Ndoa ya Jay Dee na Gardner Habash yavunjika

Ndoa ya Jay Dee na Gardner Habash yavunjika

Kio kwa kitugani kikubwa haswa? Somewhat Lady JD may kwavile anaimba, tusijenge mlima kwenye kichuguu jamani! Tatizo munawakuza mno kuliko uwezo wao, munawapa cheap popularity bure kabisa

huna lolote wewe
ndo tushawapa umaarufu sasa
we ulitaka tukudiscuss wewe huna nyimbo,huna mambo,
kilichokuleta huku nini?
umeitwa..?!!!
au hashuo za bata kunya hunyi!
km vp kwendraaaaaa!!!
kiswahili chenyewe hujui!
mkimbizi wewe!
operesheni safisha imekukosaje wewe...?!!!
 
Sasa Jide asijipe stress, atafute kabongofleva chake....na madongo wapenda mteremko wapo wengi tu standby...

Ila kabla hajakaribishwa ndani apewe masharti ya mkataba akae akijua kabisa...akiona simu ya Advocate inaita, anakuletea simu....mummy daddy anapiga....sio aanze kushuta hovyo kama kale kajamaa cha Shilole, almanusra kupigwa jiwe.

hahahahahahahahaaaaaa....
 
Geniveros, that how much u reason. Haya ndio matatizo ya wabongo kama wewe. Ushabiki tuu without reasoning. My swahiri is not perfect sawa, lakini jitambue na tambua kwamba, hata babu yako kiswahili yawezekana hajui vile ila anakua na msimamo wa hoja. Unaanza kutoka povu kisa ndoa za watu. Sidhani kama umeshaoa wewe. Lamsingi, musipende kukuza mambo nakuwapa watu umarufu bila sababu. Ningefurahiswa zaidi ungetoa suruhu kwenye hii tetesi. Kama huna basi acha ushabiki. Harafu ndugu, punguza viroba, sio chai
 
Ndoa ya mwanuziki HEAVEN ON THE EARTH na mtangazaji mashuhuri wa radio BAMBO inasemekana imevunjika huku BAMBO akihama Kimara alikokua akiishi na mkewe na kuhamia kwa moja wa ndugu zake wa karibu sana.

chanzo cha kuvunjika ndoa hiyo bado hakijajulikana moja moja kwa moja ila wawili hao wamekuwa katika migogoro kwa muda.. na si mara ya kwanza kutengana ila this time hali si shwari. yazidi kusemekana kaka BAMBO kazidi michepuko amekua haibi tena anafanya bayana mpaka mwenye mali anajua anavyoibiwa.

kudhihirisha hayo katika ukurasa wake wa IG dada HEAVEN ameandika "Walking Away From FUNUNU" ambapo umbepuzi yakinifu waonesha
mambo si sawa hata kidogo.

BAMBO kabla ya kumuoa HEAVEN alikua tayari na mke halali wa ndoa na mtoto mmoja.
 
Kuna mawili, munafwatilia maisha ya ndoa zawatu wakati yako yenyewe yakushinda, au hujaoa kabisa. Munaweza sababisha wakaachana kweli, au mukasababisha usama na wasiwasi mpaka kuperekea kifo kama Diana vile mfanomzuri sana. Kwanza jamani hapa, tuna chekesha tu walimwengu. Nivema mungekua muna toa solution au ushauli nasaha kwa mambo kama haya. Tayari pana ushabiki aidha kwa pande zote mbili. Suruhu ni nini kama kwa kweli mnawapenda hao? Hamna hata mmoja alie toa way forward namna ya kuwa help hawa wawili waendelee kua kitu kimoja, japo nifununu tuu zisizo kua na uhakika kwa ndoa yao ipo hatarini.

Mshikaji mbona umemaind sana, unahitaji muda wa kutosha kulielewa jukwaa...ya kusifu watasifu na kuponda wataponda...juzijuzi tulikuwa tunapongeza kwa kuvuta mchuma, then kwa kupata tuzo...ulikuwepo au bado ulikuwa nje ?

Ukishafahamika ni kama unaishi kwenye nyumba ya kioo....hayo ya kwetu sisi yanawahusu kina Baba mdogo wa Tandahimba, Shangazi wa Kazuramimba na Baba mkwe wa Nanyamba, huku jukwaani hayana nafasi...

Na kama hawajaachana au wakirudiana tatizo liko wapi ndugu ? si watakuja wahusika...na ikibidi watakodisha kabisa kina Mashauzi, Khadija Kopa, Mzee Yusuph kuja kuwapasha wa kupashwa..."yakowapi waja.....nyuso zimewashuka...mtasema mtachoka hatuachani ng;oo, Kutwa kusema ya watu"..n.k.n.k.n.k......so tuliza ball...kila jambo na wakati wake.
 
