Ndoa ya Ally Kiba shakani, Amina aomba talaka Mahakamani

Mawili hii ni chai na umeamua kutetea kambi au ni ukweli ila haujui kifuatacho ITV.

Ngoja nikupe kisa kimoja kifupi tu tena cha ukweli kabisa then utajiongeza kwa muda wako.

Kuna bibi m'moja huko marekani anaye ishi mwenyewe alikuwa akitunza Joka aina ya chatu kama Pet wake.

Alikuwa akililisha,na kukaa nalo tokea likiwa changa hadi limekuwa kubwa size ya kukomaa.

Lile joka lilishamzoea huyo bibi na alikuwa hata muda mwingine akilala linamfuata chumbani na kupanda kitandani na kulala nae tena kwa kujitandaza juu yake.

Mtoto wa huyu mama alishaonyesha kukwazwa sana na uwepo wa hilo joka hapo ndani na alishamuonya mama yake mara kadhaa na kumtaka akalikabidhi hilo joka kwenye taasisi za wanyama pori wakaendelee kulilea yeye atafute pet kama mbwa au paka. Ila yule mama alikuwa king'ang'anizi na kusisitiza kuwa hakuna tatizo kukaa na lile joka ndani mwake.

Siku moja usiku manane akiwa amelala na hilo joka lake alihisi kuongezeka kwa presha ya mbano mwilini akiwa usingizini na kuhisi kukatikiwa pumzi.

Ilibidi kuamka na kujikuta ameviringwa mwili mzima mithiri ya kuvikwa tairi na kuwekwa kati na yule Chatu huku akiendelea kumbana zaidi.

Kwa bahati alikuwa karibu na receiver ya simu akafanikiwa kupiga sim 911 na Kuongea na operator ambaye alituma gari ya Patrol [emoji600] na Ambulance [emoji603] wakaja kumuokoa na kumuwaisha hospital [emoji541].

Sasa lesson unaweza pata hapo. Sometimes they take their time to finish the job.

Sasa endelea kujidanganya........
 
Naona Amina alivumilia sana mpaka kaleta mtoto wa pili ila jamaa hakushtuka wala kurudisha majeshi kimoja

wale jamaa wa kuleta udini sijawaona hapa huwa wanatamba ndoa za dini ya Alli hazina mambo ya kupelekana mahakaman
Ni kweli si vema kupeleka ndoa mahakamani, sababu dini imekamilika, hata masuala ya kuachana kuna taratibu zake, kila kitu kina sheria mshikaji wangu.
Kuna situation ikifikia mwanamke ana haki ya kudai talaka.

Sasa ndoa kawafungisha sheikhe, kuachana mnaenda kwa jajimento, toka mara ya kwanza si mngefungia ndoa yenu mahakamani tu kwa viapo. 😂
 
1
 
😂 😂 Imebidi nicheke kwanza hii vomment yako, inaonekana haya mambo manka yanakukera mnoo eeeh!! Usimaindi saana vitu vidogo tu, ni mitizamo ya watu.
Nina shemeji(wa kike) yangu mchaga, hana tabu hata kidogo, namkubali kinyama, kipindi kirefu tu ndugu yangu mambo yamemgomea kiuchumi, yeye anafanya majukumu yote, kiasi mtu wa mbali kama hujui huwezi gundua shida za mwamba.
nina rafiki yangu mchaga, kipindi fulani nilikuwa na manzi wa kichaga, akinuliza ni wa wapi, kama machame nisithubutu kuoa hata kidogo. Una maoni gani juu ya hili...

Hii ni kasumba ya wabongo wengi kuchukulia sifa kuu za watu fulani kuwa wote, mfano kusema wahaya ni wapenda sifa, wanawake wa kihaya ni wauzaji saana. Waha wabishi, wazaramo kwa shughuli, warangi sio wachoyo kabisa, wanawake wa tanga na kusini(mtwara) ndio mafundi wa kwichi kwichi, wachaga ni magogo kwa bed na waroho wa mali... Wakurya watata n.k
Vitu ambavyo si kweli, ila ni wengi wao ndio huwa na tabia hiyo, unaweza kuta wachaga swaafi kwa bed mpaka ukashangaa, mkurya sio mkorofi, mhaya asiekuwa na majivuno wapo pia n.k n.k.
 
Haielekei kwamba huyo Amina ana shida na mali za Kiba kwa sababu angekuwa after Kiba's money (wealth), basi asingeenda kwenye Mahakama ya Kadhi bali angeenda kwenye secular court!
 
Dah..! Lakini huyu demu yeye hamchit kiba kweli!?
Huu wimbo kiba alimuimbia nani!?
 
vp mkuu wewe kabila lako ni malaika hamna matatizo na mtu
 
Umenikumbusha tanasha wa diamond alivyotoka nduki baada yakuna hapati alichotarajia toka kwa simba.Alikuwa na target ya umaarufu na mafanikio ya kimuziki kupitia simba.Uzuri watz tupo vizuri pia kwao,huwa tunawachora tu
Kazi ya kulalwa, gari fek alipewa, na kufanya show off, kikubwa kapata umaarufu.
 
Nadhani Amina alipokuwa anaingia kwenye ndoa na Ally alijua kwamba jamaa anapenda sana chini we ana watoto 5 kila mtu na Mama yake yeye ni nani au ana k gani ya kumtuliza jamaa.
Amina alipewa pressure aolewe na Kiba. Amina ni binamu wa Joho na Joho ndiye alipanga yote. Amina alikuwa na mchumba. Joho akampa mchumba hela awache Amina
 
Amina alipewa pressure aolewe na Kiba. Amina ni binamu wa Joho na Joho ndiye alipanga yote. Amina alikuwa na mchumba. Joho akampa mchumba hela awache Amina


Basi huenda alokuwa mchumba itakuwa wanajivinjari na huyo amina. [emoji127]
 
Mumewe mpiga mziki, na mziki ni haramu katika uislamu, sasaa unategemea ndoa yao itadumu!!!! Baraka ndani ya ndoa itapatikana wapi!!!!

Kwa upande wa binti umesema anafanya kazi benki,,,kufanya kazi bank piaa ni haramu.
Nani kakuambia ni haramu? Benki nyingi huku Kenya Zina shariat banking
 
Sijui kwanini watanzania mnapenda kusema wakenya tunawachukia. Njo Kenya ujue vizuri.
Hata mimi Nimeona hapo ikabidi nipige kimya, watized tukio wanafiki mbaya kabisa.
Mkenya hana unafiki na. Kila kitu yupo muwazi hawana kona kona, wao wapo bize na bizness all the time
 
Amina alipewa pressure aolewe na Kiba. Amina ni binamu wa Joho na Joho ndiye alipanga yote. Amina alikuwa na mchumba. Joho akampa mchumba hela awache Amina
Joho ni nani sijakuelewa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…