Ndoa ndoano, nimepoteza kipato mke wangu kaanza kunidharau

Ndoa ndoano, nimepoteza kipato mke wangu kaanza kunidharau

Wakati una kipato chako heshima na utii huwa unaonekana, ukipoteza kipato ndio utajua mkeo ni gaidi kwa kiasi gani.

Inauma sana mke kukuona si lolote wala si chochote kisa tu huna mpunga.

Kuna wakati nilidharaulika na mke mpaka nikawa usingizi sipati ila yeye analala na usingizi wa ndoto kabisa anapata!
Nilitamani kutumia shoka kumpasua bahati mbaya nikalikosa! Nikataka kumwamwagia maji bahati mbaya nayo ndoo hazikuwa na maji !
Kulivyokucha ilibidi ni tafute Grosari nikanunua k vant nikawa naitumia kutwa nzima na usiku mzima, mpaka alivyoondoka mwenyewe kwa amani bila kujibiwa, kusemwa, wala kuguswa kwenye mwili wake.

Pole mleta mada ndio wakina mama wetu walivyo.
 
FILISIKA UJUE TABIA YA MKEO
Utakuwa umesoma kwenye fremu ya picha ya ukutani nyumbani kwangu, kwasasa mambo shwari mke wangu huifuta vumbi pamoja na picha nyingine sasa sijui huko mbele, msiondoke kwani nitarudi kuwasimulia litakalotokea.
 
Una ushahidi gani kama ndiye yeye? Nyie sasa hivi tunawachukulia kama Malaya tu ntomb.e nikale kmmmk.
Cheki hili gasho linataka kufi.rwa kwa nguvu...peleke miwasho huko[emoji57][emoji57][emoji57]
 
Asante sana, Yan skuiz najibishwa hovyo, naonekana sio mwanaume. Daaah

Kunamda nataman kumpasua nikaozee jela maana kujiua siwez
Badilisha mazingira nenda mbali ukatafute maisha
 
Wanawake wana urafiki na pesa ww wanakutumia tu kama msukule wa kuleta hela. Siku kama msukule ww huleti hela wanakutosa na masimango kibao.
 
Back
Top Bottom