Ndoa ya 3 ya Dida yavunjika..

Kimsingi ni dida ndo alitapeliwa!

Heheheheh naona maruweruwe sasa is dida that worth labda?
Is she loaded maana kama ametapeliwa obvious lazima jamaa aliona mbali
Give me clue luv
 

Aiseeeee
Kumbee
 
Huyu bidada vipi tena?Shida yake anamsikiliza sana Bi Hindu mwenzake mshabiki wa Simba hana presha.
 
Dida atakuwa na majini mahaba a.k.a spirtual husbund. Akaombewe na wachungaji wa kilokole yupo mchungaji mzuri pale magomeni mapipa, anaitwa mchungaji dastan kanemba atamsaidia na atadumu na ndoa
 
hivi yule kijana anayehost kipindi na kidot pale tv one ndio alilioa hili kulumbembe? kama ndiyo yeye basi uchawi upo duniani.
 
hivi yule kijana anayehost kipindi na kidot pale tv one ndio alilioa hili kulumbembe? kama ndiyo yeye basi uchawi upo duniani.

Si unajua vijana wa siku hizi wanapenda kulelewa, we unaoa mwanamke halafu unaenda kukaa kwake. hapo nyumbani kwa dida wameshaishi waume wawili kama sikosei.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…