Mume wa mtu uko chakari mpaka saa kumi na mbili asubuhi, unatumia gari ya rafiki si ya familia,i can smell a rat!!
 
King Kong III kwa nyongeza tu, kwenye wimbo Mario, Madilu System alishirikiana na Franco Luambo Makiadi kipindi hicho cha TP OK Jazz. Nakumbuka miaka hiyo niko mdogo sana dingi yangu alikuwa mpenzi mkubwa wa nyimbo hii, sijui alikuwa anaelewa maana yake au vipi, we acha tu.
 
Mume wa mtu uko chakari mpaka saa kumi na mbili asubuhi, unatumia gari ya rafiki si ya familia,i can smell a rat!!

Mkuu weka details hadharani za kueleweka taarifa inaelea elea juu juu tu ikibid na picha tuwekee tupate ushahid husika.
 
Ndoa ya mwanuziki Jay dee na mtangazaji mashuhuri wa radio Gardner G. Habash inasemekana imevunjika huku Gardner akihama Kimara alikokua akiishi na mkewe na kuhamia kwa moja wa ndugu zake wa karibu sana.

chanzo cha kuvunjika ndoa hiyo bado hakijajulikana moja moja kwa moja ila wawili hao wamekuwa katika migogoro kwa muda.. na si mara ya kwanza kutengana ila this time hali si shwari. yazidi kusemekana kaka Gardner kazidi michepuko amekua haibi tena anafanya bayana mpaka mwenye mali anajua anavyoibiwa.

kudhihirisha hayo katika ukurasa wake wa IG dada jide ameandika "Walking Away From Troubles" ambapo umbepuzi yakinifu waonesha
mambo si sawa hata kidogo.

Gardner kabla ya kumuoa Jide alikua tayari na mke halali wa ndoa na mtoto mmoja.

I can see what goes around comes around
 
Geniveros, that how much u reason. Haya ndio matatizo ya wabongo kama wewe. Ushabiki tuu without reasoning. My swahiri is not perfect sawa, lakini jitambue na tambua kwamba, hata babu yako kiswahili yawezekana hajui vile ila anakua na msimamo wa hoja. Unaanza kutoka povu kisa ndoa za watu. Sidhani kama umeshaoa wewe. Lamsingi, musipende kukuza mambo nakuwapa watu umarufu bila sababu. Ningefurahiswa zaidi ungetoa suruhu kwenye hii tetesi. Kama huna basi acha ushabiki. Harafu ndugu, punguza viroba, sio chai

Tamka maneno "Swahili" na "Suluhu" kisha usirudie tena huu ujinga wako wewe!
 
Wakati mwingine kuchapia ruksa, kwasababu speed ya ubongo na kuchapa on the keyboard hutofautiana. Sasa pokola nikuulize, unao sema ujinga ni upi? Au nawe waropokaropoka tuu?
 
Geniveros, that how much u reason. Haya ndio matatizo ya wabongo kama wewe. Ushabiki tuu without reasoning. My swahiri is not perfect sawa, lakini jitambue na tambua kwamba, hata babu yako kiswahili yawezekana hajui vile ila anakua na msimamo wa hoja. Unaanza kutoka povu kisa ndoa za watu. Sidhani kama umeshaoa wewe. Lamsingi, musipende kukuza mambo nakuwapa watu umarufu bila sababu. Ningefurahiswa zaidi ungetoa suruhu kwenye hii tetesi. Kama huna basi acha ushabiki. Harafu ndugu, punguza viroba, sio chai

yes that is how i reason
hivi maana ya celebrity ni nini?
ukikosea utaandikwa,ukipatia utaandikwa na wao ni vioo vya jamii na hatutoacha kuwajadili kwa bayana zuri no matter what
kwako yaweza kua cheap popularity ila kwa wengine sio na usilazimishe kila mtu afate unavyotaka
we km vp badala ya kutuponda bas toa mawazo chanya km ya kwetu hasi ili warudiane
walianza kuandikwa toka wakiwa wapenzi,hadi siku ya ndoa na leo wameachana bado wanaandikwa!
hiyo ndo gharama ya umaarufu
kingine acha ubishi jifunze kiswahili kwanza
sawaaaaa....?!!!!
N:B hawa ni maarufu kabla we hujaja mjini long time kitambo!
 
Sasa Mtali ya nini ku quote post yooote hyo jamaniii

Ungemention aliepost ingetosha bana

Nisamehe bure neggirl. Hii kitu imetokana na mzuka wa kujua maana ya huo wimbo. Unajua kilingala kwangu yapita mbali ingawa naipenda sana. So kuqoute hiyo post yote ni ajali ya furaha kujua who is Marioooo...... Ah Mario Belengi ya lelo, Motema nangai....... Upo hapo mama?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom