Kasema pesa sio kipaumbele. Ina mana hata akikukuta unajitafuta kwake sio issue sana. Kuna wale wanawake kama huna hela ya kueleweka nae hatokaa akuelewe mana katanguliza pesa mbele kabla ya yote.Et exactly , ukae na asie na pesa utakula mawe ? Mnaongopea vijana wadogo.
Kama ni kujitafuta ,ujitafute na kujipata haraka sana kinyume na apo ni kilio na kusaga meno.Kasema pesa sio kipaumbele. Ina mana hata akikukuta unajitafuta kwake sio issue sana. Kuna wale wanawake kama huna hela ya kueleweka nae hatokaa akuelewe mana katanguliza pesa mbele kabla ya yote.
😁😁😁😁Kama ni kujitafuta ,ujitafute na kujipata haraka sana kinyume na apo ni kilio na kusaga meno.
Mwanamke anayekaa kwao ila amezaa na mwanamme, mwanamme anataka waishi wote walee mtoto wao na yupo tiyari kupeleka mahari ila mwanamke anagoma kisa anataka afanyiwe sherehe ya harusi. Hiyo scenario unaonaje?Ndoa ni mume na mke wanaoishi pamoja.
Hiyo dhana na maana uliyonayo akilini haipo kwangu
Mwanamke anayekaa kwao ila amezaa na mwanamme, mwanamme anataka waishi wote walee mtoto wao ila mwanamke anagoma kisa anataka afanyiwe sherehe ya harusi. Hiyo scenario unaonaje?
Naunga mkono hoja...
Naona usiku umepewa mbususu vizuri ukaamka na mhemko wa kuoa. Ndoa ipi unamaanisha, yale makaratasi, sherehe au gauni na suti?
Wewe unavyotafsiri ndoa ni tofauti na wadada wa siku hizi wanavyoichukulia. Wao wanadhani ndoa ni kufanya sherehe na kupewa cheti. Na wakishanfanya hayo hamu ya ndoa inakuwa imeisha na muda wowote wako tiyari kuachika.Huyo ni mjinga aliyeathiriwa na mila potofu.
Pia Mwanamke anayekupenda hawezi kuwaza mambo hayo sijui ya harusi sijui mahari ati ndio ukaishi naye. Mwanamke anayekupenda atafanya chochote kwaajili yako.
Ikiwa unaweza kufanya chochote kwaajili ya mkeo au mkeo anaweza kufanya chochote kwaajili yako hiyo ndio huitwa NDOA
Kwahiyo unataka kusema kwamba kuishi na mwanamke bila ya kufunga nae ndoa ya mashehe na mapadri ila tu unaishi nae kinyumba mmezaa watoto na watoto wanafurahia uwepo wenu pamoja na wazazi wa mwanamke wanafahamu kwamba unaishi nae.
Ni ndoa tayari hiyo?
Wewe unavyotafsiri ndoa ni tofauti na wadada wa siku hizi wanavyoichukulia. Wao wanadhani ndoa ni kufanya sherehe na kupewa cheti. Na wakishanfanya hayo hamu ya ndoa inakuwa imeisha na muda wowote wako tiyari kuachika.
Vijana siyo kwamba hawataki ndoa, sema tafsiri ya ndoa wameipotosha.
Kuhani kutoka hekalu jeusi.
Ndoa ni nini?
Mungu aliuma mtu mme na mtu mke kutoka katika ubavu wa mtu mme, na hao wawili wakawa mwili mmoja. miili yetu imeumbwa na tamaa ya kujamiiana, pia tunahitaji kuzaliana, ndio maana alisema enendeni mkazaliane mkaijaze nchi, kwasababu alitaka tuwepo kwenye ndoa. na akaweka sheria kwamba kufanya mapenzi nje ya mke wao ni dhambi (uzinzi au uasherati) na watu kama hao hawataurithi ufalme wa Mungu. ushauri wangu kwako, jitahidi uoe au uolewe, kwasababu kutakupunguzia na dhambi za zinaa. pamoja na kwamba hata walio kwenye ndoa wanafanya zinaa lakini walau ipo sehemu ya kwenda kupumzika kuliko kukosa kabisa. kuna watu wengine hawapendi kabisa kuzini, lakini ni kwasababu hawajaoa au kuolewa na miili yao inahitaji icho kitu. na pamoja na kwamba Roho Mtakatifu anawashuhudia kwamba hawatakiwi kuzini hata kabla hawajavua nguo, lakini hawawezi kushinda dhambi hiyo bila kuokoka, manake kuokoka ni kusafishwa na kupewa uwezo wa kushinda dhambi kwa Nguvu za Mungu.NDOA NI LAZIMA KWA WATU WANAOTAKA KUWA NA FAMILIA NA KIZAZI BORA, ILA KIZAZI CHA MBWA AU NYOKA NDOA SIO LAZIMA.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.
