uwepo wa mahakama za kadhi kutanufaisha wanawake wa kiislam. Tujaribu kurudi kwenye hoja kama tunaweza. Wengine tunajifunza hapa na hasa kutoka kwa mwamke wa Kiislam ambaye hazungumzi kwa ajili ya kushindana kati ya Waislam vs Wakristu. Tumezoeamara nyingi kuchangia hoja kwa minajili ya dini zetu. Hatutaki hata kuangalia yule mtu wa dini nyingine anauliza nini au abasema nini. Sote tunajua wapo watu hapa ambao hawawezi kujadiliana bila mashindano, kejeli au vijembe. Tuwaepuke.

Hapa hakuna robot. Wote tuna mawazo na huwezi kutupeleka wewe kwa maswali ambayo yapo invalid, rejea juu huko.

Mahakama ya kadhi si ya kumsaidia mwanamke wa Kiislaam pekee, ni kwa jamii nzima, iwe mwanamke, mwanamme, mtoto, kijana, mzee na hata wasio Waislaam watafaidika nayo kwa namna nyingi sana.

Tunataka Kadhi atambulike rasmi, tulikuwa nae lakini Nyerere ndiye alimuondoa.
 
Aaaghrrrr tumechoka jamani, wapeni hiyo mahakama lakini nasisi wabarabaigi tuna mahakama zetu za kijadi tunaomba tupewe na sisi ni muhimu kwetu maana hii ndio dini yetu hatuna uislam wala ukristo

Nadhani unashindwa kuelewa kuwa Uislaam ni "Universal" na haijalishi kama ni Mbarbaig au Mturkana.
 
mfano marehemu ana madeni binafsi ambayo sio ya kampuni. je ni jukumu la kadhi kuhakikisha yale madeni yanalipwa halafu kinachobaki ndio wanagawana watoto wa marehemu au watoto watoto wanarithishwa madeni?

je mtu akifa halafu hamna mali ya kurithi, lakini jamaa anadaiwa je watoto watalazimishwa na kadhi kurithi madeni ya baba yao?
shukran

Kiislaam, hata gharama za maziko ya Marehemu yanatakiwa yafanywe na mali zake alizoacha (kama kaacha), kumbuka gharama za maziko ya Kiislaam ni ndogo sana na hakuna kuchapisha ma t shirt wala kuvaa sare. Ni sanda yake, na gharama ndogo ndogo za kuchimba kaburi, kufikisha mwili na kuuzika. Zingine zote ni ziada na hazina mpango Kiislaam.

Baada ya gharama za maziko, mali yake (Marehemu) ilipe madeni yake kwanza, itayobaki ndio wagawane warithi kwa mujibu wa sharia, ipo wazi kabisa kwenye Qur'an na kama huielewi unauliza wanayoielewa.

Warithi wanarithi alichoacha marehemu kama ni mali au madeni "accordingly".

Isitoshe, si ruhusa Muislaam kusema "sitaki urithi gawaneni nyie" hiyo hakuna, inachotakiwa mgawane urithi na ukishapewa fungu lako kama ni mali au madeni ndio ama uyagawe ama uyapokee baada ya kukabidhiwa, unachogawa hapo kinakuwa ni chako na si cha marehemu.
 
alietia aibu kuliko wote alikuwa Mwakyembe.....kwa mwalimu wa sheria kuongea utumbo aliongea ilikuwa aibu sana

alizungumza kama muwakilishi wa makanisa na sio mtaalamu wa sheria wa kuaminika.......sikutegemea kabisa
nilikuwa namheshimu mno Mwakyembe until siku hiyo......

Wakuu mbona mnaongea kama "mmetumwa?" Unaposema kwamba "alichoongea" kama mwakilishi wa Makanisa bila kukitaja alichosema unataka tukuelewe au unataka kujifurahisha mwenyewe? Khaaaaa! Halafu wewe ulitegemea Jambo la "Kidini" liongelewe "Kisheria?" Mambo ya "Ibada ya Waislamu" unategemea yangeongelewa vipi? Wewe endelea kumheshimu Mwakyembe anapozungumzia mambo ya kisheria, then ukimpeleka kuongelea mambo ya kidini usimlazimishe azungumzie Sheria!
 
