Ndoa ya Jay Dee na Gardner Habash yavunjika

Kwani Geniveros, naona una minkari sana na these cheap celebrities of yours, nivema mukapanua akiri na kua fikra chanya. The more munawa kadili, the more you give them fame. Suluhu ni ku shut-up na utaona kama wataendelea na this cheap publicity. That is my point, kwa mfano; angalia Jay Z, mwenye fedha kweli, hapendi cheap publicity. Yani naona unatatizo la neno celebrity, celebrity bongo bwana? Achieni magazeti udaku yaande such news, hapa jamvini ni pa watu wenye critical and great minds bwana na sio ushabiki. Anyway, nisibishane na wewe, may be that is kikomo ulicho nacho cha kudadafua mambo. Enjoy your day, sie ni ndugu na kwanini tugombane wakati tuna mitazamo tofauti! I respect your opinion.
 

Oh Marioos Belengi ya lelo motema na ngai..... Sasa hawa jamaa (Marios) ni noma...hawataki kufanya kazi kwa bidii wamebaki kuvizia vikongwe. Oh mario option za maisha zimeisha sasa wanakamata fursa.....teh teh teh teh.......
 

Unapost ukiwa Kinshasa au Mwananyamala karibu na Mango Garden??!!

Kuna haja ya kuwa na operation kimbunga through social networks!!!
 
Moudyboka, ebu twambie hapa jf, una semeje? Waijua mada iliopo? Au hatupo pamoja?
 

kwa tanzania wao ni celebrity wetu
kwa nini tusiwajadili?
tena kuna watu hata huyo jiga na ney hawawajui .
so hili ndo jukwaa lao
yaani wewe km s mbongo haki ya mama daah!
km kuandika shda,kuongea je?!
 
geniveros Dinazarde Heaven on Earth TATIANA yani leo nimemkumbuka sana binamu warumi huko insta Team Wema wamemcharukia Dangote na kumsema ana mtumia wema vibaya kwa maslai yake binafsi... wema kawamind ila bado raia wanamsena afungue hata saloon kuliko kufanywa mcheza shoo wa Dangote.

Atleast leo Team wema wamemtolea uvivu madam wao... I wish binamu angeenda kutupa full story.
 
Last edited by a moderator:
Ndoa ya jide na gadna ilikuwa ya laana,ingewezaje kudumu wakati gadna alimkimbia mkewe na kuambatana na jide aliyeharibu pia ndoa ya mwanamke mwenzake? Walikutana malimbukeni watupu.
 
gadna akienda mahakama ya kinondoni na kibonde. kumbe kaachika ndo anajirudisha clouds taratibu ili asaidie mashambulizi dhidi ya bibie.
cc: TATIANA

Mkuu pamoja na kwamba jide alikua bifu na mawingu ila gadna alikua anaelewana nao na hata baadhi ya matangazo huwa anatengeneza pale clouds
 
Last edited by a moderator:
Kwani wa Kibonde alikija?na Kibonde naye Ana mke
 

Mkuu umenena kweki,jide ni mbinafsi na ana roho mbaya ya kinyongo tena anapenda kynyenyekewa
 
wapigwe bani ya mwaka tu hao hasa huyo ndondocha wa sisiem..!!!
 
Mmh kweli michepuko sio dili...dili ni ulabu tu


If your not right...go left,,
 
Ilikuwa ni suala la muda tu, muda nao umetimia

Ndoa ya jide na gadna ilikuwa ya laana,ingewezaje kudumu wakati gadna alimkimbia mkewe na kuambatana na jide aliyeharibu pia ndoa ya mwanamke mwenzake? Walikutana malimbukeni watupu.
 
Ndoa ya jide na gadna ilikuwa ya laana,ingewezaje kudumu wakati gadna alimkimbia mkewe na kuambatana na jide aliyeharibu pia ndoa ya mwanamke mwenzake? Walikutana malimbukeni watupu.

unayasema haya sasa..!!!!
Unafki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…