Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Rafiki yako utamjuaje kama kila mtu cha kwanza analilia matunzo 😁😁😁Oa mwanamke ambae anaweza kuwa rafikyako atakuelewa wakat unapitia magumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rafiki yako utamjuaje kama kila mtu cha kwanza analilia matunzo 😁😁😁Oa mwanamke ambae anaweza kuwa rafikyako atakuelewa wakat unapitia magumu
Usmpasue man kwa uzoefu wangu mwanamke dizaini hio hakawilii kukulaza ndani😀Asante sana, Yan skuiz najibishwa hovyo, naonekana sio mwanaume. Daaah
Kunamda nataman kumpasua nikaozee jela maana kujiua siwez
Ukitulia unaandika vya maana sana😍Ndio mkomeee kutanguliza hela mbele afu nyie mnajibanza nyuma ya hela… sasa siku zikipukutika ndio mtajua rangi halisi..
Hela iwepo muhimu,, ila mji control kwenye kuifanya imvutie mtu. Maana siku ukitetereka ni hamna rangi utaacha ona.
Acha mtu akupende wewe na materials zako zingine sio pesa.
Hizo materials zinajumuisha wewe binafsi, mapenzi yako, urafiki wenu, sense of humor and the like.
Kabisa mzee utamjuaje uyu wa kwel wakata anataka matunzo na kujaliwa.Rafiki yako utamjuaje kama kila mtu cha kwanza analilia matunzo 😁😁😁
Haaaaa kwahiyo akatumbuliwa mara mbili ? Yerewiiiii!Miaka ya sabini kuna mkuu wa mkoa fulani alitumbuliwa na Rais, kilichofuatia ni mwanamke kumtumbua mume wake.
Vijana wasikuizi Mapepe wanatabia ya kuwapa pesa wachumba kila wanapo ombwa sasa wakija kuwaoa pesa zikikimbia ndiyo wanakuja kujuwa wapo na tabia za wake walio wala, kumbe tokea mwanzo wa uchumba wao wangekuwa wagumu kwenye kutoa pesa wala wasinge pata shida kwenye ndoa maana huyu mke wake angekuwa ananyimwa pesa kipindi wapo kwenye uchumba wala asingeweza kukubali kuolewa na jamaa angenusurika kuoa mke kimeo.Mie nimefeel uchungu wa mtoa mada [emoji23][emoji23][emoji23]
Mtoa mada kuna comment kasema wife kamjibu mbovu kisa apechalolo.. na mm si ndio nimesema ‘wakome kutanguliza hela? [emoji848] [emoji3166]
Umewataja hao samaki na mimi naanza kweli kufeel uchungu [emoji12][emoji12]
Utamjua kwenye kumnyima pesaRafiki yako utamjuaje kama kila mtu cha kwanza analilia matunzo [emoji16][emoji16][emoji16]
Usimpe kwanza umuone uvumilivu wake japo na nyie mnatakaga mpewe kwanza ndo shida inapoanzia. [emoji23]Rafiki yako utamjuaje kama kila mtu cha kwanza analilia matunzo [emoji16][emoji16][emoji16]
Mhm mnaongea kirahisi lakini uhalisia wa mambo ni kwamba mkono mtupu haulambwi na mbususu bila hela utaishia sikia jf🤣🤣🤣Ndio mkomeee kutanguliza hela mbele afu nyie mnajibanza nyuma ya hela… sasa siku zikipukutika ndio mtajua rangi halisi..
Hela iwepo muhimu,, ila mji control kwenye kuifanya imvutie mtu. Maana siku ukitetereka ni hamna rangi utaacha ona.
Acha mtu akupende wewe na materials zako zingine sio pesa.
Hizo materials zinajumuisha wewe binafsi, mapenzi yako, urafiki wenu, sense of humor and the like.
mwanamke unatongoza kabla jua halijazama anomba support ya kodi, vocha, birthday, luku yani kama alikuwa anakusubiria vile 😂Usimpe kwanza umuone uvumilivu wake japo na nyie mnatakaga mpewe kwanza ndo shida inapoanzia. [emoji23]
Day 1 anataka umlipie hadi madeni ya vikoba 🤣🤣mwanamke unatongoza kabla jua halijazama anomba support ya kodi, vocha, birthday, luku yani kama alikuwa anakusubiria vile 😂
Kimbia hapo hapafai.mwanamke unatongoza kabla jua halijazama anomba support ya kodi, vocha, birthday, luku yani kama alikuwa anakusubiria vile 😂
Hatari sana kmmk hivi viumbe.Day 1 anataka umlipie hadi madeni ya vikoba 🤣🤣
ndio unapata na nguvu ya kuomba mzigo sikuhio hioHatari sana kmmk hivi viumbe.
Demu wa hivyo nitatomb.a kama ninavyotomb.a malaya tu.ndio unapata na nguvu ya kuomba mzigo sikuhio hio