Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Hainaga formula hiyoWale wanaweza wasiachane maana wamepigana makomeo ya kisheria mara ya kilokole mala ya ki katoliki makomeo ma 3 wakiyavunja bac wote ni makanjanja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hainaga formula hiyoWale wanaweza wasiachane maana wamepigana makomeo ya kisheria mara ya kilokole mala ya ki katoliki makomeo ma 3 wakiyavunja bac wote ni makanjanja
HahahàhahaHainaga formula hiyo
Kama salio halisomi huezi kukubaliwa utachagua 1 tu catholic or government haina mara 3 hiyo!NDOA YA BINTI WA TB JOSHUA BONGO _ Kumbukumbu zinasema hii ndio ndoa ya kwanza ya aina yake kufungwa katika jiji la Arusha, ambayo ni ndoa ya mseto baina ya kijana wa kitanzania, Brian Moshi na Mtoto wa Nabii, TB Joshua wa Nigeria , Serah Joshua. Maharusi hawa walifunga ndoa hii jana katika Kanisa Katoliki la Moyo Safi Mama Bikiria Maria lililopo eneo la Unga Ltd jijini Arusha na kufuatiwa na sherehe kubwa iliyofanyika katika moja ya kumbi katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC). Ndoa hii imekuwa ya tatu kufungwa na maharusi hawa, kwani awali walifunga ndoa ya kwanza nchini Nigeria katika Kanisa la Pentekoste na baadaye ndoa nyingine Dubai, Falme za Kiarabu (UAE) na sasa wamefunga ndoa nyingine jijini Arusha katika Kanisa Katoliki. Padri Festus Mangwangi ndiye ambaye amefungisha ndoa hiyo, anasema sio ndoa ya ajabu ni ndoa mseto ambayo baada ya kufungwa kila mmoja anabaki na dini yake, lakini watoto watakuwa waumini wa Kanisa Katoliki. Anasema kabla ya ndoa hiyo kufungwa, maharusi walisaini makubaliano hayo na baadaye kupata baraka za Kanisa Katoliki. Anasema awali zilifungwa ndoa mbili katika nchi mbili tofauti, ndoa ya kiserikali na ndoa ya taratibu za Kanisa la Pentekoste ambayo bibi harusi amekuwa akiabudu. Hata hivyo, Padri Mangwangi anasema bwana harusi, Brayan ni mkatoliki, aliona ni muhimu kufuata taratibu za kikatoliki na ndipo alikuja nchini na kuomba kufungwa ndoa tena baada ya pande zote kukubaliana.
Kama salio halisomi huezi kukubaliwa utachagua 1 tu catholic or government haina mara 3 hiyo!
Nenda huko shetani mkubwa!!Wataachana tu [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Mungu anakuonaWataachana tu [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Duuuh [emoji15][emoji15][emoji15]Wataachana tu [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Ha haaaMungu anakuona
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nenda huko shetani mkubwa!!
HahahaWataachana tu [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Umeonaee yaan mchana kweupe mkuu hiyo ni pesa mkuu nguvu ya pesa...Kama salio halisomi huezi kukubaliwa utachagua 1 tu catholic or government haina mara 3 hiyo!
Wachaga kwa sifa hapana kwa kweli Ni pacha ya wahaya
Hahahaha hapana mi Sina chuki na wauruKwa hiyo una chuki kali na wachaga sababu wamekuzidi
Kwa kuwa ni mtoto wa TB Joshua,hapana siyo mbovu.Mbovu?