Kama hutaki kuzaa watoto na kuwafanya wawe watoto bora wenye malezi ya Baba na Mama. Basi kwako Ndoa sio lazima.
Ndoa sio ishu ya Sex pekee. Sex unaweza pata popote. Sex unaweza hata kulala na mnyama, au kununua midoli, kujichua au hata kununua Kahaba. Hizo zote ni Sex.
Lengo la Ndoa sio sex au ngono kama Watu wengi wenye upeo Mdogo wanavyofikiri. Ndio maana kwa wale ambao wapo ndoani watakubaliana na mimi kuwa tendo la ndoa linachukua asilimia 10% tuu ya maisha ya ndoa. Ingawaje ni moja ya nguzo muhimu katika ndoa.
Huwezi sema unakataa ndoa alafu muda huohuo unawatoto. Labda uwe mwehu. Mtoto anahitaji malezi ya Baba na Mama tena wanaoishi pamoja.
Baba pekee hana uwezo wa kumpa mtoto malezi Bora. Wala Mama pekee hana huo uwezo wa kumpa mtoto malezi Bora. Ila wote wawili nusu kwa nusu wanachangia malezi bora kwa watoto wao.
Mtoto kimwili anachukua vinasaba nusu kwa nusu kutoka kwa Baba na Mama.
Vivyohivyo kwenye ishu ya hisia, akili, na mambo ya kiroho.
Mtoto kukua pasipo malezi ya Wanandoa inampa nafasi kubwa ya kuwa kizazi cha mbwa au nyoka. Yaani anakuwa kama Mnyama fulani hivi.
Mtoto bila malezi ya Baba na Mama ni sawa na wananchi bila serikali. Yaani hapo muda wote ni fujo, uhalifu, vurugu, uasi, uovu, usalama unakuwa hafifu.
Ndoa, Baba na Mama ni serikali kwa ngazi ya familia. Sasa mtu anayekuambia Ndoa sio lazima alafu anataka watoto ujue kuna nati ya kichwa haijakaa vizuri.
Wewe kama Baba au Mama ambaye ni mtawala katika serikali yako ya familia ni wajibu wenu kuhangaika kujenga serikali yenu. Sio changamoto Kidogo unakimbia, unaacha familia bila utawala. Unategemea nini.
Hata Serikali inapopata changamoto inapambana nazo. Wakitokea waasi au vurugu unatafuta namna ya kuzima.
Sasa mwanamke au mwanaume umechagua mwenyewe, hakuna aliyekulazimisha kuoa au kuolewa. Hakuna aliyekulazimisha kuanzia familia na kuingia ndoani.
Umepata watoto badala upambane kujenga familia na kizazi bora unaleta mambo ya kitoto.
Kama mkeo au mumeo anakusumbua, itabidi upambane hivyohivyo kuweka mambo sawa mpaka watoto wakue, wawe Watu wazima ndio uvunje hiyo serikali yako.
Ni kweli umalaya, ubinafsi unaumiza sana ndani ya familia. Lakini ukishakuwa na watoto, elewa watoto ni muhimu kuliko hayo mambo yenu ya umalaya na ubinafsi.
Mnaweza kuendelea kuishi mkiwa mmetengana kwa maslahi ya watoto. Mkisubiri wakue angalau umri wa kujitambua yaani Watu wazima.
Miaka 20 sio mingi kihivyo.
Maelezo haya ni kwa wale waliokosa bahati na kujikuta wamekosea kuoa au kuolewa na Watu wasio sahihi.
Sio unazalisha au kuzalishwa kama Mbwa. Yaani kila mtu na Baba au Mama yake. Hiyo haijakaa sawa.
Ikiwa imetokea huna namna nyingine na mmetengana iwe kwa Kifo, au kutalakiana. Ni vizuri uoe au kuolewa ili watoto wawe ndani ya ndoa. Au kumpeleka mtoto kwenye familia ambayo iko na ndoa imara.
Iwe ni Bibi na Babu., Kakaako ambaye ameoa, yaani wanandoa.
Ínashauriwa, hata siku ukiona unataka kufa au unaona hauna uwezekano wa kutoboa kiafya, watoto wako ni muhimu kuwakabidhi kwa ndugu yako au rafiki yako ambaye unajua kabisa ndoa yake iko imara. Maadili na malezi kwa mtoto ni muhimu kuliko maisha mazuri.
Acha Nipumzike sasa
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Asilimia kubwa 70% ya ndoa unazoziona hawajafanya hizo harusi na wala hakuna hivyo vyeti.
Sijui kama unajua hilo
Kwahiyo hapa point ni nini? Tuowe Malaya expensive wauza kummer?Unaoa mwanamke ambaye ameshatumika, kuna watu wamemla bure miaka na miaka. Kwa kifupi ni malaya
Ulivyo mjinga unafanya na sherehe kabisa ya harusi ukumbini ukila, kunywa, ukicheza na kumtambulisha malaya kwa wazazi, ndugu, jamaa na marafiki uliowaalika ukumbini
Ulivyo mjinga kabla ya kuteketeza mamilioni ukumbini ulimlipia mahari kubwa na wazazi wake wakakukabidhi malaya? Kweli hii ni akili au matope?
Kabla ya harusi unamnunulia malaya wedding gown, viatu na gharama ya salon apendeze siku ya harusi. Wewe ni mwanamume mjinga
Unapanga mipango ya harusi na kuwachangisha wadau ili uoe mwanamke ambaye bado kuna watu wanamla free kabla ya ndoa na baada ya ndoa wataendelea kummega kisela
Kuna ile mibwege siku ya engagement inawavalisha pete wanawake used na kama haitoshi wanampigia magoti malaya na kusema "please with this ring my love I'm giving you my heart." Kweli malaya wa kumpigia magoti?
Kama umemkuta ameshatumika kwa nini upoteze mamilioni kwa ajili yake? Hebu wanaume tushtuke
Iko hivi nyie mliooa kwa gharama huyo mwanamke ulijisumbua na kupoteza pesa zako bure
Huyo mkeo ni malaya she's cheap ndio maana amelala na wanaume wengine bure au kwa gharama ndogo kabla yako na wahuni hawakutoa hayo mamilioni, tena wamemmega kwenye nyumba za wageni za kawaida sana
Wewe kwa ujinga na kiherehere chako eti umeenda kulipia honeymoon kwenye hotel kubwa. Una akili kweli?
If she slept with other men for free should be offered for free
Kuna tofauti kati ya harusi na ndoa, ndoa ni agano, harusi ndio hizo showoff za ukumbini ambazo si lazima kama uwezo hauruhusu.Mwanamke anayekaa kwao ila amezaa na mwanamme, mwanamme anataka waishi wote walee mtoto wao na yupo tiyari kupeleka mahari ila mwanamke anagoma kisa anataka afanyiwe sherehe ya harusi. Hiyo scenario unaonaje?
Haihitaji Baraka Za wazazi au za viongozi wa dini?Ndoa ni makubaliano ya mwanamke na mwanaume waishi kiunyumba kwa lengo la kuunda familia.
Wote CCM na CHADEMA wanataka madaraka kwa nguvuNi kweli kabisa kwa mada yako ingekuwa CCM wanaelewa ili wasingekuwa wanataka madaraka kwa nguvu.
Haihitaji Baraka Za wazazi au za viongozi wa dini?
Hao ni wanawake wa zamani, walikuwa wanajua umuhimu wa familia na wako tiyari kusettle.
Hawa wa sasa, wanataka sherehe na ndiyo maana wana mahusiano na wanaume zaidi ya 5 kwa wakati mmoja.