Shin Lim
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 7,837
- 14,198
!kwaiyo jamaa kamuoa fasta mgonjwa ili akife ale mafao au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
!kwaiyo jamaa kamuoa fasta mgonjwa ili akife ale mafao au?
🤣🤣🤣🤣🙌Sasa utafanyaje mtu kila mkikutana anazungumzia kuhusu clubs na kujirusha tu!!!? mtu unampereka supermarket anaanza kuchukua ice cream badala ya kuanza na unga wa ugari!!!?
Kwahiyo ndoa imedumu 6-7 yrs only🙄😳Huyo dada amefariki
Hujaona majuzi kati Gerald kafiwa na mkeweKwahiyo ndoa imedumu 6-7 yrs only🙄😳
Aisee
Ashakuwa mume shida nn?Mmmmh kama una presha apo unaweza badilika jina ukaitwa marehemj. Show off zataka moyo. Mm mume wangu nmempost moyoni maana unaweza kuta kamchepuko kake kamekufolo anakulamba kisogo
Nilisikia yes,ila huu Uzi sikuwahi kuuonaHujaona majuzi kati Gerald kafiwa na mkewe
Wa zamani 2016Nilisikia yes,ila hii Uzi sikuwahi kuuona
Duh mwenye hii comment nae ni marehem 🙄😳😀Mungu amsimamie asije kurudisha namba
🤔Ya nn ndugu yote hayoyaani mimi ningewatosha kamati yote ya maandalizi busha
na bwanaharusi asisimamishe tena
Km hajaolewa ss arudi,maana mke ashafarikim happy you made it @geraldhando @geraldhando ..
Congrats..All the best in your marriage life...
Ukistaajabu ya Farao utayaona ya Gerlad Hando..bata la mjini ale na mwingine..ndoa akafunge na mwingine...haya maisha bhana..kitu hubby...dah!..yaan mi naona ukiwa na mwanaume alaf ukaona haelekei elekei hata hazungumzii suala la ndoa na ww plz usi post wala usijinadi nae saana watu wote wakajua jaman..subir kashatangaza nia pale ndo umpost hata ukimuita hubby kweny caption sawa..
Ila mmeokotana tu samak samaki au element leo kesho hubby na mapicha unampost kweny mitandao mwisho wa cku unackia kaoa kimyakimya..sura yko waikweka wap na ile mi caption ya mahabat..mwisho wa cku pale ulipoandika my hubby unaenda kuedit inageuka my hobby.. kitoho safi bibie kamuandikiam happy you made it @geraldhando @geraldhando ..
Congrats..All the best in your marriage life...![]()
![]()
![]()
![]()
Aiseee haya aliyeachwa km hajaolewa aendelee😀Wa zamani 2016
Duh mwenye hii comment nae ni marehem
Kumbe nilikuwa muhuni hivi??Aiseee haya aliyeachwa km hajaolewa aendelee[emoji3]
🤣🤣🤣Kumbe nilikuwa muhuni hivi??
Siku hizi kawa mzuri hatari na hela anayoAiseee haya aliyeachwa km hajaolewa aendelee[emoji3]
Nimejishangaaa yaani.kweli nimekua mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata kama Mwanamke Tabia
Jamaa Kaacha kuoa Kibonge mtamu minyama , kakimbilia kuoa Mti mkavu.
Kweli uchawi upo
Imebidi nikamtafute nikamuona sio mchezoSiku hizi kawa mzuri hatari na hela anayo