Ndoa ya Jay Dee na Gardner Habash yavunjika

Naona jide kaweka status fb, kuwa kuna kitu anataka akiongelee ingawa hajui fans watamuelewaje but anataka mkisikie kutoka kwake na sio kwa mtu mwingine. Stay tuned

Hamna kitu, huyu mamie ni fundi wa kutafuta wachawi, KUblame wengine kwa matatizo yake...atakuja na habari za kumchafua G aonekane sio ili yeye abaki clean....aache ubandidu.
 
Hamna kitu, huyu mamie ni fundi wa kutafuta wachawi, KUblame wengine kwa matatizo yake...atakuja na habari za kumchafua G aonekane sio ili yeye abaki clean....aache ubandidu.

We hukumbuki alivyoimba wanaume kama mabinti enzi zile wameachana ukweli ni kuwa nyimbo za Jide 99% ni maisha yake binafsi, kama kipindi kile kabla ya ndoa alitoa album nadhani sasa atatoa double album.
 
Matokeo ya huu Uzi ni yafuatayo;
1-Blog nyingi zitapata vijitaarifa.
2-Kuna watu wataanza kupenda umbea.
3-Kila yakipita masaa mawili watu watalazimika kuufungua JF ili kupata Updates.
4-Kuna kaharufu ka ban kwa watakao cheza vibaya ba lugha.
5-Uongo nao utajipenyeza
6-Kuna mengi ya nyuma ya pazia yataanikwa
LAKINI UKWEKWA STICKY ITASAIDIA MAANA UNATAFUTWA SANA.
 
Kweli mkuu. Alafu eti useme G hampendi Jide kajitoa sana yule mpk kuacha kaz mjengoni kisa mkewe. Unaweza mpenda mkeo na bado ukachepuka hiyo kawaida haimaanishi mkeo mbaya au haumpendi.
yule mkrya ni mbabe sana......yaani gadna atakuwa kavumilia mengi jamen.
 
Hamna kitu, huyu mamie ni fundi wa kutafuta wachawi, KUblame wengine kwa matatizo yake...atakuja na habari za kumchafua G aonekane sio ili yeye abaki clean....aache ubandidu.

Ndo kawaida yetu binadamu kujisafisha sisi afu kuwafanya wengine waonekane wabaya. We ushawahi kumuona nani anakubali kuwa alikosea?? Kila mmoja anamuona mwenzio kuwa ndo mkosaji afu yale makosa yake hayaoni kuwa ni makosa.
 
Kwakweli Mkuu King Kong III umenifurahisha sana kwa hili song. Limeleta maana halisi. Kwahiyo vijana "They are busy looking for Old women to marry" Sasa wanaendekeza michepuko ya rika lao..... Hahahaha.....Mario Mtunza bustani amerudi kwao.

Huu Mwaka wao!!
1.Mbasha
2.Mziwanda
3.Edzen
4.Gadner

:Mtunza Bustan ni mario coz amezidiwa umri na Ananenepa,pili Ananenepa amemzidi pesa G.H,Sifa kuu ya mario ni kwamba wanaishi nyumba za mademu na kuendesha magari ya mademu zao! Rudi miaka ya Nyuma G.H alishawahi kupata Ajali na prado la jide.
 
Last edited by a moderator:
We hukumbuki alivyoimba wanaume kama mabinti enzi zile wameachana ukweli ni kuwa nyimbo za Jide 99% ni maisha yake binafsi, kama kipindi kile kabla ya ndoa alitoa album nadhani sasa atatoa double album.

kuna time wakati Gardner yuko clouds kwenye kipindi cha jahazi waliweka wimbo mmoja wa jide. nimesahau wimbo gani

kina kibonde wakawa wamasema "Gardner hebu acha kumuuzi shemeji yetu hadi uaacha kila siku nyimbo zake za majonzi kutendwa.
 
Kweli mkuu. Alafu eti useme G hampendi Jide kajitoa sana yule mpk kuacha kaz mjengoni kisa mkewe. Unaweza mpenda mkeo na bado ukachepuka hiyo kawaida haimaanishi mkeo mbaya au haumpendi.


qn of sheba kama we ni m/ke basi unafaa kuolewa na ustaadh/shehe
 
Gadner marioo? mnachekesha sana...Simuoni Jide bila ya gadner....Gadner kichwa kile kaamua tu kuwa jalala kwa ajili ya mkewe.

yaani from. nowhere tu unaamua kuwa jalala...

there must be motives behind every move.
 

Hahaaa Daudi wa kota level nyingine siku hizi sio zama hizo,anafanya interview radio kibao,Chamilion alimtambulisha KTMA na sasa anazunguka kwenye show kibao ndani ya tz!
 
Hahaaa Daudi wa kota level nyingine siku hizi sio zama hizo,anafanya interview radio kibao,Chamilion alimtambulisha KTMA na sasa anazunguka kwenye show kibao ndani ya tz!

Daudi wa kota lini kawa levo nyingine nenda pale ubungo kwa wauza mapipa ndio kwao anytime utampata
 
Kweli mkuu. Alafu eti useme G hampendi Jide kajitoa sana yule mpk kuacha kaz mjengoni kisa mkewe. Unaweza mpenda mkeo na bado ukachepuka hiyo kawaida haimaanishi mkeo mbaya au haumpendi.

Jide nampenda sana,ila ana udhaifu wake wa kibinadamu na kisaikolojia na Gadner analibeba ilo as a man..Kuna vitu sensitive sana G anavumilia ambavyo ni ngumu sana mwanaume mwenye roho ndogo kuvibeba.
 
yaani from. nowhere tu unaamua kuwa jalala...

there must be motives behind every move.

Hakuna kikubwa sana Gadner anachopata kwa Jide zaidi ya mapenzi tu....hivi Gadner bila Jide hawezi kumiliki gari? bila jide hawezi kujenga? bila jide hawezi kuwa na maisha mazuri?...kuna mtangazaji expensive kwa sasa bongo kumshinda Gadner? amekataa offer ngapi nzito kwa ajili ya kusimamia miradi yao? kuna kampuni gani ya promosheni itakataa kuwa na mtu kama gadner bongo hii? Ebu muulizeni kusaga uwezo wa uyu jamaa na mpaka kesho anamtaka........Acheni uswahili bwana G sio mnavyojaribu kumuweka au mlitaka awe analeta taharifa hiki nna mchango flani,kile nna mchango flani....Moja ya udhaifu wa Jide ni ubinafsi,ata akiongelea kitu ni changu sio vyetu,nyumba yangu,gari yangu,mgahawa wangu,mbwa wangu,kochi langu...na yeye hakosei ata akikosea umuombe msamaha.
 

daa, haya makubwa sasa
 
Hivi kumbe kwenye tifu la kibonde na traffic walikua na gadna?
 

Attachments

  • 1407963798004.jpg
    35.4 KB · Views: 575
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…