FYATU
JF-Expert Member
- Dec 7, 2011
- 5,567
- 4,683
Naona jide kaweka status fb, kuwa kuna kitu anataka akiongelee ingawa hajui fans watamuelewaje but anataka mkisikie kutoka kwake na sio kwa mtu mwingine. Stay tuned
Hamna kitu, huyu mamie ni fundi wa kutafuta wachawi, KUblame wengine kwa matatizo yake...atakuja na habari za kumchafua G aonekane sio ili yeye abaki clean....aache ubandidu.