Tetesi: Ndoa ya Gamond na Yanga yavunjika Rasmi, Aonekana Mwanza akila Bata

Tetesi: Ndoa ya Gamond na Yanga yavunjika Rasmi, Aonekana Mwanza akila Bata

Torra Siabba

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2016
Posts
243
Reaction score
287
Wakati kukiwa na taarifa kuhusu Yanga kumtema Kocha wake Miguel Gamond, imethibitika kwamba ndoa ya Yanga na Kocha huyo Imevunjika Rasmi.

Ni hivi Jamaa ameonekana Mwanza leo na anachongojea kwa sasa ni Fedha zake za kuvunja mkataba kutoka Yanga ili maisha yaendelee

Hili ndio chanzo cha Anguko Kuu la Yanga Pole sana kwao.
 
Wakati kukiwa na taarifa kuhusu Yanga kumtema Kocha wake Miguel Gamond, imethibitika kwamba ndoa ya Yanga na Kocha huyo Imevunjika Rasmi.

Ni hivi Jamaa ameonekana Mwanza leo na anachongojea kwa sasa ni Fedha zake za kuvunja mkataba kutoka Yanga ili maisha yaendelee

Hili ndio chanzo cha Anguko Kuu la Yanga Pole sana kwao.
Screenshot_2024-11-10-17-23-12-1.png
 
Wakati kukiwa na taarifa kuhusu Yanga kumtema Kocha wake Miguel Gamond, imethibitika kwamba ndoa ya Yanga na Kocha huyo Imevunjika Rasmi.

Ni hivi Jamaa ameonekana Mwanza leo na anachongojea kwa sasa ni Fedha zake za kuvunja mkataba kutoka Yanga ili maisha yaendelee

Hili ndio chanzo cha Anguko Kuu la Yanga Pole sana kwao.
Fake stories for fools
 
Endeleni kuzusha hivi vipindi vinapita na itafika zamu yenu, yaani mtu hasiburudike kisa timu yake imepigwa. Uzuri Hersi si mtu wa mihemko, angekuwa mtu wa mihemko angemtimia Nabi kipindi kile alivyokuwa akipewa shinikizo baada ya Yanga kutolewa Championship na Wasudan.
 
Wakati kukiwa na taarifa kuhusu Yanga kumtema Kocha wake Miguel Gamond, imethibitika kwamba ndoa ya Yanga na Kocha huyo Imevunjika Rasmi.

Ni hivi Jamaa ameonekana Mwanza leo na anachongojea kwa sasa ni Fedha zake za kuvunja mkataba kutoka Yanga ili maisha yaendelee

Hili ndio chanzo cha Anguko Kuu la Yanga Pole sana kwao.
Kumbe mnamuigopa sana Gamond na mnatamani aondoke
Bado yupo sana nyinyi subiri dozi yenu itafika
 
Back
Top Bottom