Kiislaam, hata gharama za maziko ya Marehemu yanatakiwa yafanywe na mali zake alizoacha (kama kaacha), kumbuka gharama za maziko ya Kiislaam ni ndogo sana na hakuna kuchapisha ma t shirt wala kuvaa sare. Ni sanda yake, na gharama ndogo ndogo za kuchimba kaburi, kufikisha mwili na kuuzika. Zingine zote ni ziada na hazina mpango Kiislaam.

Baada ya gharama za maziko, mali yake (Marehemu) ilipe madeni yake kwanza, itayobaki ndio wagawane warithi kwa mujibu wa sharia, ipo wazi kabisa kwenye Qur'an na kama huielewi unauliza wanayoielewa.

Warithi wanarithi alichoacha marehemu kama ni mali au madeni "accordingly".

Isitoshe, si ruhusa Muislaam kusema "sitaki urithi gawaneni nyie" hiyo hakuna, inachotakiwa mgawane urithi na ukishapewa fungu lako kama ni mali au madeni ndio ama uyagawe ama uyapokee baada ya kukabidhiwa, unachogawa hapo kinakuwa ni chako na si cha marehemu.

Huu utaratibu mbona ndio unafuatwa hata na makabila?

Serikali nayo inasimamia utaratibu huu wa mirathi.Ndio maana utaratibu unaitwa "administration of deceased estate" - MADENI kulipa, na kugawana kilichobaki kufuatana na mila, sheria na dini.
Mnachogombea cha ajabu hasa ni nini?
 
Britain has 85 Islamic Courts: Soma hapa Itatupa mwanga zimeanzishwa na nani na zinafanyaje kazi na zinawasaidia vipi wanawake wa Kiislamu na watu wengine ambao si Waislamu ambao wanatakiwa kunufaika nazo.
 
Wakuu mbona mnaongea kama "mmetumwa?" Unaposema kwamba "alichoongea" kama mwakilishi wa Makanisa bila kukitaja alichosema unataka tukuelewe au unataka kujifurahisha mwenyewe? Khaaaaa! Halafu wewe ulitegemea Jambo la "Kidini" liongelewe "Kisheria?" Mambo ya "Ibada ya Waislamu" unategemea yangeongelewa vipi? Wewe endelea kumheshimu Mwakyembe anapozungumzia mambo ya kisheria, then ukimpeleka kuongelea mambo ya kidini usimlazimishe azungumzie Sheria!

wewe utajitia aibu kabisa kutetea utumbo
Mwakyembe 'amezungumza bungeni'
je bunge ni mahali pa ibada?au sheria?
yeye akiwa kama mwanasheria alikuwa na wajibu wa kuwasaidia wenzie wasiojua sheria
suala la mahakama ya kadhi kisheria lipelekwe vipi....
mbona Kenya ambako mostly ni wakristo waliweza kujadili kisheria na kufikia muafaka?
 
Mbona ueleweki unataka kusema nn!!!mara zitto mara mudhiri...!!tulia utupe habari
- People hivi karibuni nilipata bahati ya kuongea na Kiongozi mmoja Mkuu sana wa Serikali ya sasa. Tulikuwa tunajadili ishu ya Mahakama ya Kadhi.

- Mkuu akanielezea jinsi maajabu makubwa yaliyotokea Bungeni ishu ilpolepelekwa, I mean for the first time Wabunge wakawa hawana Vyama na very emotional anasema upande mmoja kulikuwa na Missanga na Mundhihir na the CUFs na huku kuna Mwakyembe na wengine!

- Anasema ilikuwa ni Mh. Zitto bila kujali Dini yake, aliyeokoa jahazi, kwa kweli kwa hilo Mungu akuzidishie sana Mheshimiwa na you have my respect.

MUNGU AIBARIKI TANZANIA!

Le Baharia William @..New York City, USA
 
- Anasema ilikuwa ni Mh. Zitto bila kujali Dini yake, aliyeokoa jahazi, kwa kweli kwa hilo Mungu akuzidishie sana Mheshimiwa na you have my respect.
Le Baharia William @..New York City, USA

What's the point behind....

Enhe Zitto aliokoaje jahazi...dont leave your post hanging, fill it.
 
Aliokoa jahazi kwa sababu ilikuwa ni ishu ambayo ingetugawa taifa kwa misingi isiyofaa na kutuvurugia amani, Umoja, na Mshikamano wetu wa Taifa tulioachiwa na Mwalimu, Baba wa Taifa letu Mungu amsitiri.

- So Mheshimiwa Zitto, anastahili our respect yaani Taifa na hasa sisi Wananchi na I hope Historia ya Taifa hili itamhukumu fairly on his heroic act, but he has My outmost RESPECT! - Le Baharia Mutuz!

Mimi binafsi sikuelewi una maana gani au umetumwa kufanya kampeni,kama sivyo basi weka minofu tutafune wenye meno alaaaaaaaa.
 
wewe utajitia aibu kabisa kutetea utumbo
Mwakyembe 'amezungumza bungeni'
je bunge ni mahali pa ibada?au sheria?
yeye akiwa kama mwanasheria alikuwa na wajibu wa kuwasaidia wenzie wasiojua sheria
suala la mahakama ya kadhi kisheria lipelekwe vipi....
mbona Kenya ambako mostly ni wakristo waliweza kujadili kisheria na kufikia muafaka?

Bunge ni mahali pa kutunga Sheria, lakini linataka kugeuzwa mahali pa Ibada! Hili suala lingeweza kuzungumzwa Msikitini lingeeleweka zaidi, kwa kuwa ni Ibada ya Waislamu! Kwani Muhammad aliagiza kwamba Mahakama zenu ziendeshwe na kugharamiwa na Serikali? Mbona mambo ya Hija hayaletwi Bungeni yakajadiliw? Sijajua masuala ya Kenya yanaingiaje hapa Tanzania, kila watu na mambo yao, kama ilivyo kwa Uingereza na Marekani walivyoamua kukumbatia "ukameruni!"
 
Thanks Mwakaboko kwa ufafanuzi zaidi, mimi sikuiona Bungeni lakini kwa haya niliyoyasikia pamoja na kukusoma hapo kwa kweli Mheshimiwa Zitto anastahili heshima ya taifa.
Unaikuza mno, heshima ya taifa for what? acheni hizi za dezo jamani,tuwe serious kuliko kutoa awards tu bila mpangilio, unataka kusema haya mawazo ni mara ya kwanza kutolewa?
 
Sielewi hata moja, naona mwabishana tuuuu! Kwani hii mahakama ina umuhimu gani kwa taifa hili mpk kila kukicha tuijadili weee kuliko wenyewe wanavyoijadili msikitini?

Tena cha kushangaza waislamu wa hapa mtaani kwetu hawana hata habari ya uwepo wa ishu yenyewe na wanaiongelea kama ni jambo la watu fulani lisilowahusu. Haya, kesho ndio kesho. Kama kuna mwanaume na aandamane wkt Alhaji Kova kasema NO
 
Swadakta ni fardhi kuwa na mawazo na fikra tofauti lakini yote yakiwa na lengo la kujenga na si vinginevyo..

Swala la MoU linajirudia kwakuwa wenzetu (wakristo) na hata msimamo wa serikali kwa sasa unasema waislamu waanzishe wenyewe kisa wanaogopa "financing scheme and its legality" MoU ni precedent tosha kwamba serikali inaweza kufinance shughuli za kidini..ok

Sasa wewe tueleze how can mahakama ya kadhi become legal and how will it be financed??

Besides we have moral authority kudai serikali i finance mahakama ya kadhi kwasababu kazi ya hakimu wa kadhi courts ingefanywa na hakimu wa serikali sasa unaone hii ni goverment responsibility kuna shida gani serikali i-kiestablish average cost per case na wakawapa kadhi courts funds according to the number of cases???

Pamoja na kwamba unamawazo tofauti lakini umeegemea upande wa adui ambaye Allah "alishasema hawatakuwa radhi na waislamu hadi tuache kufuata amri zake".

unashangaza sana wakati qurani imebainisha kwamba Adui wa waislamu ni Wayahudi..,, Na walio karibu kwa urafiki ni wale wasemao sisi ni Wakristo. Au, Allah kadanganya tukuamini wewe topical? kwamba Wakristo ni maadui wa waislamu! Haya qurani inasema Wakristo ni wapole na wenye huruma. Hadith inasema mtawafuata hao Wakristo Shibrin shibrin dhirin dhirin hata shimoni na shimo hilo lina ng'e! kwa sababu ni wabora. Sasa rafiki yako anakushauri wewe unamuona ni adui! Ukaafir huo!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom