Ndoa ya 3 ya Dida yavunjika..

Ndoa ya 3 ya Dida yavunjika..

kama unasikilizaga kile kipindi chake cha taarabu basi ndio maneno yake akiwa chumbani haswa kwenye 6 kwa 6 ana mauzi flani hivi ya ndani kwa ndani anapenda kukusema vibaya hata kwa jambo dogo nilitembea nae siku moja but sikuinjoy kabisa nilikereka sana

yule ni kunguru asiyefugika maana dida mcharuko hasaaa na hao wanaomuoa wanajitahd ajirekebishe bwana
 
Smartapartments una lako jambo na wewe, kama mtu unajiamini huna michepuko kwann uweke password na lock za kufa mtu? Kama mtu hujawa tayari kuoa si ule maisha kwanza? Ukishaingia kwenye ndoa si mnakuwa mwili mmoja? Siri za nn tena?
 
Ila Edzen anaendana na Jokate ! Nasema tu kwa Mfano .....Anyway Another Ndoa Ndoano za Bongo acha Nikalime miye ...

naunga mkono hoja,nilijua tu hawatafika mbali,maana hawaendani ht kidogo
 
ooops hatari zaidi yaani haya mambo ya mapasiwedi haya mmh
 
Binamu punguza kuchambaa bana halaf niwekee picha ya dida nione alivyojichubuaaa

we acha tu wenzetu khanga moko washaonja joto la jua walijifanya wajuaje wakapigwa risasi za ------ maana ndo walikuwa wanayatingisha sana, sasa na sisi midomo yetu hii hakyanani siku utasikia warumi kalamba risasi za mdomo , maana siku iz nimekuwa nuksi
 
kama unasikilizaga kile kipindi chake cha taarabu basi ndio maneno yake akiwa chumbani haswa kwenye 6 kwa 6 ana mauzi flani hivi ya ndani kwa ndani anapenda kukusema vibaya hata kwa jambo dogo nilitembea nae siku moja but sikuinjoy kabisa nilikereka sana

Ushatafuna dida?
 
Aiseeee.... naomba niulize tu, data huwa unazinyaka wapi??? Maana ww ni mtata!
 
Binamu punguza kuchambaa bana halaf niwekee picha ya dida nione alivyojichubuaaa

ivi ulimsikiaga maimartha alivyosema mwezi huu wa ramadhan mkorogo utamkoma? halafu si nasikiaga anauza ma dildo yule
 
Mshahara kuingizwa siyo kosa cha msingi kabla ya kumtuhumu huyu mhusika je alizichukua hizo fedha zilizokuwa kwenye payroll?Kama alichukua basi ni mwizi na anastahili kushitakiwa na ni aibu kwa taifa hivyo Rais amuondoe mara moja kwenye hiyo nafasi baada ya kufanya uchunguzi kwa kuwasiliana na serikali ya Botswana,na wakati Uchunguzi unafanyika basi asimamishwe kazi kwa muda.Pili kama hakuwa na nia mbaya kwanini baada ya kukubali kazi nyingine asiwandikie barua waajiri wake kwamba hata endelea na kazi hapa inaonyesha kwamba alikuwa na nia ya kutenda kosa?Achunguzwe na hatufai anatia nchi doa na ameshavuruga credibility ya watanzania nchini Botswana.
hii quote inatokea wapi
 
Back
Top Bottom