Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
HahahahahaUlijificha wapi?
Waite na wenzio waambie tumesahau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahahaUlijificha wapi?
Waite na wenzio waambie tumesahau
Hasiburudike= AsiburudikeEndeleni kuzusha hivi vipindi vinapita na itafika zamu yenu, yaani mtu hasiburudike kisa timu yake imepigwa. Uzuri Hersi si mtu wa mihemko, angekuwa mtu wa mihemko angemtimia Nabi kipindi kile alivyokuwa akipewa shinikizo baada ya Yanga kutolewa Championship na Wasudan.
Gamond ana record gani???Na Wewe unaamini hizi pumba? Kuna team duniani inaweza kumuacha kocha mwenye record kama za Gamond?
Asante.Hasiburudike= Asiburudike
Mpaka Sasa hivi biography yake haimsomi kama kocha wa Uto...Asubuhi yake kweli biography ya Gamondi kwenye page yake ya Instagram ikawa imeomdolewa ule utambulisho unaoonesha kuwa yeye ni kocha wa Yanga.
Amesema hana Furaha hapo UtopoloniNaskia na mdaka senene yuko mbioni kuondoka dirisha dogo
ingia Insta ya Gamond ujionee mambo...wacha kushupaza shingoHadithi tu hizo, GSM akimuita Gamond kwa nini asiende?
Mzee amka...kimenuka Huko Utopoloni...Mods acheni ujinga, mada za uongo kuhusu YANGA mnaziacha ila za simba mnaziondoa chap, acheni tabia hiyo futeni uzi huu la sivyo ntawashushia mvua ya matusi.
Maneno hya si mageni jijini 🤣🤣🤣🤣YANGA BINGWA
Kazi kweli kweliAmesema hana Furaha hapo Utopoloni
Mateja fc..Zile goli 5 bado mnaweweseka mpaka leo? hamjapona maumivu bado?
Sawa mateja fc..Endeleni kuzusha hivi vipindi vinapita na itafika zamu yenu, yaani mtu hasiburudike kisa timu yake imepigwa. Uzuri Hersi si mtu wa mihemko, angekuwa mtu wa mihemko angemtimia Nabi kipindi kile alivyokuwa akipewa shinikizo baada ya Yanga kutolewa Championship na Wasudan.
Ndio hivyoUzushi Mtupu
Okay Ngada FC.Sawa mateja fc..
Kuondoka kwa Gamondi hakuwezi kuwa anguko la Yanga. Nabi na mayele waliondoka mlisema Yanga kwisha.Wakati kukiwa na taarifa kuhusu Yanga kumtema Kocha wake Miguel Gamond, imethibitika kwamba ndoa ya Yanga na Kocha huyo Imevunjika Rasmi.
Ni hivi Jamaa ameonekana Mwanza leo na anachongojea kwa sasa ni Fedha zake za kuvunja mkataba kutoka Yanga ili maisha yaendelee
Hili ndio chanzo cha Anguko Kuu la Yanga Pole sana kwao.
Nabi alimtengeneza nani?Hamna kocha pale hana akili ya kitengeneza wachezaj wake ila anatembelea upepo wa nabi,na hapo bado mda utaongea
Aje mwanza kufanya niniNimeona mtu kama Kocha Gamond hapa Mwanza, na hii inakuja baada ya Taarifa kudai kwamba huenda amechana na Yanga. Anayefahamu vizuri atujuze.
Gamond na Mwanza humwambii kituAje mwanza kufanya nini