Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Kama ulikuwa na michepuko ndio pa kuwapigia wakusaidie hela za matumizi.
Maana wanaume wengine wakiwa na hela huwa hawashikiki kwa michepuko, wanajifanya wao ni kina chimwaga a.k.a tupatupa [emoji108][emoji108]
Ni mwendo wa kula bata na kuhonga michepuko na kuiweka mjini!
Haya sasa wapigie wapate kukusitiri kwenye mtihani unaopitia.
Maana wanaume wengine wakiwa na hela huwa hawashikiki kwa michepuko, wanajifanya wao ni kina chimwaga a.k.a tupatupa [emoji108][emoji108]
Ni mwendo wa kula bata na kuhonga michepuko na kuiweka mjini!
Haya sasa wapigie wapate kukusitiri kwenye mtihani unaopitia.