Ndoa ya Gerald Hando yaacha majonzi kwa wadada

Ndoa ya Gerald Hando yaacha majonzi kwa wadada

Mmmmh kama una presha apo unaweza badilika jina ukaitwa marehemj. Show off zataka moyo. Mm mume wangu nmempost moyoni maana unaweza kuta kamchepuko kake kamekufolo anakulamba kisogo
Ashakuwa mume shida nn?
Kabla hapo kweli sio issue
 
m happy you made it @geraldhando @geraldhando ..
Congrats..All the best in your marriage life...

Ukistaajabu ya Farao utayaona ya Gerlad Hando..bata la mjini ale na mwingine..ndoa akafunge na mwingine...haya maisha bhana..kitu hubby...dah!..yaan mi naona ukiwa na mwanaume alaf ukaona haelekei elekei hata hazungumzii suala la ndoa na ww plz usi post wala usijinadi nae saana watu wote wakajua jaman..subir kashatangaza nia pale ndo umpost hata ukimuita hubby kweny caption sawa..

Ila mmeokotana tu samak samaki au element leo kesho hubby na mapicha unampost kweny mitandao mwisho wa cku unackia kaoa kimyakimya..sura yko waikweka wap na ile mi caption ya mahabat..mwisho wa cku pale ulipoandika my hubby unaenda kuedit inageuka my hobby.. kitoho safi bibie kamuandikiam happy you made it @geraldhando @geraldhando ..

Congrats..All the best in your marriage life...
image-png.385993
14128845_1751332421798024_1571344990_n-jpg.385890
12976677_195404337518445_1970291436_n-jpg.385891
image-jpeg.384993
Km hajaolewa ss arudi,maana mke ashafariki
 
Back
Top Bottom